ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Kiherehere ni ugonjwa get well soonKambole kusajiliwa Uganda ina maana dirisha la usajili bado halijafungwa?.Timu inasajili mgonjwa?..kimba fc hapa mmechambia gunzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiherehere ni ugonjwa get well soonKambole kusajiliwa Uganda ina maana dirisha la usajili bado halijafungwa?.Timu inasajili mgonjwa?..kimba fc hapa mmechambia gunzi.
+Amri kiembaWatu kama Kazumari si wachambuzi wa mpira ila ni watoa habari zilizotokea viwanjani, mchambuzi Tz ni Ambangile, Ali kamwe, Ali mayai pia, mtu anasimulia kilichotokea uwanjani anajiita mchambuzi! WTF! Mchambuzi ongea mpira kiufundi.
Hivi kuna ligi ya wagonjwa inaendelea kule Uganda?Mnateseka wenyewe na huyo Jemedari wenu!
Nenda ukawaulize wagandaHivi kuna ligi ya wagonjwa inaendelea kule Uganda?