Jemedari: Mpira wa Tanzania umejaa watu wajinga

Jemedari: Mpira wa Tanzania umejaa watu wajinga

MPIRA WA TANZANIA UMEJAA WATU WAJINGA - JEMEDARI

Hivi yupo mtu anafikiri kwamba Mangungu akiondoka ndio timu itacheza vizuri?. Sifikiri hivyo, ni kauli aliyoanza nayo mchambuzi na mdau wa soka nchini Jemedari Said akiongea na waandishi wa habari Novemba 09, 2023 akitoa maoni yake kuhusu kinachoendelea kwenye klabu ya Simba na kusisitiza kuwa, haya yote yanayotokea wameyataka wenyewe mashabiki wao na wao kama wadau walishaonya dhidi ya haya yanayotokea.

Jemedari ameendelea kwa kusema kuwa, wao kama wadau walishaonya lakini wanachama na mashabiki wa Simba SC walitoa majibu ambayo ameyaita ni mepesi kwamba wana furaha na kwenye timu kinachotafutwa ni furaha.

"Kwa bahati mbaya mpira wa nchi hii una watu wengi wajinga, wakati Simba wanabadilisha katiba na watu walikuwa wanawaambia kuwa mnafanya makosa, majibu yao yalikuwa mepesi tu kwamba sisi tuna furaha na kwenye mpira sisi tunataka furaha, mwacheni Dewji afanye chochote anachokitaka" alisema Jemedari

Jemedari ameongeza kuwa, inapotokea Simba ikifanya vizuri inakuwa ni ya Dewji na upande wake lakini ikifanya vibaya ni Mangungu ya Mangungu na wanachama jambo ambalo analiita ni wanachama kutumika kwa kujua au kutokujua

"Timu ikifanya vizuri ni ya Dewji na upande wake lakini ikifanya vibaya ni Mangungu na wanachama, ni aidha wanachama wanatumika na hawajui wanatumika huku wanajua" alisisitiza Jemedari na kuongeza

"Alivyomaliza Dewji katika nafasi ya mwenyekiti wa Bodi akamuachia Try again hivyo basi Try again kama ni tatizo basi tatizo kubwa ni Mohamed Dewji kwa maana yeye ndio amemweka"

Jemedari amemkingia kifua mwenyekiti wa klabu ya Simba Murtaza Mangungu kwamba yeye asilaumiwe kwa kuwa hana nguvu kikatiba na sio yeye amependa kuwa hivyo ni bali wanachama na mashabiki ndio wameamua awe hivyo.View attachment 2810768
Ni mawazo tu kama ya wale wanaoona kwamba Mangungu ndiyo kikwazo so acha yachukuliwe kimtazamo
 
Jemedari anajionaga anajua kila kitu.

Huyu Mangungu anastahili lawama na moja ya kitu cha kijinga alicho fanya kumleta mchezaji ambaye club ilikuwa inamuhitaji ,ila yy akamtumia kama ngazi ya kupatia kura kwa mshabiki wasio jitambua.

Ila mashabiki wengi waliokuwa wanajitambua waliliona hili na wakalipigia kelele.Kile kitendo kinaweza kika reflect kama Mangungu hajui kusimamia mpira bali anafanya siasa kwenye mpira.Kile kitendo kina onyesha Mangungu, alishindwa kujiuza kwa wapiga kura,kupitia sera,mbinu na mipango endelevu kwa club.

Mashabiki wa Simba wana haki ya kumkataa na wapo sahihi.
Hawako sahih lzm utumie mbinu ya kininja kufanikisha Jambo lolote ktk .maisha ulitaka aje na Nani SAS kwenye ukumbi wa uchaguzi

Mbna ccm wenyewe wanawatumia wasanii kwa gahrama kubwa unajuwa ni kwanin ,

Ni HV mangungi Yuko sahihi [emoji817] shida iko kwa mashabiki mbumbumbu wanao dhani kuwa magungu ndio kikwazo wasipate matokeo pale kitu ambacho siyo sahih
 
MPIRA WA TANZANIA UMEJAA WATU WAJINGA - JEMEDARI

Hivi yupo mtu anafikiri kwamba Mangungu akiondoka ndio timu itacheza vizuri?. Sifikiri hivyo, ni kauli aliyoanza nayo mchambuzi na mdau wa soka nchini Jemedari Said akiongea na waandishi wa habari Novemba 09, 2023 akitoa maoni yake kuhusu kinachoendelea kwenye klabu ya Simba na kusisitiza kuwa, haya yote yanayotokea wameyataka wenyewe mashabiki wao na wao kama wadau walishaonya dhidi ya haya yanayotokea.

