Jemedari Said CEO mbabaishaji mkubwa asiejielewa

Jemedari Said CEO mbabaishaji mkubwa asiejielewa

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
JKT ilimpa kazi Jemedari ya kuwa mtendaji wake mkuu lakini pia jamaa ni mwajiriwa wa Crown FM, unajua being a CEO is a big task, mipango yote ya klabu iko kwako, Sasa huyu jamaa ukimsikiliza anapokuwa hewani anavyoshambulia watu personal badala ya issues unaweza sema ni msomi au pundit katika fani flani.

JKT inakwenda mikoani halafu yeye yuko media anapiga soga, unawezaje kuendesha na kusimamia klabu kwa usamjo usamjo namna hii, we mtendaji mkuu unaonekana uwanja wa dar t lakini mikoani huendi unavizia kuangalia katika tv halafu kesho unaenda kuponda waamuzi na wachezaji.

Mnapokuwa mnanyooshea wenzenu vidole mjiangalie na nyie pia, nawashauri JkT tafuteni watendaji ambao wako active na timu muda wote na sio huyo msanii, mshika mawili moja humponyoka.
 
Nashangaa JkT wamekosa vipi CEO kutoka mule mule jeshini hadi waje wamchukue jamaa mbishi mbishi anaegombana na kina Raphael kwenye mic kwa kweli pale Bora angepewa Masau Bwire
 
Jemedari anashida zake ila kwa hili sioni sababu ya ku mshambulia kwakua Kila ajira unayo ingia Ina makubaliano yake.
Kwakua hakuna anaye jua mkataba wake wa kazi una vipengere Gani basi hakuna aja ya kunmshtumu.
 
Muundo wa uongozi wa maafande unaruhusu CEO wa kiraia? Atakuwa na nguvu ya ki-budget na maamuzi kwenye timu?
Naamini hiki ni cheo hewa, ndio maana Jemedari ameamua kubakisha ajira yake rasmi!
 
Jemedali Akiwa meneja wa Azam ndie aliyeiongoza Azam kuchukua Ubingwa wa ligi kuu VPL 2014-15.

1. Alisimamia nidhamu za wachezaji kikamilifu nje na ndani ya uwanja.

2. Adhabu kali kwa wachezaji wavivu watovu wa nidhamu na wazembe.

3. Kuwa kiunganishi kizuri kati ya Uongozi Benchi la Ufundi na wachezaji.

UBINGWA WA AZAM ULICHOCHEWA NA JEMEDARI.
 
Jemedali Akiwa meneja wa Azam ndie aliyeiongoza Azam kuchukua Ubingwa wa ligi kuu VPL 2014-15.

1. Alisimamia nidhamu za wachezaji kikamilifu nje na ndani ya uwanja.

2. Adhabu kali kwa wachezaji wavivu watovu wa nidhamu na wazembe.

3. Kuwa kiunganishi kizuri kati ya Uongozi Benchi la Ufundi na wachezaji.

UBINGWA WA AZAM ULICHOCHEWA NA JEMEDARI.
Oky, binafsi sioni tatizo lake... naona lzm jemedari wa redion ni tofauti na jemedari wa jkt kama CEO
 
JKT ilimpa kazi Jemedari ya kuwa mtendaji wake mkuu lakini pia jamaa ni mwajiriwa wa Crown FM, unajua being a CEO is a big task, mipango yote ya klabu iko kwako, Sasa huyu jamaa ukimsikiliza anapokuwa hewani anavyoshambulia watu personal badala ya issues unaweza sema ni msomi au pundit katika fani flani.

JKT inakwenda mikoani halafu yeye yuko media anapiga soga, unawezaje kuendesha na kusimamia klabu kwa usamjo usamjo namna hii, we mtendaji mkuu unaonekana uwanja wa dar t lkn mikoani huendi unavizia kuangalia ktk tv halafu kesho unaenda kuponda waamuzi na wachezaji.

Mnapokuwa mnanyooshea wenzenu vidole mjiangalie na nyie pia, nawashauri JkT tafuteni watendaji ambao wako active na timu muda wote na sio huyo msanii, mshika mawili moja humponyoka.
Tunaomba utuwekee picha yake akifanya vituko tafadhali.
 
JKT walimchagua hivyo hivyo alivyo na wakijua ni mwajiriwa Crown fm so tungeona mkataba wao ingesaidia kujadili hili.
 
Back
Top Bottom