Jenerali Mabeyo, unayasikia yasemwayo na makomandoo wetu mahakamani kwenye kesi ya Mbowe?

Kitendo cha kwenda kumpiga kumtesa mtu wakati ukijua kuwa hana kosa siyo gaidi ndicho kimelitia Doa jeshi la Polisiccm
 
Jeshini yapo matatizo mengi, Sheria za jwtz ni zilezile za mkononi hazijafanyiwa marekebisho, hakuna vifungu vya kuwabana wakuu wa kijeshi kuwafukuza Asikari kiholela pasipo kuwapa nafasi ya kutosha kujitetea, wapo wanasheria wa jwtz lakini ni wachache sana ni nadra kuwatetea Asikari masikini ambao hawana ndugu mkubwa au network jeshini,

Asikari wengi hufukuzwa jeshini kiholela pasipo kujali gharama zilizotumika kumfundisha kumpa ujuzi wa kijeshi, tena wengine hufukuzwa hata kwa wivu wa Mapenzi kisa pengine kuna mwanamke yupo na boss lakini anampenda Asikari wa chini ndipo boss hutengeneza mitego na mazingira ya kumfuza kazi ama kumhamishia vikosi vya mbali zaidi na wengi ndipo huacha wenyewe kwa Hofu, jwtz yafaa itengeneze Sheria mpya nzuri iwashirikishe Asikari wote wapate kutoa maoni kwa uwazi mkubwa.
 
Acha ufala kwani yeye hana damu kwani yeye siyo binadamu kupigwa kwa uonevu kusingiziwa uongo ulitaka anyamaze? Si uliona yule mwenzao alivumila maumivu akaishia kufariki kwa mateso, kulazimisha mtu akubali ugaidi hewa ndicho kilimliza zaidi.
Bongo ina makomando mdebwedo.
 
Aiseeee !!
 
Ukomandoo, kumbe ni jambo la hovyo såna, unateseka kujifunza kufanya mission ngumu halafu unakuja kutupwa kama takataka
 
So sad aisee, yaani kama waliyosema ni kweli basi kuna shida somewhere kwenye mifumo yetu au sheria zetu.

Testimony ya criminal defendant kwenye kesi yake mwenyewe sio ya kulalia mlango wazi. Vinginevyo, hakuna criminal defendant anayeweza kupatikana na hatia!
 

Don’t take anything at face value. These are criminal defendants. Testimonies za criminal defendants kwenye kesi zao wenyewe katu sio za kulalia mlango wazi. Vinginevyo, hakuna criminal defendant anayeweza kupatikana na hatia!
 

Hivi mbona CDO Lt urio hakutokea kutoa ushahidi ?
 
Hii nchi inanuka dhuluma na laana za watu.
Kamwe haitaendelea. Nchi za wetu hawa huthaminiwa na kulindwa vema.
 
Inaelekea JWTZ inathamini wanajeshi wakiwa na afya njema lakini pindi wakiumia au kupata maradhi wakiwa kazini inawatelekeza!

Amiri Jeshi Mkuu anapaswa kuangalia upya jambo hili kwani halina afya kwa ustawi wa jeshi letu.
Jeshi letu la ovyo hasa kwa askari wasio na vyeo. Ni takataka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…