Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Uto wenye akili 2 tu.Wasanii watatu, Dj mmoja, Mc mmoja, Wageni wawili, Huna kombe la kuonesha, huna mchezaji wa kuringishia
kwanini shughuli isiishe mapema
Yani shughuli kama ya Ubarikio hakuna mambo mengiπππππ
Duniani kama hujafanya mambo makubwa hata MSIBA wako utakuwa mfupi yaani utasikia MAREHEMU alizaliwa akazurura akafa basi
@Jemedar_said
Ngungus Boy na RageUto wenye akili 2 tu.
Ameumia Sana 'duka' kuondolewa inawezekana nusu ya muamala WA tarehe 8 ulishasomaπHasira za sintofahamu ya mchezaji wake na club
Nani huyo mcheza?Hii kiboko..
Zee nafki limeamua kunyea kambi baada ya mchezaji wake kusumbuliwa kule kwa mabumbumbu..
Ndio mana hapo juu nikasema huyu binti mleta mada na huyo shoga firauni ni wagonjwa wa vichaa.Jemedari huyu huyu aliyesema bonanza la utopolo limekua refu ndo anasemaje
Huyu angekua mwanamke angeponda kuanzia vibamia mpaka matangoView attachment 3063891
ππWasanii watatu, Dj mmoja, Mc mmoja, Wageni wawili, Huna kombe la kuonesha, huna mchezaji wa kuringishia
kwanini shughuli isiishe mapema
Yani shughuli kama ya Ubarikio hakuna mambo mengiπππππ
Duniani kama hujafanya mambo makubwa hata MSIBA wako utakuwa mfupi yaani utasikia MAREHEMU alizaliwa akazurura akafa basi
@Jemedar_said