Jenerali Mabeyo: Hifadhi ya Ngorongo Inatakiwa Kubaki Wazi

Jenerali Mabeyo: Hifadhi ya Ngorongo Inatakiwa Kubaki Wazi

Naam libaki wazi..., Ila huo Uwazi ni uwazi kweli sio kufukuza hawa kuleta wengine wakutumia hilo eneo..., kama ni wazi kwa kila mtanzania akijisikia aweze kwenda (tena affordably) ku-enjoy, hapo sawa lakini sio tunasema lipo wazi alafu nikitaka kwenda kuvinjari useme ni trespass
 
Wangekuwa wanabeba Wanyama Tanzania isingeongoza Duniani Kwa Simba wengi na Wanyama wengine.

Haters mnachoweza ni uzushi,haya thibitisha
kama upo karibu nao waulize, wale wanyanma kwenye zoo wamefungua kwao waliwatoa wapi? hata kama bado tunao, ni kweli hawajachukua wote ila wale waliopelekwa kule ni wa kwetu, wametuibia.tulitakiwa kujua kuwa wanasafirisha ili tuwauzie kwa uwazi ru sio kimyakimya.
 
My Take
Naunga mkono hoja,hakuna excuses ya sijui Ardhi yetu sijui ya nani? Lazima Hifadhi Ilindwe.https://radiotadio.co.tz/loliondofm/2024/05/07/453/
View attachment 2984619
Na Hao waarabu wanaotua Loliondo na Ngorongro na Midege Mikubwa nao ni Wanyama?
Kauli inayotakiwa kusemwa ni hii "ENEO LA NGORONGORO NI KWA AJIRI YA WAWEKEZAJI WA KIARABU, WANYEJI WOTE WATAFUTE PA KWENDA!!!!!!
 
Na Hao waarabu wanaotua Loliondo na Ngorongro na Midege Mikubwa nao ni Wanyama?
Kauli inayotakiwa kusemwa ni hii "ENEO LA NGORONGORO NI KWA AJIRI YA WAWEKEZAJI WA KIARABU, WANYEJI WOTE WATAFUTE PA KWENDA!!!!!!
Tuoneshe midege mikubwa ikitua.Pili kwani wewe hujui kwamba Waarabu ni matajiri? Serengeti sio Hifadhi ya maskini pale Kuna Hotel zinazoongoza Dunia sio tuu Kwa ubora Bali Kwa bei ghali.

So acha ujinga na uzushi wa Wanasiasa wanaowakamata.kwa sababu hamna akili mnategemea kuambiwa.
 
Hiyo ni kweli Ngorongoro majengo yote pamoja na lodges na hoteli hazitakiwi kuwepo . Watalii wanatakiwa waingie na na kutalii Kisha wakalale nje ya crater ili kupisha wanyama waishi maisha yao ya kawaida. Mifugo huleta maradhi kwa wanyama pori pia taa zinazowashwa usiku na harufu za diseli ya jenereta zinaadhiri uzazi wa wanyama. Haya tulifundishwa na kuyajadili mwaka 1984 nchini Austria chuo cha Utalii, hoteli na catering. Vinginevyo wanyama wote watatoweka ndani ya crater.
 
Kwa hiyo NO human activities

Multiple land status IMEONDOLEWA

Mkumbuke watalii huja kuona jinsi binadamu anavyoweza kuishi pamoja na wanyama bila tatizo na hiyo ndo inamplekea Travel Agent kuuza kwa wingi safari za huko shimoni

cc UNESCO

NOTE: Bima na IKOLOJIA wapi na wapi
Yan wameshindwa hata kuangalia movie ya "gods must be crazy"
 
HIFADHI ZOTE NCHINI NI LAZIMA ZIBAKI WAZI, ILI KULINDA UHIFADHI WAKE NA MAANA HALISI YA NENO, HIFADHI YA TAIFA,
Aidha uendelezaji wowote wa hifadhi ufanyike baada ya tathmini ya kina wenye kuepusha uhamiaji wa watu hifadhini, ili zisije geuka majiji ndani ya hifadhi na kuharibu mienendo ya wanyama na ustawi wao!
ECOLOGIA FIRST FOR FUTURE GENERATIONS!
Maraidi watano wote waliopita, wao hawakuwa na upeo huo?
 
Wamasai wakiwemo hifadhi zimejaa.

Waarabu wakiwepo hifadhi zinakua wazi.

Siasa zimeanza kuharibu sifa ya huyu Mzee, na akiendelea hivi atajikuta watu wanamdharau halafu ataanza kuuliza imekuwaje??
 
Na Hao waarabu wanaotua Loliondo na Ngorongro na Midege Mikubwa nao ni Wanyama?
Kauli inayotakiwa kusemwa ni hii "ENEO LA NGORONGORO NI KWA AJIRI YA WAWEKEZAJI WA KIARABU, WANYEJI WOTE WATAFUTE PA KWENDA!!!!!!
ENEO LA NGORO NGORO NI MBUGA TENGEFU KWA AJILI YA WANYAMA PEKEE, SHUGHULI ZINAZORUHUSIWA NI SHUGHULI ZA KITALII PEKEE, SIO RUHUSA KUONDOSHA AIDHA KUBEBA AIDHA KUHAMISHA WANYAMA KATIKA ENEO HILO.
 
Mkuu, kwa hekima hii, ubarikiwe na aliyekuumba, na kwa sababu hii hii, hoja za Mh Lissu kuuhusu muungano, huoni pia kwamba ni wakati sahihi wa kujadiliwa ili tuwe na muungano bira na madhubhuti?

Kwa sababu hoja za ccm ni kulazimiaha wananchi tufumbe macho na tusiwaze chochote linapokuja suala la changamoto za muungano wetu yaani tujisemee hakuna changamoto ili hali zipo

Hamuoni kwamba kushindana na wakati ni kujaribu kuzuia mafuriko ya tsunam mkuu!
Yawezekana hawakuwa na uoni huo, kwani kila jambo hutendeka kwa wakati sahihi unapofikia, watu kujenga makazi ya kudumu katika hifadhi, hili sio jambo sahihi.
 
Kwa hiyo NO human activities

Multiple land status IMEONDOLEWA

Mkumbuke watalii huja kuona jinsi binadamu anavyoweza kuishi pamoja na wanyama bila tatizo na hiyo ndo inamplekea Travel Agent kuuza kwa wingi safari za huko shimoni

cc UNESCO

NOTE: Bima na IKOLOJIA wapi na wapi
Haya ni maagizo ya UNESCO, ambayo yana tally na the 2030 agenda,which demands "Zero Carbon Emmissions." I believe an intelligent mind can extrapolate and tell what "Zero Carbon Emmissision" entails.

.
 
Askari akistaafu anakuwa ktk jeshi la akiba kwa miaka 3, sasa kauli hii ya jenerali mstaafu ni kuwa bado yupo ktk utumishi wa jeshi la akiba hivyo lazima atoe kauli za kumlinda amiri jeshi mkuu
Ngorongoro haihusiani na mambo ya kijeshi, ni suala la kiraia.
 
Back
Top Bottom