Mzee tupatupa JWTZ wanasheria na taratibu zao ambazo ni tofauti na chombo chochote hapa TZ.
Adamoo namfahamu tangu 841 kj akiwa danger coy.
Ukiona askari JWTZ anafukuzwa jeshi tena commando ujue kuna mengi na mazito yaliyoko nyuma yake ambayo mm na ww hatuyajui.
Jwtz wana mahakama zao ambazo unatumikia kufungo ukiwa kazin lakn endapo hubadiliki unapigwa chini.
Hao akina Adamoo baada ya kufukuzwa kazi ndio wakajiunga huko kwa mbowe na mwenzao mmoja mzanzibar akawa mkufunzi kibiti.
Hapa wengi mnajadili haya kwa mtazamo wa kisiasa lakn utambue kuwa mpaka Jwtz wanakufukuza ujue umeshindikana.
Siku hizi vijana wengi wanaojiunga majeshini ni wale walioshindikana nyumban na wanapokuwa kazn bado hawabadliki wanaendekeza usera mavi.
Kingai, Jumanne, Mahita, Goodluck na Msemwa wana mabandiko yao generic. Kama hili lako mkuu.
Ukweli mchungu: waliyotendewa makomando hawa si haki na wahusika ni muhimu wakatiwa adabu.