Jenerali Ulimwengu adai wamiliki wa vituo vya mafuta wanahujumu miradi matumizi ya gesi kwenye magari

Jenerali Ulimwengu adai wamiliki wa vituo vya mafuta wanahujumu miradi matumizi ya gesi kwenye magari

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Jenerali Ulimwengu amefanya tafakuri kuhusu nishati ya mafuta na gesi katika kufanikisha usafiri nchini. Kwa tathmini yake amebaini wamiliki wa vituo vya mafuta wapo mstari wa mbele kukwamisha matumizi ya gesi nchni.

Gesi ni rahisi sana lakini pamoja na urahisi wa bei idadi ya vituo vya mafuta vinavyojengwa ni vingi jambo linaloashiria kwamba miamba imeshika soko na mifumo ya maamuzi ya nchi.

Hoja ya Jenerali inaungwa mkono na ya Mbunge wa Geita maarufu kama Msukuma. Alidai bungeni siku chache zilizopita kwamba issue ya gesi imekamatwa na serikali na hawataki kutoka vibali kwa sekta binafsi.

Wakati haya yanasema msimamizi wa sekta hii Mhe. Biteko bado akajitokeza adharani kutoa maoni ya serikali ikiwa ni pamoja na kuzipinga au kuziunga mkono tuhuma hizi.

Kwanini serikali isisitishe kwa muda ujenzi wa vituo vipya vya mafuta na kuwaelekeza wawekezaji wawekeze kwenye vituo vya gesi?
 
Nilivyoangalia CLIP YA DR. SHUKURU KAWAMBWA akipambana na UHARIBIFU WA MAZINGIRA KULE BAGAMOYO mpaka akadhalilishwa GHAFLA kichwani likaja jina la JENELALI ULIMWENGU na MACHIMBO YAKE YA MCHANGA YANAVYOHARIBU MIUNDOMBINU.........

NEMC
WNAMAZINGIRA
WIZARA YA MADINI
MMETEMBELEA MACHIMBO YA MCHANGA YA ULIMWENGU?????????
 
Nilivyoangalia CLIP YA DR. SHUKURU KAWAMBWA akipambana na UHARIBIFU WA MAZINGIRA KULE BAGAMOYO mpaka akadhalilishwa GHAFLA kichwani likaja jina la JENELALI ULIMWENGU na MACHIMBO YAKE YA MCHANGA YANAVYOHARIBU MIUNDOMBINU.........

NEMC
WNAMAZINGIRA
WIZARA YA MADINI
MMETEMBELEA MACHIMBO YA MCHANGA YA ULIMWENGU?????????
Machimbo ya mchanga imeingiaje tena hapa
Kwenye mambo ya gas na mafuta

Ova
 
Jenerali Ulimwengu amefanya tafakuri kuhusu nishati ya mafuta na gesi katika kufanikisha usafiri nchini. Kwa tathmini yake amebaini wamiliki wa vituo vya mafuta wapo mstari wa mbele kukwamisha matumizi ya gesi nchni.

Gesi ni rahisi sana lakini pamoja na urahisi wa bei idadi ya vituo vya mafuta vinavyojengwa ni vingi jambo linaloashiria kwamba miamba imeshika soko na mifumo ya maamuzi ya nchi.

Hoja ya Jenerali inaungwa mkono na ya Mbunge wa Geita maarufu kama Msukuma. Alidai bungeni siku chache zilizopita kwamba issue ya gesi imekamatwa na serikali na hawataki kutoka vibali kwa sekta binafsi.

Wakati haya yanasema msimamizi wa sekta hii Mhe. Biteko bado akajitokeza adharani kutoa maoni ya serikali ikiwa ni pamoja na kuzipinga au kuziunga mkono tuhuma hizi.

Kwanini serikali isisitishe kwa muda ujenzi wa vituo vipya vya mafuta na kuwaelekeza wawekezaji wawekeze kwenye vituo vya gesi?
Ni kweli kama ulivyoshauri na magari yakuagiza yawevyale yanayotukia Gas has ya serikali na mashirika ya umma
 
Kwanini serikali isisitishe kwa muda ujenzi wa vituo vipya vya mafuta na kuwaelekeza wawekezaji wawekeze kwenye vituo vya gesi?
Kwani kuna watu wametaka kuwekeza kwenye vituo vya gesi wakazuiwa au kufanyiwa mizengwe?
Tuko kwenye zama za soko huria, mtu anafanya uwekezaji kule anakoona atapata faida, kama havunji sheria za nchi, kumzuia kuwekeza ni kumnyima haki yake.
Wale wanaotaka kuwekeza kwenye vituo vya gesi wawekekeze tu, bila kuzuiwa kwa wengine. Hiyo pia itasaidia kuwa na ushindani wa kibiashara na kupelekea kushuka kwa bei ya mafuta na gesi kwa kwa consumers watakuwa na options za choice. Magari ya EV hayakusubiri makampuni ya mafuta yazuiwe kwanza!
 
