MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Labda ungekuja na mkataba wake na JKT ili tuchangie kwa haki. Kinyume na hapo umeandika ushuzi mtupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GENTAMYCINE nikirusha Kombora kamwe Adui hawezi kurudisha kwani nina PhD ya Vita ya Maneno ya kila aina Mkuu.dadeki hii haina comeback
Oky, binafsi sioni tatizo lake... naona lzm jemedari wa redion ni tofauti na jemedari wa jkt kama CEO
Jemedali Akiwa meneja wa Azam ndie aliyeiongoza Azam kuchukua Ubingwa wa ligi kuu VPL 2014-15.
1. Alisimamia nidhamu za wachezaji kikamilifu nje na ndani ya uwanja.
2. Adhabu kali kwa wachezaji wavivu watovu wa nidhamu na wazembe.
3. Kuwa kiunganishi kizuri kati ya Uongozi Benchi la Ufundi na wachezaji.
UBINGWA WA AZAM ULICHOCHEWA NA JEMEDARI.
Kweli ni mtu WA kunyoosha Sana lakin kuna muda anatumia WIVU CHUKI kusema club fulan ususani swala linalohusu club ya yangaJemedari ni mtu wa kunyoosha sana Nyeusi nyeusi, Nyeupe nyeupe.
WAJINGA WAPUMBAVU NA WABABAISHAJI NI MAADUI WAKUBWA WA JEMEDARI.