Mzee anajua nn kuhusu kamali“Tunaendelea na hicho kinachoitwa michezo ambacho kingetakiwa kiitwe kwa jina lake halisi, yaani kamari. Hakuna mtu aliyeweza kutajirika kwa kamari. Tuache kudanganywa na wajanja wachache wanaotajirika kupitia mgongo wetu. Acha kucheza kamari na iepuke kuliko ukoma na UKIMWI.” – Mwanahabari, Jenerali Ulimwengu
View attachment 2910018
PropagandaNi uchunguzi wa sayansi ambao haujafanikiwa, kama ng'ombe kula nyasi tu alafu anatoa MAZIWA
Huu ni ukweli kabisa“Tunaendelea na hicho kinachoitwa michezo ambacho kingetakiwa kiitwe kwa jina lake halisi, yaani kamari. Hakuna mtu aliyeweza kutajirika kwa kamari. Tuache kudanganywa na wajanja wachache wanaotajirika kupitia mgongo wetu. Acha kucheza kamari na iepuke kuliko ukoma na UKIMWI.” – Mwanahabari, Jenerali Ulimwengu
View attachment 2910018
Life lenyewe ni kamari tu, yaani everything we do ni kubahatisha tu.Baba unamuaga mkeo kuwa unaenda ofisi ya betting kubahatisha.
Life is real Si kubahatisha!!