Jenerali Ulimwengu anahitaji unasihi! According to Erick Erickson psychosocial development stages

Jenerali Ulimwengu anahitaji unasihi! According to Erick Erickson psychosocial development stages

Lanlady

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2019
Posts
1,836
Reaction score
6,303
Vijana wanapaswa kujifunza kufanya kila jambo kwa wakati sahihi. Kuna umri ukifika unapaswa kujizuia baadhi ya mambo.

Screenshot_20220714-210849_1657822483756.jpg

Screenshot_20220714-232549_1657830613862.jpg
 
Humjui Jenerali Twaha wewe,hasumbuliwi na nadharia zako zote ulizo ziodhoresha hapo
Jenerali hakuanza leo,kama umepevuka utakumbuka hata Mkapa alitaka kumsingizia hakuwa raia kwa kusema ukweli
Tatizo la vijana wa sasa kunyweshwa ujinga wa kuaminishwa msema kweli ni adui, hii ilikuwepo wakati wa Nyerere na inajirudia sasa. Ulimwengu alikulia ndani ya vijana wa CCM na miaka hii sijawahi kumsikia kwenye siasa za vyama vyovyote. Wanaokurupuka kuandika ndio kwanza wanamsikia wakidhani anadandia siasa za Tanzania! Nawashauri vijana kabla ya kumuandika tafuteni machapisho ya miaka ya 70 mpaka sasa ili mumfahamu mtu mnayetaka kumuandika.
 
Tatizo la vijana wa sasa kunyweshwa ujinga wa kuaminishwa msema kweli ni adui, hii ilikuwepo wakati wa Nyerere na inajirudia sasa. Ulimwengu alikulia ndani ya vijana wa CCM na miaka hii sijawahi kumsikia kwenye siasa za vyama vyovyote. Wanaokurupuka kuandika ndio kwanza wanamsikia wakidhani anadandia siasa za Tanzania! Nawashauri vijana kabla ya kumuandika tafuteni machapisho ya miaka ya 70 mpaka sasa ili mumfahamu mtu mnayetaka kumuandika.
Huyu mzee yupo smart sn hana njaa
 
Tatizo la vijana wa sasa kunyweshwa ujinga wa kuaminishwa msema kweli ni adui, hii ilikuwepo wakati wa Nyerere na inajirudia sasa. Ulimwengu alikulia ndani ya vijana wa CCM na miaka hii sijawahi kumsikia kwenye siasa za vyama vyovyote. Wanaokurupuka kuandika ndio kwanza wanamsikia wakidhani anadandia siasa za Tanzania! Nawashauri vijana kabla ya kumuandika tafuteni machapisho ya miaka ya 70 mpaka sasa ili mumfahamu mtu mnayetaka kumuandika.
Ukweli mimi naamini kuna tatizo kwenye makuzi hasa ya utambuzi ya vijana wengi wa kizazi hiki. Nikiwa mdogo kipindi cha Nyerere niliona vijana wa UDSM wakiwa kwenye maandamano ya kupinga wabunge kujiongezea mishahara na marupurupu? Walichora mabango yenye picha ya mkulima akiwa amebeba jembe na mavazi duni pembeni kukiwa na Mbunge mwenye kitambi kikubwa huku mrija wa ukiunganiswa kutoka tumbo la mkulima kwenda kwenye tumbo la mbunge.
Walipigwa na kusambaratishwa na polisi lakini ujumbe ulifika.
Hawa chawa, kunguni na viroboto (vijana) wa siku hizi hakuna kitu watafanya,
 
Twaha Ibikizimana katika ubora wake

Kuna watu wanamjenga kwenye wasifu na umbo la kwamba, yeye si muoga. Lakini ukweli ni kuwa, yeye ni muoga tangu mwanzo ya awali. Alipokuwa akisoma Tabora Boys alijibatiza jina kama jenerali ulimwengu huku yeye majina yake ya Twaha Halfan Ikibizimana akiyatupa kwenye kaburi la sahau. Sasa hatujui iwapo na uraia wake wa asili aliukana kama sheria za nchi zilivyo. Au yeye ni kati ya wanaNzengo wenye uraia pacha nyemela.

Lkn pili, yeye ni muoga kwa maana katika serikali ya awamu ya 5, alikuwa hasikiki kana kwamba alikuwa mfu tayari au alisafiri. Hizo ni thibati kwamba yeye ni muoga.
 
