Jenerali Ulimwengu: Chama Cha Mapinduzi (CCM) kina zaidi ya wanachama milioni 8, lakini kina mawazo ya kufikiri yasiyozidi matatu

Ningekuona una point kama ungekuja na fact katika kile unachompinga.
Kinyume chake ni bora ungekaa kimya.
Ccm huwa wanapakuliwa ubongo wanapoingia chamani. Huyu hajui ubongo wake upo shelfu gani. Halafu wamekaririshwa hoja zilezile zisizo na mashiko. Ukifuatilia humu utawajua ni wepi kwa kusoma tu hoja zaom
 
Jenerali Ulimwengu amenena ukweli ambao wana-CCM wajinga na wanafiki, hawawezi kuukubali. Lakini wale wachache wenye akili na wakweli wa nafsi, wanaujua ukweli huu, na unawaumizi, bahati mbaya ni wachache sana. WanaCCM wengi ni wanafiki walioamua kuacha kuziishi nafsi zao, na badala yake kuutumikia ujinga na unafiki.

Ukweli ni kuwa chini ya uongpzi wa CCM, ile faida ya kuwa wengi haipo kwa sababu mawazo, vipaji, na fikra, ambavyo laiti vingeweza kuwekwa pamoja ili kujenga Taifa, havina nafasi. Watu wote wanalazimishwa kutumia mawazo, fikra na vipaji vya watu wasiozidi watatu. Na bahati mbaya zaidi ni kuwa hao watatu unakuta wana weledi duni, fikra mgando na vipaji kibaba.
 
Huyu mlevi wa kimbari kwa nini hatujamtimua arudi kwao. Kama hawaongozi basi hakuna mtu anajua kitu ni wao tu. Tangu njama zao kumsimika kugombea uongozi tanzania kuzimwa mdomoni kwake na akili yake ni chuki kwa dola ya tanzania. Ulevi na uzee sasa ndio unampa tabu.
 
Hata Nyerere ni Mburundi hivo kila mtu Ana haki
 
Ulimwengu anapaswa astaafu na apumzike. Yeye alishakuwa kiongozi mkubwa serikalini na hakuna alichofanya na vizazi vya eneo husika kumkumbuka. Ni sawa na Jaji Waryoba..wapiga kelele. Askofu anapenda kick na makofi.
Mbona kuna Viongozi wakubwa zaidi ya Ulimwengu husemi Wapumzike? Tatizo mkiambiwa UKWELI mnaumia sana

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Kwenye siasa wingi wa watu ni hoja. Vema umeliona hilo. Wanaccm wanamuona jenerali ulimwengu kama mroho aliyekosa. Amebaki fitna na chuki. Mkimbizi aliyetaka kuongoza tanzania. Akajifanya mjamaa kuliko wajamaa. Baada ya kubainika amebakia hamaki na chuki. Tangu mkapa nchi haijawahi kua na uongozi mzuri kwa jenerali ulimwengu. Ni udikteta wa ccm na eti watanzania kwake ni wajinga kwa kuichagua ccm.
 
Ulimwengu anapaswa astaafu na apumzike. Yeye alishakuwa kiongozi mkubwa serikalini na hakuna alichofanya na vizazi vya eneo husika kumkumbuka. Ni sawa na Jaji Waryoba..wapiga kelele. Askofu anapenda kick na makofi.
Hawa jamaa ni muhimu sana sababu hawana shida na madaraka wao wanachochea watu kufikiri na hili ni jambo la afya Kwa jamii.
 
Umemshambulia binafsi,lakini nikwambie Jenerali ni mmoja wa viongozi wachache wa Ccm waliostaafu siasa mapema na wakafanyiwa sherehe ya kuagwa.
 
Hoja ya Jenerali Ulimwengu inatakiwa kujadiliwa na watu wenye akili timamu na uelewa mkubwa. Wewe hii hoja imekuzidi uwezo.
 
Huyu mrundi asituumize kichwa, ana uraia wa karatasi,hata kesho tunaweza kulichana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…