Jenerali Mirisho Sarakikya: Niliteuliwa kuwa Mkuu wa Majeshi nikiwa na umri wa miaka 30

Siyo Sarakikya. Ni Sayole aliyekuwa mkuu wa chuo Monduli Tanzania Military Academy.


Kuna uzi ulitupiwa hapa JamiiForums kuhusu aliyepata kuwa mkuu wa chuo cha kijeshi Monduli (TMA), na baadaye kuwa chief of Staff TPDF / JWTZ Lt. Gen Gideon Sayore na Jakaya Kikwete :

 
MAFANIKIO TPDF SHEREHE ZA MIAKA 60 YA UHURU

Major General Shabani B. Mani mkuu wa kamandi ya jeshi la anga anasimulia muendelezo wa TPDF / JWTZ kuzidi kujipanga kisasa tangu Tanzania ilipopata uhuru.
Source : Ulinzi Channel
 
Ila kama unafahamika na wakubwa hukosi kitengo kizuri....

..zamani kila graduate wa udsm alikuwa anapata kazi serikalini au ktk mashirika ya umma.

..kulikuwa hakuna haja ya kujuana na mkubwa yeyote, wahitimu watarajiwa walikuwa wanajaza fomu kueleza wanataka kufanya kazi wapi na wanapangiwa kulingana na walichochagua.

..wakati mwingine serikali ilikuwa inapeleka wanafunzi nje ya nchi kusoma ili watakaporudi waajiriwe ktk taasisi fulani.

..kwa mfano, kabla kiwanda cha karatasi Mufindi hakijaanza kazi, serikali ilipeleka wanafunzi India, kusomea taaluma mbalimbali zilizokuwa zinahitajika kiwandani.
 
Huo umri kwa miaka ya Sasa Ni special kwa ajili ya kula tunda kimasihara.
 
HUU uzee ni tabu, kumbukumbu zangu zinanisuta kuwa aliyeshitakiwa na Jakaya ni Sayore( aliyekuwa mkuu wa chuo cha kijeshi cha Monduli) na "SI" sarakikya. Sarakikya hajawahi kuwa boss wa Jakaya. iLA inaonesha mpeleka mashitaka alikuwa na lake jambo
Pamoja na kusahihisha, pia umechapia huo ndiyo mwisho wa uanajeshi waJakaya. KLama ipo hiyo barua inawezekana, lakini Kikwete aliendelea kuwa jeshini na kupanda hadi cheo kuwa kanali. Sijui kama unajuwa Kikwete alikuwa usalama wa taifa miaka yote mpaka alipokuwa raisi, ila yeye hakukaa au kuifanyia hiyo kazi katika ofisi na majengo ya usalama wa taifa. Siku zote kazi zake zilizokuwa zinajulikana ni za kiraia kumbe hizo zilikuwa geresha tu.
 
Jamaa anatuchukulia poa sana๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ alivyosimulia utadhani watu hawajui
Jamaa atakuwa aliyemsimulia nae alisimuliwa hakuwa na nia ya kutulisha matango pori
 
Gen. Mwita Waitara hakuwahi kuwa Mkubwa kwa cheo kwa Gen. Sarakikya, nadhani umechanganya majina.
 
Gen. Mwita Waitara hakuwahi kuwa Mkubwa kwa cheo kwa Gen. Sarakikya, nadhani umechanganya majina.

..Mirisho Sarakikya aliondoka jeshini mwaka 1974 akiwa Meja Jenerali [ 2 star general ]

..alibaki na rank hiyo mpaka pale Rais Mkapa alipompandisha kuwa Jenerali [ 4 star general ].

..sasa kati ya 1974 mpaka Sarakikya anapandishwa ngazi, Twalipo, Musuguri, Kiaro, walitangulia kuwa Majenerali [ 4 star ].

..Kwa hiyo mchangiaji akisema Twalipo, Musuguri, au Kiaro, walikuja kuwa mabosi kwa Mirisho Sarakikya hawatakuwa wamekosea.
 
Hakuna facebook, instagram, tiktok na picha za ngono. Zamani ukiwa na kiu ya kusoma unakuwa msomi kweli. Sasa hivi distractions nyingi, ukitoka nje tu unakutana na wadada wamevaa nusu uchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