Jemedari Saidi: Huna hata kombe la kuonyesha kwanini shughuli yako isiwe ya muda mfupi.

Jemedari Saidi: Huna hata kombe la kuonyesha kwanini shughuli yako isiwe ya muda mfupi.

Frank Wanjiru

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2012
Posts
22,719
Reaction score
40,739
Wasanii watatu, Dj mmoja, Mc mmoja, Wageni wawili, Huna kombe la kuonesha, huna mchezaji wa kuringishia

kwanini shughuli isiishe mapema

Yani shughuli kama ya Ubarikio hakuna mambo mengi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Duniani kama hujafanya mambo makubwa hata MSIBA wako utakuwa mfupi yaani utasikia MAREHEMU alizaliwa akazurura akafa basi
@Jemedar_said
 
Wasanii watatu, Dj mmoja, Mc mmoja, Wageni wawili, Huna kombe la kuonesha, huna mchezaji wa kuringishia

kwanini shughuli isiishe mapema

Yani shughuli kama ya Ubarikio hakuna mambo mengi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Duniani kama hujafanya mambo makubwa hata MSIBA wako utakuwa mfupi yaani utasikia MAREHEMU alizaliwa akazurura akafa basi
@Jemedar_said
Uto wenye akili 2 tu.
 

Attachments

  • FB_IMG_17219444798440203.jpg
    FB_IMG_17219444798440203.jpg
    96.3 KB · Views: 4
Sherehe ya Uto ilikuwa ni ya hovyo sana na hata mpangilio haukuwepo, Sound ilikuwa ime setiwa vibaya, Ma MC walichokuwa wanakifanya hata hakieleweki, Mtumbuizaji rasmi Mmakonde mbwembwe nyingi anakimbia kimbia tu mpaka pumzi ikakata. Wataalamu wa events ( Events Planners) Ukiwapa kazi ya kutoa tathimini watakueleza kwa uzuri tu.
 
Shughuli inaisha mapema watu warudi nyumbani mapema huyo mjuaji anataka tulale uwanjani.
 
Kauli zake dhidi ya Simba ambazo amekuwa anatoa akiwa redioni kama mchaaa mbuzi zilitosha kuifanya Simba kusitisha mahusiano naye ya kibiashara
 
Wasanii watatu, Dj mmoja, Mc mmoja, Wageni wawili, Huna kombe la kuonesha, huna mchezaji wa kuringishia

kwanini shughuli isiishe mapema

Yani shughuli kama ya Ubarikio hakuna mambo mengi๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Duniani kama hujafanya mambo makubwa hata MSIBA wako utakuwa mfupi yaani utasikia MAREHEMU alizaliwa akazurura akafa basi
@Jemedar_said
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Huyu jamaa ni Yanga WA utotoni, sema huku ukubwani anasukumwa na masilahi yake!
Alianza kuichukia Yanga sababu ya kumuacha Metacha Mnata na kuwalazimisha wachezaji WA Yanga kutomtumia yeye kama manager.

Sasa Simba wamezingua kwa Manula, lazima aoneshe cheche kwao!
 
Back
Top Bottom