Jemedari ameendelea kwa kusema kuwa, wao kama wadau walishaonya lakini wanachama na mashabiki wa Simba SC walitoa majibu ambayo ameyaita ni mepesi kwamba wana furaha na kwenye timu kinachotafutwa ni furaha.

"Kwa bahati mbaya mpira wa nchi hii una watu wengi wajinga, wakati Simba wanabadilisha katiba na watu walikuwa wanawaambia kuwa mnafanya makosa, majibu yao yalikuwa mepesi tu kwamba sisi tuna furaha na kwenye mpira sisi tunataka furaha, mwacheni Dewji afanye chochote anachokitaka" alisema Jemedari

Jemedari ameongeza kuwa, inapotokea Simba ikifanya vizuri inakuwa ni ya Dewji na upande wake lakini ikifanya vibaya ni Mangungu ya Mangungu na wanachama jambo ambalo analiita ni wanachama kutumika kwa kujua au kutokujua

"Timu ikifanya vizuri ni ya Dewji na upande wake lakini ikifanya vibaya ni Mangungu na wanachama, ni aidha wanachama wanatumika na hawajui wanatumika huku wanajua" alisisitiza Jemedari na kuongeza

"Alivyomaliza Dewji katika nafasi ya mwenyekiti wa Bodi akamuachia Try again hivyo basi Try again kama ni tatizo basi tatizo kubwa ni Mohamed Dewji kwa maana yeye ndio amemweka"

Jemedari amemkingia kifua mwenyekiti wa klabu ya Simba Murtaza Mangungu kwamba yeye asilaumiwe kwa kuwa hana nguvu kikatiba na sio yeye amependa kuwa hivyo ni bali wanachama na mashabiki ndio wameamua awe hivyo.View attachment 2810768
Huyu jemedari atakuwa muhuni anayelipwa na wahuni wenzie pale Simba.

Mangungu tunamchukia kutokana na kitendo chake cha utapeli kuleta siasa kwenye timu.Alituletea Manzoki kupiga naye picha wakati anahitajika kucheza ili tu achaguliwe kwenye uongozi.Sasa anatuletea Manzoki wakati hachezi na hajulikani kiwango chake kwa vile tu anatuona wanachama wajinga.

Kama sio yeye,kwa nini asiseme ukweli ni upi.Yeye ndiye mwakilishi wetu,sasa kama kuna tatizo,wewe unataka tuliseme wakati hatijui huko ndani huyo mo na genge lake wanafanya maamuzi gani ya kipuuzi bila kuambiwa na mwakilishi wetu?

Kama amekwambia wewe,una bahati unaujua ukweli,sasa unathubutuje kutuita wajinga?wewe akili ungekuwa nazo ungeajiriwa na hapo ulipo?

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Hawako sahih lzm utumie mbinu ya kininja kufanikisha Jambo lolote ktk .maisha ulitaka aje na Nani SAS kwenye ukumbi wa uchaguzi

Mbna ccm wenyewe wanawatumia wasanii kwa gahrama kubwa unajuwa ni kwanin ,

Ni HV mangungi Yuko sahihi [emoji817] shida iko kwa mashabiki mbumbumbu wanao dhani kuwa magungu ndio kikwazo wasipate matokeo pale kitu ambacho siyo sahih
Sawa wanatumia wasanii,vip output yao baada ya kupata uongozi unalizika nayo?

So kwa hiyo kama chama tawala kinafanya ujinga,so hata wengine nao wakifanya tuone sawa, si unamaanisha hivyo?
 
Jemedali anamtetea mzee aliyeahidiwa ubunge na mzee JK kwa maslahi ya nani,,?

Maslahi yake binafsi baada ya kupigwa "bahasha"

Maslahi ya mzee kipara

au Maslahi ya genge lile "janjajanja"?

msitutoe kwenye reli,, Kipara, Jaribu Tena na michezaji yao ya mchongo lazima waondoke,,
Jk yupi Tena Mzee.....mbona hayupo kwny system
 
Huyu jemedari atakuwa muhuni anayelipwa na wahuni wenzie pale Simba.

Mangungu tunamchukia kutokana na kitendo chake cha utapeli kuleta siasa kwenye timu.Alituletea Manzoki kupiga naye picha wakati anahitajika kucheza ili tu achaguliwe kwenye uongozi.Sasa anatuletea Manzoki wakati hachezi na hajulikani kiwango chake kwa vile tu anatuona wanachama wajinga.

Kama sio yeye,kwa nini asiseme ukweli ni upi.Yeye ndiye mwakilishi wetu,sasa kama kuna tatizo,wewe unataka tuliseme wakati hatijui huko ndani huyo mo na genge lake wanafanya maamuzi gani ya kipuuzi bila kuambiwa na mwakilishi wetu?

