Jenerali Mabeyo, unayasikia yasemwayo na makomandoo wetu mahakamani kwenye kesi ya Mbowe?

Jenerali Mabeyo, unayasikia yasemwayo na makomandoo wetu mahakamani kwenye kesi ya Mbowe?

Mzee tupatupa JWTZ wanasheria na taratibu zao ambazo ni tofauti na chombo chochote hapa TZ.

Adamoo namfahamu tangu 841 kj akiwa danger coy.

Ukiona askari JWTZ anafukuzwa jeshi tena commando ujue kuna mengi na mazito yaliyoko nyuma yake ambayo mm na ww hatuyajui.

Jwtz wana mahakama zao ambazo unatumikia kufungo ukiwa kazin lakn endapo hubadiliki unapigwa chini.

Hao akina Adamoo baada ya kufukuzwa kazi ndio wakajiunga huko kwa mbowe na mwenzao mmoja mzanzibar akawa mkufunzi kibiti.

Hapa wengi mnajadili haya kwa mtazamo wa kisiasa lakn utambue kuwa mpaka Jwtz wanakufukuza ujue umeshindikana.

Siku hizi vijana wengi wanaojiunga majeshini ni wale walioshindikana nyumban na wanapokuwa kazn bado hawabadliki wanaendekeza usera mavi.

Kingai, Jumanne, Mahita, Goodluck na Msemwa wana mabandiko yao generic. Kama hili lako mkuu.

IMG_20211202_092804_863.jpg


Ukweli mchungu: waliyotendewa makomando hawa si haki na wahusika ni muhimu wakatiwa adabu.
 
Niliwaahi andika humu, ila shida ni kutafutana.


Mimi Kaka yangu ( mtoto wa mama mkubwa)

Wakiwa pale kambi ya ukomandoo Morogoro...

Posho zao wakawa hawapewi, wakaamua kuja Dar makao makuu JWTZ kulalamikia.


maajabu, wakapewa Kesi za Uhaini, uhujum, uasi, uporaji wa Mali za Raia.


Walikua vijana 60 wa Mafunzo ya ukomando

30 wakasamehewa ...30 Wakafungwa jela mwaka 2015 akiwemo Kaka yangu huyo.


Waziri Mkuu anajua, Mwinyi anajua, Mwanasheria Mkuu wa wakat huo anajua,Mkuu wa Majeshi alopita anajua ..maana suala lao lilijitokeza 2013 .


WAKAFUKUZWA KAZI BILA KUPEWA BARUA YA KUACHISHWA KAZI, BILA KUPEWA MAFAO YAO, IKUMBUKE TOKA HUO MWAKA 2013 MPAKA 2015 ,MISHAHARA YAO ILISIMAMISHWA.


Walikua kuachiwa mwaka 2017 kwa msamaha

mpaka naongea hii Leo, Hawa vijana wamejitahidi kutafuta haki zao sanaaa ,wametumia wanasheria wapiiii..suala lao linaminywa chini chini.






KWA sasa wamebaki vijana 29. ..baada ya mmoja maisha kumchanganya, akaungana kwenye ujambazi,... Alipigwa risasi.
Wakiamua kukinukisha hapatakalika. 29 commandos ni jeshi kamili ujue
 
Mtani wangu na mkuu wangu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Venance Mabeyo, nakusalimu na kukutakia kazi njema. Nakuuliza tu kizalendo: unayasikia au kuyasoma maneno yasemwayo na makomandoo wetu walio washtakiwa na mashahidi kwenye kesi ya ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake? Hakika, makomandoo hawa (ingawa kwasasa wote hawako tena jeshini/kazini) wanazungumza vya kushangaza na kuogofya.

Kuanzia Kusekwa/Adamoo, Ling'wenya hadi Mhina wa jana wamezungumzia kukamatwa kiholela; kuteswa; kutwezwa; kudhulumiwa na madhila mengine. Hawa walifunzwa kwa fedha zetu ili watulinde. Hawa walifunzwa kwa fedha zetu ili watupiganie. Hawa walifunzwa kwa fedha zetu ili watutetee. Hawa walifunzwa kwa fedha zetu ili waendeleze uzalendo na utii wao kwa nchi yetu. Kwanini wamepitishwa kwenye njia waisemayo?

