Jemedari Said wa EFM: Gael Bigirimana hakuwahi Kucheza Ligi Kuu ya Uingereza, wana Yanga SC walidanganywa pakubwa

Mwendawazimu akikuibia nguo zako wakati wewe unaoga mtoni ni busara kumuacha tu aende nazo na wewe kutafuta ustaarabu mwingine, lakini ukikasirika na kuanza kumtoa mbio wapita njia hawataelewa mwendawazimu ni nani kati ya wewe unayemkimbiza na huyo anaye kimbizwa.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…