ngosha wa mwanza
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 3,832
- 11,964
Mkuu kuna watu ni km nguruwe ndo hilo jamaa kisa lina kaa kwa shemeji yake linaona ni sawa tu watu wasipewe stahiki za.Maskini akipata kazi au pesa kidogo anafikiria ndio mwisho wa maisha
Kuna kupata ulemavu Katika magari tupandayo na tunayoendesha
Usijione umefika kwa kuwaambia ambao hawapo kazini kwa kustaafu wapambane na hali zao
Nani wa kuwapambania wazee wetu kama sio sisi tulio kazini
Leo kijana kesho nawe unazeeka
Chunga mdomo na kauli zako, omba yasikukute
Kuna wazee walipitisha Bungeni wenzao wapate pensheni ya elfu hamsini Leo wanalialia mtaani
Kwa hiyo wanajilinda wenyewe?JWTZ hawana sera ya kuwalinda watu ambao wanakuwa trained kwa kiwango cha Ukomandoo, hawa jamaa walitelekezwa na wamepitia wakati mgumu mno.
Nenda wewe basi ukawe MabeyoWe unaona anajielewa licha ya kujua chochote?
Ww Hamnazo Mkuu hatuna CDF anayeitwa Mabeho Nchi hiiWe Taga, hebu zinduka usijifanye hamnazo;
Jaji ndo anawatesa?
Jaji ndo aliwafukuza kazi?
Jaji ndo mkuu wa kikosi kule ngerengere?
Gen. Mabeho anaekezwa kwa sbb yy ndiye overall incharge na commander in chief ambaye anatakiwa kujua wapi wanajeshi wake wanapitia.
Achana na MATAGA hayo mkuu hayana uwezo wa kufikiri wala utu, yanajiona malaika siku zotewatu wanachojadili kule kuondolewa kwao kwa kukutwa na matatizo ya akili ndio sababu iyo,je walishindwa kuwatibia,sawa wanaumwa basi wangeweza kuwapa kazi ambazo zinaendana na vile walivyo na sio kufukuzwa,sawa u8memfuka je unategemea uko mtaani ataishije
Kwamba ukiwa komandoo uachwe ufanye utakacho?Mtani wangu na mkuu wangu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Venance Mabeyo, nakusalimu na kukutakia kazi njema. Nakuuliza tu kizalendo: unayasikia au kuyasoma maneno yasemwayo na makomandoo wetu walio washtakiwa na mashahidi kwenye kesi ya ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake? Hakika, makomandoo hawa (ingawa kwasasa wote hawako tena jeshini/kazini) wanazungumza vya kushangaza na kuogofya.
AiseeMaana yake nn Mabeyo akawe jaji au una mananisha nn bwasheee?
InasikitishaNiliwaahi andika humu, ila shida ni kutafutana.
Mimi Kaka yangu ( mtoto wa mama mkubwa)
Wakiwa pale kambi ya ukomandoo Morogoro...
Posho zao wakawa hawapewi, wakaamua kuja Dar makao makuu JWTZ kulalamikia.
maajabu, wakapewa Kesi za Uhaini, uhujum, uasi, uporaji wa Mali za Raia.
Walikua vijana 60 wa Mafunzo ya ukomando
30 wakasamehewa ...30 Wakafungwa jela mwaka 2015 akiwemo Kaka yangu huyo.
Waziri Mkuu anajua, Mwinyi anajua, Mwanasheria Mkuu wa wakat huo anajua,Mkuu wa Majeshi alopita anajua ..maana suala lao lilijitokeza 2013 .
WAKAFUKUZWA KAZI BILA KUPEWA BARUA YA KUACHISHWA KAZI, BILA KUPEWA MAFAO YAO, IKUMBUKE TOKA HUO MWAKA 2013 MPAKA 2015 ,MISHAHARA YAO ILISIMAMISHWA.
Walikua kuachiwa mwaka 2017 kwa msamaha
mpaka naongea hii Leo, Hawa vijana wamejitahidi kutafuta haki zao sanaaa ,wametumia wanasheria wapiiii..suala lao linaminywa chini chini.
KWA sasa wamebaki vijana 29. ..baada ya mmoja maisha kumchanganya, akaungana kwenye ujambazi,... Alipigwa risasi.