Makomandoo wetu wamelalamika; wamelia; lakini hawana la kufanya hadi mwisho wa kesi. Wenzao wa 92 KJ na kwingineko wanajifunza nini? Wanapata ujumbe gani? Wanawaza nini? Wanawataja wenzao wengine kukamatwa na kuteswa pia. Wako wapi wale waliotajwa? Kazini? Hai? Ndugu yangu Mabeyo, utumishi wako umetukuka. Sina shaka nawe wala na jeshi unaloliongoza. Makomandoo hawa, kwa mujibu wao, waliathirika vitani. Wapewe haki zao. Wakumbukwe. Watendewe yaliyo mema.

Unaandika lakini mtani wangu Jenerali Mabeyo? Nitakuja pia nyumbani na ofisini kusisitiza hili

Wasiojulikana sasa wamejulikana?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kilosa, Morogoro)
Mwambie mtani wako. Atumie elimunyake,cheo chake,na namjua NI mcha Mungu. Achunguze hili Jambo. Yawezekana hawa wakamataji sio Polisi NI genge Fulani,Ila limejichomeka kwenye kivuli cha TAASISI yetu tunayo iamini
 
Kwenye mkutano wa JWTZ na vyombo vya habari walisema jeshi haliajiri lakini linaandikisha,kama hujaajiriwa na umeandikishwa tu ndo chanzo cha kutelekezwa.
lakini jwtz kutelekeza komando haijakaa sawa.
pia komandoo kukamatwa/kutekwa kama kuku kuna siku hao polisi watapata wakinachokitafta,
hebu tujiulize kama makomandoo wote wako kama akina Adamoo au Bwile?
je walioko huko makambini wanachuliaje wenzao kuteswa tena na polisi?
au na wao kesho wakiwa mtaani yatawapata ya wenzao?
maswali mengi kuliko majibu
 
hapa JF kuna siku mada zinazogusa ccm zitakula ban au kufutwa !.
tupo hapa maana mwenye JF na moderator wanajua utamu wa nchi sasa kuogopa
 
Mzee tupatupa JWTZ wanasheria na taratibu zao ambazo ni tofauti na chombo chochote hapa TZ.

Adamoo namfahamu tangu 841 kj akiwa danger coy.

Ukiona askari JWTZ anafukuzwa jeshi tena commando ujue kuna mengi na mazito yaliyoko nyuma yake ambayo mm na ww hatuyajui.

Jwtz wana mahakama zao ambazo unatumikia kufungo ukiwa kazin lakn endapo hubadiliki unapigwa chini.

Hao akina Adamoo baada ya kufukuzwa kazi ndio wakajiunga huko kwa mbowe na mwenzao mmoja mzanzibar akawa mkufunzi kibiti.

Hapa wengi mnajadili haya kwa mtazamo wa kisiasa lakn utambue kuwa mpaka Jwtz wanakufukuza ujue umeshindikana.

Siku hizi vijana wengi wanaojiunga majeshini ni wale walioshindikana nyumban na wanapokuwa kazn bado hawabadliki wanaendekeza usera mavi.
Kwa maana iyo jeshi nao wanamakosa katika kuchukua watu ambao si waminifu,
 
Mzee tupatupa JWTZ wanasheria na taratibu zao ambazo ni tofauti na chombo chochote hapa TZ.

Adamoo namfahamu tangu 841 kj akiwa danger coy.

Ukiona askari JWTZ anafukuzwa jeshi tena commando ujue kuna mengi na mazito yaliyoko nyuma yake ambayo mm na ww hatuyajui.

Jwtz wana mahakama zao ambazo unatumikia kufungo ukiwa kazin lakn endapo hubadiliki unapigwa chini.

Hao akina Adamoo baada ya kufukuzwa kazi ndio wakajiunga huko kwa mbowe na mwenzao mmoja mzanzibar akawa mkufunzi kibiti.

Hapa wengi mnajadili haya kwa mtazamo wa kisiasa lakn utambue kuwa mpaka Jwtz wanakufukuza ujue umeshindikana.

Siku hizi vijana wengi wanaojiunga majeshini ni wale walioshindikana nyumban na wanapokuwa kazn bado hawabadliki wanaendekeza usera mavi.
Kuna jamaa mtaani kwetu yupo kwenye miaka 48 anasema yeye kastaafu mwaka juzi,je nae atakuwa amefukuzwa ama niamini tu kastaafu kama alivyoniambia
 
Hawa hawakuwa Makomandoo wa JWTZ wakati wanakamatwa.

Walikwishafukuzwa jeshini kwa utovu wa nidhamu.

Wakaamua kuwa Makomandoo wa mbowe na hatujui alitaka kuwatumia kwa kazi ipi.

Subirini mahakama iamuwe haki. Acheni kuwewseka ovyo mitandaoni .
 