Uko sahihi kabisa. tumepiga kelele kuwa vituo vya gesi vianzishwe hapa Mwanza lakini kama vile Serikali haisikii.
Wanaoanzisha vituo vya gesi ya Magari ni sekta binafsi na hawazuiwa kuomba sema mitaji mikubwa na soko halijakolea

Mbona Dar wachina wamewekeza kituo Cha gesi za Magari na mfano Dangote kafunga Magari yake yote mamia yanatumia gesi Malori yote

Huo ni uzushi kusema serikalli inakwamisha.Wenye Magari waige mfano wa Dangot
 
Jenerali Ulimwengu amefanya tafakuri kuhusu nishati ya mafuta na gesi katika kufanikisha usafiri nchini. Kwa tathmini yake amebaini wamiliki wa vituo vya mafuta wapo mstari wa mbele kukwamisha matumizi ya gesi nchni.

Gesi ni rahisi sana lakini pamoja na urahisi wa bei idadi ya vituo vya mafuta vinavyojengwa ni vingi jambo linaloashiria kwamba miamba imeshika soko na mifumo ya maamuzi ya nchi.

Hoja ya Jenerali inaungwa mkono na ya Mbunge wa Geita maarufu kama Msukuma. Alidai bungeni siku chache zilizopita kwamba issue ya gesi imekamatwa na serikali na hawataki kutoka vibali kwa sekta binafsi.

Wakati haya yanasema msimamizi wa sekta hii Mhe. Biteko bado akajitokeza adharani kutoa maoni ya serikali ikiwa ni pamoja na kuzipinga au kuziunga mkono tuhuma hizi.

Kwanini serikali isisitishe kwa muda ujenzi wa vituo vipya vya mafuta na kuwaelekeza wawekezaji wawekeze kwenye vituo vya gesi?
Mafisadi/wamiliki ndiyo wajumbe wa kamati kuu ya CCM taifa,
 
Wanaoanzisha vituo vya gesi ya Magari ni sekta binafsi na hawazuiwa kuomba sema mitaji mikubwa na soko halijakolea

Mbona Dar wachina wamewekeza kituo Cha gesi za Magari na mfano Dangote kafunga Magari yake yote mamia yanatumia gesi Malori yote

Huo ni uzushi kusema serikalli inakwamisha.Wenye Magari waige mfano wa Dangot
Kwanini serikali isianze kutumia kwenye magari yake?
 
Nilivyoangalia CLIP YA DR. SHUKURU KAWAMBWA akipambana na UHARIBIFU WA MAZINGIRA KULE BAGAMOYO mpaka akadhalilishwa GHAFLA kichwani likaja jina la JENELALI ULIMWENGU na MACHIMBO YAKE YA MCHANGA YANAVYOHARIBU MIUNDOMBINU.........

NEMC
WNAMAZINGIRA
WIZARA YA MADINI
MMETEMBELEA MACHIMBO YA MCHANGA YA ULIMWENGU?????????
Nchi imeoza balaa
 
Kwanini serikali isianze kutumia
Serikali haifanyi biashara.Wao wenyewe hununua Mafuta vituo binafsi vya Mafuta .Ni kazi ya sekta binafsi wajenge Kila Kona mikoa yote.Sasa gari ya serikali mfano imewekewa gesi inatoka Dar kwenda Dodoma ikiishiwa gesi njiani Wakati wa kwenda au kurudi atajaza wapi? Hiyo ni Fursa Kwa sekta binafsi wajitose huko lakini kama havipo serikali Magari yataendelea kutumia Mafuta
 
Serikali haifanyi biashara.Wao wenyewe hununua Mafuta vituo binafsi vya Mafuta .Ni kazi ya sekta binafsi wajenge Kila Kona mikoa yote.Sasa gari ya serikali mfano imewekewa gesi inatoka Dar kwenda Dodoma ikiishiwa gesi njiani Wakati wa kwenda au kurudi atajaza wapi? Hiyo ni Fursa Kwa sekta binafsi wajitose huko lakini kama havipo serikali Magari yataendelea kutumia Mafuta
Kwanini wasijenge kila Wilaya
 
Back
Top Bottom