Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fanyeni vetting kabla hamjatoa tenderNawaza kwanini tunachemka jezi kila mwaka,au kwa vile jezi nyekundu ni common ?
Naomba kujua jezi ya timu ipi nyekundu ni kali
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi huna shughuli nyingine ya kufanya ama kingine cha kuandika?" hii nayo Simba kachukua 5...1 nyingine.... ndugu wa Mnyama Kuna shule huku"
Jemedari said.... mchambuzi EFM
Nakala waione
Kalpana
Mshana Jr
FaizaFoxy
Mshana Jr
SAGAI GALGANO
Mnakubaliana na maoni ya jemedari?
View attachment 2821841
Ushafuatilia jezi za arsenal!?Nawaza kwanini tunachemka jezi kila mwaka,au kwa vile jezi nyekundu ni common ?
Naomba kujua jezi ya timu ipi nyekundu ni kali
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahahahahaHuyo mmakonde njaa inamsumbua anajipendekeza ili avute kitu kidogo kwa Ghalib
Siku hizi, si jezi, si mpira vyote vimetukimbiaYaaah sijui simba nan ana design jez zao jez zetu nzuri , kuna kipindi simba walikuwaga na jezi nzuri sijui nini kimetokea
Sijui kwa kweli.Unadhani Simba tunafeli wapi mkuu
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Siku hizi, si jezi, si mpira vyote vimetukimbia
Matangazo mengi sana yasio na faida kwenye jezi.Unadhani Simba tunafeli wapi mkuu
ama kama vipi hao viongozi wa simba wangekuwa wanadili na madizaina wa fashion hapa bongo inakuwa kama tenda vile kila kijana mwenye kuweza apeleke sample yako ikiwa kwenye mfumo wa picha dizaini atakayekuwa mzuri anapewa mshiko hata wa milioni mbili,hapa tungekuwa na jezi nzuri.....na iko ndicho anachokifanya dizaina wa yanga bwana sheria ngowi anadiligi na vijana wenye talentiFanyeni vetting kabla hamjatoa tender
Hapa napo mo anatupiga sana yaani kuwa mdhamini wa timu imekuwa nongwa anataka hadi biashara zake napo zitangazwe na simba,pale simba hata haya mauozo yote yanayotokea pale viongozi upande wa wanachana wanaogopa kumchana live muwekezaji kwamba anachafua jeziMatangazo mengi sana yasio na faida kwenye jezi.
-- mo dewj matakoni
--mo extra
--mo energy
Upuuzi kibqo kwenye jezi...
Mimi ni Simba damu lakini sinunuwi jezi ya simba sababu ya matangazo ya kipuuzi...
Upuuzi mtupu kwa simba.Hapa napo mo anatupiga sana yaani kuwa mdhamini wa timu imekuwa nongwa anataka hadi biashara zake napo zitangazwe na simba,pale simba hata haya mauozo yote yanayotokea pale viongozi upande wa wanachana wanaogopa kumchana live muwekezaji kwamba anachafua jezi
Nimecheka mkuu 😂😂😂😂😂 daaah huko x majaamaa yanatukana kina mangungu mpaka nomaSiku hizi, si jezi, si mpira vyote vimetukimbia
Ya Simba nzuriiii [emoji85]Sawa tufanye Jemedari anajipendekeza kwa GSM na tunaamini kabisa wewe hujipendekezi kwa GSM haya sasa tuambie jezi ya Yanga na ya Simba ipi ni nzuri, ipi ni viwango?
Yaani sema kabisa tu ukweli wako
Hahahaa ana maspika yake makubwa kayaweka shop pale yanapiga kelele kweli yan kuvutia wateja waende wakadake jezi, aisee hatariii, alafu namwonaga studio hapa njia panda ya mwananyamala nyuma ya roby one fashion sijui anajenga gorofa pale, noma sanaSunderland the only one
Jezi ya asenali tamu balaa[emoji39]Ushafuatilia jezi za arsenal!?