Jenerali anajiona na kuna watu wanamuona kwamba ana akili na hekima lakini ukweli ni kwamba hana. Ni mtu mwenye majuto yake ndani ambayo hataki kuyaweka wazi lakini yanajiweka wazi yenyewe kupitia matamko yake ya kulia lia. Anatamani nchi iendeshwe anavyotaka yeye au anavyotamani yeye. Ana assume ana influence wakati hana hata kidogo.
 
Ukweli mimi naamini kuna tatizo kwenye makuzi hasa ya utambuzi ya vijana wengi wa kizazi hiki. Nikiwa mdogo kipindi cha Nyerere niliona vijana wa UDSM wakiwa kwenye maandamano ya kupinga wabunge kujiongezea mishahara na marupurupu? Walichora mabango yenye picha ya mkulima akiwa amebeba jembe na mavazi duni pembeni kukiwa na Mbunge mwenye kitambi kikubwa huku mrija wa ukiunganiswa kutoka tumbo la mkulima kwenda kwenye tumbo la mbunge.
Walipigwa na kusambaratishwa na polisi lakini ujumbe ulifika.
Hawa chawa, kunguni na viroboto (vijana) wa siku hizi hakuna kitu watafanya,
Vijana wa vyuo vikuu hivi sasa uelewa wao wa mambo nje ya darasa hautofautiani na vijana wa shule za sekondari, huwa nikiwaona wanavyuo wetu ninakumbuka lile shindano la vyuo vikuu Afrika Mashariki(East Africa University Challenge) ambalo miaka yote Tanzania tulikuwa tukishika mkia! Wanafunzi hawa wa vyuo wanapewa senti na wanasiasa huko vyuoni kisha wanajikusanya kupiga picha kuwa wamehama chama hiki na kujiunga na chama kile! Ni jambo la kijinga kwa wanavyuo kufanya.
Wanafunzi hawa wa vyuo ambao wanazo serikali zao sijawahi kuwaona wakifanya kungamano la pamoja kuelezea matatizo wanayoyapata likiwemo la ajira na rushwa za ngono vyuoni, wao ni sawa tu, sasa najiuliza hizo serikali zao vyuoni zina kazi gani?
 
Kuna watu wanamjenga kwenye wasifu na umbo la kwamba, yeye si muoga. Lakini ukweli ni kuwa, yeye ni muoga tangu mwanzo ya awali. Alipokuwa akisoma Tabora Boys alijibatiza jina kama jenerali ulimwengu huku yeye majina yake ya Twaha Halfan Ikibizimana akiyatupa kwenye kaburi la sahau. Sasa hatujui iwapo na uraia wake wa asili aliukana kama sheria za nchi zilivyo. Au yeye ni kati ya wanaNzengo wenye uraia pacha nyemela.

Lkn pili, yeye ni muoga kwa maana katika serikali ya awamu ya 5, alikuwa hasikiki kana kwamba alikuwa mfu tayari au alisafiri. Hizo ni thibati kwamba yeye ni muoga.
Serikali awamu ya 5 ulitaka asikike wapi! Muulize Mello alifanywa nini, JF ilikuwa ukiandika kuhusu CCM na serikali Mods hawaweki Post yako na Ban juu, leo umesikia Ban yoyote? Mimi binafsi nilipigwa Ban mara kadhaa. Redio na magazeti uoga ndio ulikuwa wimbo wao, ukiongea na ukaanza kuisema CCM au serikali hata jambo ambalo si baya wanakukata! Sasa ulitaka aseme kupitia wapi?
 
Kuna watu wanamjenga kwenye wasifu na umbo la kwamba, yeye si muoga. Lakini ukweli ni kuwa, yeye ni muoga tangu mwanzo ya awali. Alipokuwa akisoma Tabora Boys alijibatiza jina kama jenerali ulimwengu huku yeye majina yake ya Twaha Halfan Ikibizimana akiyatupa kwenye kaburi la sahau. Sasa hatujui iwapo na uraia wake wa asili aliukana kama sheria za nchi zilivyo. Au yeye ni kati ya wanaNzengo wenye uraia pacha nyemela.

Lkn pili, yeye ni muoga kwa maana katika serikali ya awamu ya 5, alikuwa hasikiki kana kwamba alikuwa mfu tayari au alisafiri. Hizo ni thibati kwamba yeye ni muoga.

Huu upuuzi ulioandika hapa unaamini kuna watu wenye akili watakuelewa? Huenda hukumfuatilia hata hicho kipindi cha dhalimu. Naona mnaichukulia awamu ya 5 kama kipimo cha kupandikiza uoga kwa wananchi, kama dhalimu angekuwa sio muoga, na yeye angekabiliana na hoja kwa hoja, sio kutuma kundi la watu wasiojulikana kwa watu wasio na silaha.
 
Back
Top Bottom