Kama amekwambia wewe,una bahati unaujua ukweli,sasa unathubutuje kutuita wajinga?wewe akili ungekuwa nazo ungeajiriwa na hapo ulipo?

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Kwa hili ..... kweli inashangaza
 
Hawako sahih lzm utumie mbinu ya kininja kufanikisha Jambo lolote ktk .maisha ulitaka aje na Nani SAS kwenye ukumbi wa uchaguzi

Mbna ccm wenyewe wanawatumia wasanii kwa gahrama kubwa unajuwa ni kwanin ,

Ni HV mangungi Yuko sahihi [emoji817] shida iko kwa mashabiki mbumbumbu wanao dhani kuwa magungu ndio kikwazo wasipate matokeo pale kitu ambacho siyo sahih
Mangungu ni chambo tu ,kikubwa ni nafasi yake ,na mabadiliko wanayotaka hao wahafadhina
 
Kwamba hawapatani??
Mo hapendi mtu anae jisimamia pale simba. Ndo maana alimfanyia fitna aliekuwepo kabla ya Mangungu akajiuzulu. Ye watu wake sahihi ni kama kina Kaduguda. Mfano sidhani kama itatokea akaweza kufanya kazi na Rage
 
MPIRA WA TANZANIA UMEJAA WATU WAJINGA - JEMEDARI

Hivi yupo mtu anafikiri kwamba Mangungu akiondoka ndio timu itacheza vizuri?. Sifikiri hivyo, ni kauli aliyoanza nayo mchambuzi na mdau wa soka nchini Jemedari Said akiongea na waandishi wa habari Novemba 09, 2023 akitoa maoni yake kuhusu kinachoendelea kwenye klabu ya Simba na kusisitiza kuwa, haya yote yanayotokea wameyataka wenyewe mashabiki wao na wao kama wadau walishaonya dhidi ya haya yanayotokea.

Jemedari ameendelea kwa kusema kuwa, wao kama wadau walishaonya lakini wanachama na mashabiki wa Simba SC walitoa majibu ambayo ameyaita ni mepesi kwamba wana furaha na kwenye timu kinachotafutwa ni furaha.

"Kwa bahati mbaya mpira wa nchi hii una watu wengi wajinga, wakati Simba wanabadilisha katiba na watu walikuwa wanawaambia kuwa mnafanya makosa, majibu yao yalikuwa mepesi tu kwamba sisi tuna furaha na kwenye mpira sisi tunataka furaha, mwacheni Dewji afanye chochote anachokitaka" alisema Jemedari

Jemedari ameongeza kuwa, inapotokea Simba ikifanya vizuri inakuwa ni ya Dewji na upande wake lakini ikifanya vibaya ni Mangungu ya Mangungu na wanachama jambo ambalo analiita ni wanachama kutumika kwa kujua au kutokujua

"Timu ikifanya vizuri ni ya Dewji na upande wake lakini ikifanya vibaya ni Mangungu na wanachama, ni aidha wanachama wanatumika na hawajui wanatumika huku wanajua" alisisitiza Jemedari na kuongeza

"Alivyomaliza Dewji katika nafasi ya mwenyekiti wa Bodi akamuachia Try again hivyo basi Try again kama ni tatizo basi tatizo kubwa ni Mohamed Dewji kwa maana yeye ndio amemweka"

Jemedari amemkingia kifua mwenyekiti wa klabu ya Simba Murtaza Mangungu kwamba yeye asilaumiwe kwa kuwa hana nguvu kikatiba na sio yeye amependa kuwa hivyo ni bali wanachama na mashabiki ndio wameamua awe hivyo.View attachment 2810768
Hamis Kilomon na Hamis Kigwangala walipambana lakini wapi.Kila mapato ya Simba,asilimia 49 ni Mali ya familia ya Dewj.Tuliwaonya hawasikii Bi Hindu sleep well.
 
Jemedari anajionaga anajua kila kitu.

Huyu Mangungu anastahili lawama na moja ya kitu cha kijinga alicho fanya kumleta mchezaji ambaye club ilikuwa inamuhitaji ,ila yy akamtumia kama ngazi ya kupatia kura kwa mshabiki wasio jitambua.

Ila mashabiki wengi waliokuwa wanajitambua waliliona hili na wakalipigia kelele.Kile kitendo kinaweza kika reflect kama Mangungu hajui kusimamia mpira bali anafanya siasa kwenye mpira.Kile kitendo kina onyesha Mangungu, alishindwa kujiuza kwa wapiga kura,kupitia sera,mbinu na mipango endelevu kwa club.

Mashabiki wa Simba wana haki ya kumkataa na wapo sahihi.
Swali linakuja ni kweli Mangungu pekee Ndio tatizo pale Simba?
 
Back
Top Bottom