Jemedali Akiwa meneja wa Azam ndie aliyeiongoza Azam kuchukua Ubingwa wa ligi kuu VPL 2014-15.
1. Alisimamia nidhamu za wachezaji kikamilifu nje na ndani ya uwanja.
2. Adhabu kali kwa wachezaji wavivu watovu wa nidhamu na wazembe.
3. Kuwa kiunganishi kizuri kati ya Uongozi Benchi la Ufundi na wachezaji.
UBINGWA WA AZAM ULICHOCHEWA NA JEMEDARI.