Jemedari Said CEO mbabaishaji mkubwa asiejielewa

Labda ungekuja na mkataba wake na JKT ili tuchangie kwa haki. Kinyume na hapo umeandika ushuzi mtupu
 
Oky, binafsi sioni tatizo lake... naona lzm jemedari wa redion ni tofauti na jemedari wa jkt kama CEO

Jemedari ni mtu wa kunyoosha sana Nyeusi nyeusi, Nyeupe nyeupe.

WAJINGA WAPUMBAVU NA WABABAISHAJI NI MAADUI WAKUBWA WA JEMEDARI.
 
Reactions: Tui
 
Jemedari ni mtu wa kunyoosha sana Nyeusi nyeusi, Nyeupe nyeupe.

WAJINGA WAPUMBAVU NA WABABAISHAJI NI MAADUI WAKUBWA WA JEMEDARI.
Kweli ni mtu WA kunyoosha Sana lakin kuna muda anatumia WIVU CHUKI kusema club fulan ususani swala linalohusu club ya yanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…