Mwendawazimu akikuibia nguo zako wakati wewe unaoga mtoni ni busara kumuacha tu aende nazo na wewe kutafuta ustaarabu mwingine, lakini ukikasirika na kuanza kumtoa mbio wapita njia hawataelewa mwendawazimu ni nani kati ya wewe unayemkimbiza na huyo anaye kimbizwa.....