Jenerali Ulimwengu anahitaji unasihi! According to Erick Erickson psychosocial development stages

Jenerali Ulimwengu anahitaji unasihi! According to Erick Erickson psychosocial development stages

Jenerali anajiona na kuna watu wanamuona kwamba ana akili na hekima lakini ukweli ni kwamba hana. Ni mtu mwenye majuto yake ndani ambayo hataki kuyaweka wazi lakini yanajiweka wazi yenyewe kupitia matamko yake ya kulia lia. Anatamani nchi iendeshwe anavyotaka yeye au anavyotamani yeye. Ana assume ana influence wakati hana hata kidogo.

Unaishi zama za unafiki, hivyo yoyote asiyetoa sifa za kinafiki unamuona kama sio.
 
hata fatma karume baadhi yetu tuliwaambia watu ni mgonjwa mkaona ni wivu wa kike.

sasa hivi kila mtu amejua ni kwa namna gani yule mama ni mbabaishaji,jaweka uzanzibar kwenye harakati zake badala ya kusimamia anayoiita haki.
 
Unaishi zama za unafiki, hivyo yoyote asiyetoa sifa za kinafiki unamuona kama sio.

hawezi kuwa na akili kuliko wengine.

ni mzee mmoja hivi anayejikuta anajua sana.
 
Kizazi hiki cha vijana wasiojua chochote isipokuwa uchawa tu matokeo yake ndio kuandika utumbo kama huu.
 
Kuna watu wanamjenga kwenye wasifu na umbo la kwamba, yeye si muoga. Lakini ukweli ni kuwa, yeye ni muoga tangu mwanzo ya awali. Alipokuwa akisoma Tabora Boys alijibatiza jina kama jenerali ulimwengu huku yeye majina yake ya Twaha Halfan Ikibizimana akiyatupa kwenye kaburi la sahau. Sasa hatujui iwapo na uraia wake wa asili aliukana kama sheria za nchi zilivyo. Au yeye ni kati ya wanaNzengo wenye uraia pacha nyemela.

Lkn pili, yeye ni muoga kwa maana katika serikali ya awamu ya 5, alikuwa hasikiki kana kwamba alikuwa mfu tayari au alisafiri. Hizo ni thibati kwamba yeye ni muoga.
Tofautisha Kati ya mtu muoga na mtu 'calculating'!
😅
 
hata fatma karume baadhi yetu tuliwaambia watu ni mgonjwa mkaona ni wivu wa kike.

sasa hivi kila mtu amejua ni kwa namna gani yule mama ni mbabaishaji,jaweka uzanzibar kwenye harakati zake badala ya kusimamia anayoiita haki.

Ugonjwa Wake ni upi? Kwani kutofautiana na watu kwenye mitazamo kadhaa ndio ukichaa? Au unadhani hatujui hoja zake ni zipi, na ni wapi anatofautiana na wengine? Kwa binadamu kutofautiana ni jambo la kawaida, na sio ukichaa kama unavyotaka kupotosha.
 
Wanahistoria wanasema Wangoni ni Wazulu wa Afrika ya Kusini.
Imekaaje?
Makabila mengi ya Tanzania hasa sehemu za mpakani ni wahamiaji ndio maana Kuna wajaruo, wamasai Kenya na Tanzania,, wanyasa Malawi na Tanzania Kwa uchache sababu zamani kulikuwa hakuna mipaka kama sasa
 
Kuna watu wanamjenga kwenye wasifu na umbo la kwamba, yeye si muoga. Lakini ukweli ni kuwa, yeye ni muoga tangu mwanzo ya awali. Alipokuwa akisoma Tabora Boys alijibatiza jina kama jenerali ulimwengu huku yeye majina yake ya Twaha Halfan Ikibizimana akiyatupa kwenye kaburi la sahau. Sasa hatujui iwapo na uraia wake wa asili aliukana kama sheria za nchi zilivyo. Au yeye ni kati ya wanaNzengo wenye uraia pacha nyemela.

Lkn pili, yeye ni muoga kwa maana katika serikali ya awamu ya 5, alikuwa hasikiki kana kwamba alikuwa mfu tayari au alisafiri. Hizo ni thibati kwamba yeye ni muoga.

Wewe ni mfano mzuri wa idiot and I guess the way you write, a goat sucked the breasts of your mother before you were born. Tunaongelea mambo ya msingi, idiot anaongelea majina na uraia wa mtu
 
Ha
Vijana wanapaswa kujifunza kufanya kila jambo kwa wakati sahihi. Kuna umri ukifika unapaswa kujizuia baadhi ya mambo.

View attachment 2290872
View attachment 2290867
Hatutakiwi mshambulia mzee wetu bali tuchukue mawazo yake,mzee anamadini Sana, sema tu mihemuko imetuzidi, mbona ukitafakari hakuna sehem ametukana, anasema ile kweli japo mafisadi ile kweli huwa hawapendi sikia,
Hawa ni wazee wanaifaham nchi vizuri, tukiwatumia vizuri tutanufaika, ebu tuache unafiki, na kutojitambua
 
Huyu mzee yupo smart sn hana njaa
Unadhani njaa haimuoni!!!? Au unadhani njaa inamuogoga.? Kuna kanuni inasema baadhi ya njaa katika ulimwengu wa tatu zinamilikiwa na baadhi ya wachache ya watu katika limwegu za aina zote. Yawezekana naye yumo kwenye orodha ya wale baadhi ama hayumo!!! (Nawaza tu!!! )
 
Kwa kifupi Taifa letu limegawanyika katika makundi matatu.
Kundi la kwanza ni lile linalotaka kuenbdelezwa kwa siasa za "Zidumu fikra za Mwenyekiti"
Kundi la pili ni lile lenye kutaka mabadiliko ya kupeana nafasi ya kuwaza upya na kisasa kutafuta ufumbuzi wa matatizo yetu ili kupata njia ya kutukwamua kiuchumi na kisayansi.
Kundi la tatu halina habari yoyote mpya na halijui kinachoendelea.
Sitatoa conclusion ila tuendelee kutafakari ni wapi tumekwama! Kundi gani limekwamisha maendeleo?
 
Unaishi zama za unafiki, hivyo yoyote asiyetoa sifa za kinafiki unamuona kama sio.
Wala sijasema asifie. Mimi najadili alivyo jenerali. Hakuna uhaba wa wasifiaji nchi hii.
 
Wa
Vijana wanapaswa kujifunza kufanya kila jambo kwa wakati sahihi. Kuna umri ukifika unapaswa kujizuia baadhi ya mambo.

View attachment 2290872
View attachment 2290867
Watanzania wanapenda kusifia hata mlevi mbwa asiyejitambua.Huyu Ni mlevi tu .Kama angekuwa na uwezo lazima Nyerere angenmpa hata cheo cha maana.Lakin hakuna kitu.Huyu ni Jaji wa Mamiss ,mlevi eti naye anaongea utumbo wake mnasema ,ana akili.Kama wenye akili hapa bongo ni Kama Ulimwengu Basi hatuwezi kuendelea.Tutabaki tukibwabwaja mitandaoni
 
Back
Top Bottom