Watu wanapiga pesa hatuwezi kuacha kubetiUkipatia jackpot mechi 17 kwa usahihi unakuwa bilionea. Unaweza kutajirika
kuna zile za sportpesa walishinda jamaa wawili wakagawana pasu nao sio matajiri kweli“Tunaendelea na hicho kinachoitwa michezo ambacho kingetakiwa kiitwe kwa jina lake halisi, yaani kamari. Hakuna mtu aliyeweza kutajirika kwa kamari. Tuache kudanganywa na wajanja wachache wanaotajirika kupitia mgongo wetu. Acha kucheza kamari na iepuke kuliko ukoma na UKIMWI.” – Mwanahabari, Jenerali Ulimwengu
View attachment 2910018
Kwaiyo jenelali ulimwengu Hilo ndo kalijua Leo?“Tunaendelea na hicho kinachoitwa michezo ambacho kingetakiwa kiitwe kwa jina lake halisi, yaani kamari. Hakuna mtu aliyeweza kutajirika kwa kamari. Tuache kudanganywa na wajanja wachache wanaotajirika kupitia mgongo wetu. Acha kucheza kamari na iepuke kuliko ukoma na UKIMWI.” – Mwanahabari, Jenerali Ulimwengu
View attachment 2910018
Utakutana na Watu wenye heshima zao wametulia tuli machimboni kama wako darasani wanapata maarifa ya kidunia.Sasa sisi ndio tunataka kutajirika
“Tunaendelea na hicho kinachoitwa michezo ambacho kingetakiwa kiitwe kwa jina lake halisi, yaani kamari. Hakuna mtu aliyeweza kutajirika kwa kamari. Tuache kudanganywa na wajanja wachache wanaotajirika kupitia mgongo wetu. Acha kucheza kamari na iepuke kuliko ukoma na UKIMWI.” – Mwanahabari, Jenerali Ulimwengu
View attachment 2910018