makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Kwa tanzania hii naamini hili kwa 99%
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majangili ndiyo wanatoa maamuziKwa tanzania hii naamini hili kwa 99%
Kwani ntu akitaka kujenga kituo cha gesi mwenye kituo cha mafuta anamzuiaje? Kibali kinatolewa na serikali iweje walaumiwe wengine? Watanganyika wanapenda kulia lia huku hawachukui hatua stahiki.Jenerali Ulimwengu amefanya tafakuri kuhusu nishati ya mafuta na gesi katika kufanikisha usafiri nchini. Kwa tathmini yake amebaini wamiliki wa vituo vya mafuta wapo mstari wa mbele kukwamisha matumizi ya gesi nchni.
Gesi ni rahisi sana lakini pamoja na urahisi wa bei idadi ya vituo vya mafuta vinavyojengwa ni vingi jambo linaloashiria kwamba miamba imeshika soko na mifumo ya maamuzi ya nchi.
Hoja ya Jenerali inaungwa mkono na ya Mbunge wa Geita maarufu kama Msukuma. Alidai bungeni siku chache zilizopita kwamba issue ya gesi imekamatwa na serikali na hawataki kutoka vibali kwa sekta binafsi.
Wakati haya yanasema msimamizi wa sekta hii Mhe. Biteko bado akajitokeza adharani kutoa maoni ya serikali ikiwa ni pamoja na kuzipinga au kuziunga mkono tuhuma hizi.
Kwanini serikali isisitishe kwa muda ujenzi wa vituo vipya vya mafuta na kuwaelekeza wawekezaji wawekeze kwenye vituo vya gesi?
Kipindi hiki cha mama ndiyo balaa maana anashusha meli nzima mafuta yake na ushuru serikalini anakadiria alipe vipiHuyu ndiyo tatizo kubwa
Sure ni aibu snKipindi hiki cha mama ndiyo balaa maana anashusha meli nzima mafuta yake na ushuru serikalini anakadiria alipe vipi
Vituo vya gesi wapi Nchi Nzima Hadi utake serikali iagize Magari yanayotumia gesi tu? Kazi ya kufungua vituo vya gesi ni kazi ya sekta binafsi havipo .Sasa havipo mikoani hayo Magari ya gesi yakiletwa yatajaza wapi? Huko mikoani?Ni kweli kama ulivyoshauri na magari yakuagiza yawevyale yanayotukia Gas has ya serikali na mashirika ya umma
Uko sahihi watu wengine wanachangia kijinga kama vile serikali inazuia watu binafsi kufungua vituo vya gesi za Magari. Dar vipo lakini waliochangamka kufunga ni taxi za Uber tu watu binafsi wamegoma kufunga na Elimu wanayo kuwa gesi Rahisi .Hawataki kufunga pamoja na uwepo wa vituo vya kuwaza hata Generali ulimwengu mwenyewe akitaka hata kesho apeleke gari yake watamungia mfumo wa gesi na hata akitaka kufungua kituo Cha gesi ya Mafuta leseni ndani ya Siku saba atapata kama eneo lake lilishakuwa cleared na NEMC kuwa hakuna athari za mazingiraKwani ntu akitaka kujenga kituo cha gesi mwenye kituo cha mafuta anamzuiaje? Kibali kinatolewa na serikali iweje walaumiwe wengine? Watanganyika wanapenda kulia lia huku hawachukui hatua stahiki.
Suala la biashara linategemea nguvu ya soko ( demand & supply) na sera za kodi nk.
Kwanza baadhi yetu hatuna mpango wa kugeuza magari yetu yawe ya gesi yaani mtu anunue benz halafu atafute nishati ya bei rahisi. Kama sina hela ya mafuta napaki gari kwani lazima niendeshe? Halafu hiyo gesi ni kampeni tu lakini factors nyingine nyingi zikitiliwa maanani mtu anaweza kuanua asibadilishe gari lake liwe la gesi.
SI busara kufuata vitu kwa upepo inatakiwa mtu afanye analysis vizuri kabla ya kuamua jambo.
Kwani sasa hivi hapa Dar wanajazia wapi??Vituo vya gesi wapi Nchi Nzima Hadi utake serikali iagize Magari yanayotumia gesi tu? Kazi ya kufungua vituo vya gesi ni kazi ya sekta binafsi havipo .Sasa havipo mikoani hayo Magari ya gesi yakiletwa yatajaza wapi? Huko mikoani?
Huyo atakuwa muhanga wa hii madaMachimbo ya mchanga imeingiaje tena hapa
Kwenye mambo ya gas na mafuta
Ova
Temeke maeneo ya Tazara pale jirani kabisa na jengo la bodi ya mikopo kituo Kiko opposite kitazamana na soko la MatundaKwani sasa hivi hapa Dar wanajazia wapi??
Yapo wapi tutume vijana kwa wazeeNilivyoangalia CLIP YA DR. SHUKURU KAWAMBWA akipambana na UHARIBIFU WA MAZINGIRA KULE BAGAMOYO mpaka akadhalilishwa GHAFLA kichwani likaja jina la JENELALI ULIMWENGU na MACHIMBO YAKE YA MCHANGA YANAVYOHARIBU MIUNDOMBINU.........
NEMC
WNAMAZINGIRA
WIZARA YA MADINI
MMETEMBELEA MACHIMBO YA MCHANGA YA ULIMWENGU?????????
Aliyehimiza uchimbaji wa gesi hii nchi ni nani?Ukidhibiti biashara ya mafuta umeua maisha ya kikwete na familia yake na hawezi kukubali kirahisi.... Tanzania tutapata neema akishaondoka huyu king
Viko viwili kimoja Kiko ubungo Maziwa na Cha pili Kiko eneo la Tazara karibu kabisa na jengo la bodi ya mikopoKwani sasa hivi hapa Dar wanajazia wapi??
Unaushahid kuwa yeye ni tatizo kubwa?Huyu ndiyo tatizo kubwa
Huwezi kuelewa wewe mkuuUnaushahid kuwa yeye ni tatizo kubwa?
Ni kweli ndo naomba unieleweshe kiongozi.Huwezi kuelewa wewe mkuu