Jenerali Ulimwengu: Chama Cha Mapinduzi (CCM) kina zaidi ya wanachama milioni 8, lakini kina mawazo ya kufikiri yasiyozidi matatu

Hivi kumbe na wewe ni CCM.No wonder hatuna CCM mwenye akili zake
 
Katika academic world, akili unaipima kwa number of publications in peer reviewed journals and journal ranking...uki publish kwenye Nature, Science and the like, then wewe una akili. Au wasemaje Mchunguzi
Nakurudisha huko huko kwenye akademia. Kuna mtu alipata Nobel prize akiwa na publication 2 tu, tena za sayansi mpya duniani, Physical Chemistry! Lakini kuna watu wana publication 100 hawajawahi hata kupendekezwa kupata prize hiyo. Ni ishara kwamba sehemu kubwa ya publications ni rubbish!
 
Unategemea nini....yaani wananchi walikwepesha vifo baada ya mapinduzi ya kura zao. Kwa uzuri na ubora gani CCM kupita 99.8% kura za ubunge na udiwani.
 
Ulimwengu anapaswa astaafu na apumzike. Yeye alishakuwa kiongozi mkubwa serikalini na hakuna alichofanya na vizazi vya eneo husika kumkumbuka. Ni sawa na Jaji Waryoba..wapiga kelele. Askofu anapenda kick na makofi.
Sio level yako mkuu,wewe kawasome kina Kibajaj Lusinde!
 
Huyu Jenerali ni mrundi na mawazo yake ya kihutuhutu!
Wiki hii ulianza kutoa maoni mazuri lkn naona unarudi kule kule.
Ukabila Ni Kama kula nyama ya mtu. Hutaacha.
Mipaka ya Tanzania ilitengenezwa Berlin, isingekua rahisi kwa mabeberu mwaka huo 1885 kusema wahutu wote ondokeni hapa au wamasai tupisheni au wadigo ondokeni tunataka kuweka mpaka.
 
Ulimwengu anapaswa astaafu na apumzike. Yeye alishakuwa kiongozi mkubwa serikalini na hakuna alichofanya na vizazi vya eneo husika kumkumbuka. Ni sawa na Jaji Waryoba..wapiga kelele. Askofu anapenda kick na makofi.
Wewe ni kilaza
 
Hivi huyu Askofu Bagonza anawahudumia kweli wale watoto wake wa nje ya ndoa?
 
By this post, You are portraying what Jenerali has mounted today! 8 million but only three ideas
You are entitled to your opinion. Maybe you are also of Burundi genealogy who cares
 
Kama unapublish kwenye journal ya impact factor ya 2, then......

Nimesena journal ranking, read between lines
 
Uwe unaelewa Mambo na wewe, Nobel criteria ya kupata Ni ipi? Discovery , a breakthrough Discovery.... Hivyo hata publication Moja inatosha, au hata presentation katika World class international conferences of your Discovery inatosha to be rewarded so
 
Watu waliosoma sayansi wanetuambia chanjo ya c-19 ni salama tumewbishia ameibuka mtu ambaye hakusoma sayansi katuambia chanjo haifai tumemwamini!! Sasa si afadhali asiyesoma sayansi anaamiwa Tanzania!!
 
Retired we mkorofi sasa

Tafsida we mzee

Hatusemi matako wazi… tunasema nguo haijasitiri maungo
Ukorofi gani Tena jamani. Tamka neno lilivyo... milioni 8 lakini wana idea tatu
 
Watu waliosoma sayansi wanetuambia chanjo ya c-19 ni salama tumewbishia ameibuka mtu ambaye hakusoma sayansi katuambia chanjo haifai tumemwamini!! Sasa si afadhali asiyesoma sayansi anaamiwa Tanzania!!
Hilo nalo neno. Ndio hao idea tatu kwa milioni 60... Watanzania
 
Watu waliosoma sayansi wanetuambia chanjo ya c-19 ni salama tumewbishia ameibuka mtu ambaye hakusoma sayansi katuambia chanjo haifai tumemwamini!! Sasa si afadhali asiyesoma sayansi anaamiwa Tanzania!!
Nimependa argument yako, Safi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…