Siwezi kubishana na wewe!Acha uongo hawana mafunzo wanabomoa tofali vibao tu vya Godluck wanalia
Mkuu!Ina maana makomandoo ni kama laana kwa taifa?Hawapendwi,hawathaminiwi ?au wanaonekanaje kwani???AU UKOMANDO HAUNA MAANA TENA HAPA NCHINI!!!Niliwaahi andika humu, ila shida ni kutafutana.
Mimi Kaka yangu ( mtoto wa mama mkubwa)
Wakiwa pale kambi ya ukomandoo Morogoro...
Posho zao wakawa hawapewi, wakaamua kuja Dar makao makuu JWTZ kulalamikia.
maajabu, wakapewa Kesi za Uhaini, uhujum, uasi, uporaji wa Mali za Raia.
Walikua vijana 60 wa Mafunzo ya ukomando
30 wakasamehewa ...30 Wakafungwa jela mwaka 2015 akiwemo Kaka yangu huyo.
Waziri Mkuu anajua, Mwinyi anajua, Mwanasheria Mkuu wa wakat huo anajua,Mkuu wa Majeshi alopita anajua ..maana suala lao lilijitokeza 2013 .
WAKAFUKUZWA KAZI BILA KUPEWA BARUA YA KUACHISHWA KAZI, BILA KUPEWA MAFAO YAO, IKUMBUKE TOKA HUO MWAKA 2013 MPAKA 2015 ,MISHAHARA YAO ILISIMAMISHWA.
Walikua kuachiwa mwaka 2017 kwa msamaha
mpaka naongea hii Leo, Hawa vijana wamejitahidi kutafuta haki zao sanaaa ,wametumia wanasheria wapiiii..suala lao linaminywa chini chini.
KWA sasa wamebaki vijana 29. ..baada ya mmoja maisha kumchanganya, akaungana kwenye ujambazi,... Alipigwa risasi.
Nchini zingine huwatumia kwa kazi maalum pindi wakiwa wamestaafu mfano china America Uk German France kenya Uganda huwatumia kwenda kufundisha nchi zingine kisha Serikali kuingiza Pato na wengine husalia kuwa washauri wa kijeshi hupewa vitengo maalum, lakini kwa Tanzania ni ajabu wanastaafu wanabakia kuhangaika mitaani na wakipata ajila binafsi DC Sabaya kwa kutaka kumfurahisha magufuli anawabambikia kesi ambayo imelichafua kulitia aibu jeshi la Polisiccm.JWTZ hawana sera ya kuwalinda watu ambao wanakuwa trained kwa kiwango cha Ukomandoo, hawa jamaa walitelekezwa na wamepitia wakati mgumu mno.
Dc Sabaya alitaka sifa kwa kuwabambikia kesi ya ugaidi kumbe hakujua ataidhalilisha Taaluma ya ukomandooMkuu!Ina maana makomandoo ni kama laana kwa taifa?Hawapendwi,hawathaminiwi ?au wanaonekanaje kwani???AU UKOMANDO HAUNA MAANA TENA HAPA NCHINI!!!
Pengine mungu ana makusudi yake, mungu kafungua mabaya yaliyokuwa yamejificha kwenye utawala wa magufuli na hii itakuwa fundisho kwa utawala huu na Tawala zijazoHii kesi inalipa aibu kubwa sana Taifa letu!
Inawaumbua wakubwa mno mno na taasisi zake!
Raisi angewatafuta na kuwachukulia hatua kali waliomlisha matango pori kuhusu kesi hii nae akaidanganya dunia!
Wote walishinikiza kuipeleka hii kesi mahakamani wachukuliwe hatua na fedha za walipakodi zirudi kwa kukatwa au kutaifishwa kwa mali zao.
Mahita na kingai yafaa kufikishwa The Hague kabsa kwa unyama waliotenda kuwapiga kuwatesa watu waseme Ugaidi hewa, kulazimisha mtu akubali ugaidi ambao haukuwepo ni kitendo kibaya sana, mahita na kingai waseme walipo Urio na mwenzake ambaye inasemekana alikufa kwa Mateso yao ya kumfurahisha DC Sabaya.JWTZ ni lazima waje na kauli, hili hatuwezi kunyamaza kabisa - kesi ya Mh. Mbowe imefurumua mengi...
Na naomba mawakili tujipange kuwafungulia mashitaka hawa jamaa Jummanne, Mahita, Goodluck, Azizi, na baba yao Kingai... hawa watano wametumia madaraka yao vibaya, ushahidi tunao umeshiba.
WASHITAKIWE MARA MOJA.