Ni katika kuadhimisha miaka 20 ya shirika la Haki Elimu.
Ameshauri watumishi wa serikali waachane na kasumba ya kuamini kwamba kuwa kwao katika utumishi serikalini basi ni wao tu wenye akili kuliko wananchi wa kawaida.
Martha Qoro (PhD) ameshauri juu ya kuongeza wigo wa kujifunza lugha mbalimbali ili kuendana na mazingira ya sasa. Ameshauri Kiingereza na lugha zingine za kigeniziwe lugha za kuongezea katika lugha yetu ya Kiswahili na lugha zetu za asili.
Ameongeza 'hakuna hata utafiti mmoja uliofanywa na kuthibitisha kuwa Kiswahili kiwe lugha yetu rasmi ya kufundishia.
Ameshauri watumishi wa serikali waachane na kasumba ya kuamini kwamba kuwa kwao katika utumishi serikalini basi ni wao tu wenye akili kuliko wananchi wa kawaida.
Martha Qoro (PhD) ameshauri juu ya kuongeza wigo wa kujifunza lugha mbalimbali ili kuendana na mazingira ya sasa. Ameshauri Kiingereza na lugha zingine za kigeniziwe lugha za kuongezea katika lugha yetu ya Kiswahili na lugha zetu za asili.
Ameongeza 'hakuna hata utafiti mmoja uliofanywa na kuthibitisha kuwa Kiswahili kiwe lugha yetu rasmi ya kufundishia.