Mtani wangu na mkuu wangu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jenerali Venance Mabeyo, nakusalimu na kukutakia kazi njema. Nakuuliza tu kizalendo: unayasikia au kuyasoma maneno yasemwayo na makomandoo wetu walio washtakiwa na mashahidi kwenye kesi ya ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe na wenzake? Hakika, makomandoo hawa (ingawa kwasasa wote hawako tena jeshini/kazini) wanazungumza vya kushangaza na kuogofya.

Kuanzia Kusekwa/Adamoo, Ling'wenya hadi Mhina wa jana wamezungumzia kukamatwa kiholela; kuteswa; kutwezwa; kudhulumiwa na madhila mengine. Hawa walifunzwa kwa fedha zetu ili watulinde. Hawa walifunzwa kwa fedha zetu ili watupiganie. Hawa walifunzwa kwa fedha zetu ili watutetee. Hawa walifunzwa kwa fedha zetu ili waendeleze uzalendo na utii wao kwa nchi yetu. Kwanini wamepitishwa kwenye njia waisemayo?

Makomandoo wetu wamelalamika; wamelia; lakini hawana la kufanya hadi mwisho wa kesi. Wenzao wa 92 KJ na kwingineko wanajifunza nini? Wanapata ujumbe gani? Wanawaza nini? Wanawataja wenzao wengine kukamatwa na kuteswa pia. Wako wapi wale waliotajwa? Kazini? Hai? Ndugu yangu Mabeyo, utumishi wako umetukuka. Sina shaka nawe wala na jeshi unaloliongoza. Makomandoo hawa, kwa mujibu wao, waliathirika vitani. Wapewe haki zao. Wakumbukwe. Watendewe yaliyo mema.

Unaandika lakini mtani wangu Jenerali Mabeyo? Nitakuja pia nyumbani na ofisini kusisitiza hili

Wasiojulikana sasa wamejulikana?

Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Kilosa, Morogoro)
Wale vijana hata kwa kuangalia kwa sura tu.(wataalamu wa saikolojia mtusaidie.) Kuna sura ya gaidi kweli hapo? vijana ambao wametumikia Taifa kwa uaminifu Leo wanalipwa mateso,kisa siasa.Inaumiza Sana.
 
Kwenye mkutano wa JWTZ na vyombo vya habari walisema jeshi haliajiri lakini linaandikisha,kama hujaajiriwa na umeandikishwa tu ndo chanzo cha kutelekezwa.
lakini jwtz kutelekeza komando haijakaa sawa.
pia komandoo kukamatwa/kutekwa kama kuku kuna siku hao polisi watapata wakinachokitafta,
hebu tujiulize kama makomandoo wote wako kama akina Adamoo au Bwile?
je walioko huko makambini wanachuliaje wenzao kuteswa tena na polisi?
au na wao kesho wakiwa mtaani yatawapata ya wenzao?
maswali mengi kuliko majibu
Acha kutishia nyau. Kwahiyo mapolisi hawawezi kuzichapa? Kiufupi tuseme tu kitawaka maana mapoti nao si watu wa mchezo mchezo.
 
Shida inakuja JF watu humu wanajifanya wajuaji sana kumbe wanaungua na jua hao makomado ni walevi tu wa pombe za kienyeji jeshi msifikiri kma sungu sungu
 
Maskini akipata kazi au pesa kidogo anafikiria ndio mwisho wa maisha

Kuna kupata ulemavu Katika magari tupandayo na tunayoendesha

Usijione umefika kwa kuwaambia ambao hawapo kazini kwa kustaafu wapambane na hali zao

Nani wa kuwapambania wazee wetu kama sio sisi tulio kazini

Leo kijana kesho nawe unazeeka

Chunga mdomo na kauli zako, omba yasikukute

Kuna wazee walipitisha Bungeni wenzao wapate pensheni ya elfu hamsini Leo wanalialia mtaani
Acha kumtisha mtu wwe we nani
 
Shida inakuja JF watu humu wanajifanya wajuaji sana kumbe wanaungua na jua hao makomado ni walevi tu wa pombe za kienyeji jeshi msifikiri kma sungu sungu
Kwaiyo walikuwa makomandoo wenzake na jaydee?
 
Mimi sio mfuatiliaji wa masuala ya siasa,lakini leo kwa hii thread,kuna jambo huko kwa mbowe haliko sawa, kuna mazingira tatanishi kayatengeneza nikiunganisha dots mmmmh hatari tuwaachie mambo yao wenyewe na serikali [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Akili hauna unafikiri ukiwa na upande shameful and pathetic
 
Back
Top Bottom