Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Jenerali Ulimwengu amefanya tafakuri kuhusu nishati ya mafuta na gesi katika kufanikisha usafiri nchini. Kwa tathmini yake amebaini wamiliki wa vituo vya mafuta wapo mstari wa mbele kukwamisha matumizi ya gesi nchni.
Gesi ni rahisi sana lakini pamoja na urahisi wa bei idadi ya vituo vya mafuta vinavyojengwa ni vingi jambo linaloashiria kwamba miamba imeshika soko na mifumo ya maamuzi ya nchi.
Hoja ya Jenerali inaungwa mkono na ya Mbunge wa Geita maarufu kama Msukuma. Alidai bungeni siku chache zilizopita kwamba issue ya gesi imekamatwa na serikali na hawataki kutoka vibali kwa sekta binafsi.
Wakati haya yanasema msimamizi wa sekta hii Mhe. Biteko bado akajitokeza adharani kutoa maoni ya serikali ikiwa ni pamoja na kuzipinga au kuziunga mkono tuhuma hizi.
Kwanini serikali isisitishe kwa muda ujenzi wa vituo vipya vya mafuta na kuwaelekeza wawekezaji wawekeze kwenye vituo vya gesi?
Gesi ni rahisi sana lakini pamoja na urahisi wa bei idadi ya vituo vya mafuta vinavyojengwa ni vingi jambo linaloashiria kwamba miamba imeshika soko na mifumo ya maamuzi ya nchi.
Hoja ya Jenerali inaungwa mkono na ya Mbunge wa Geita maarufu kama Msukuma. Alidai bungeni siku chache zilizopita kwamba issue ya gesi imekamatwa na serikali na hawataki kutoka vibali kwa sekta binafsi.
Wakati haya yanasema msimamizi wa sekta hii Mhe. Biteko bado akajitokeza adharani kutoa maoni ya serikali ikiwa ni pamoja na kuzipinga au kuziunga mkono tuhuma hizi.
Kwanini serikali isisitishe kwa muda ujenzi wa vituo vipya vya mafuta na kuwaelekeza wawekezaji wawekeze kwenye vituo vya gesi?