johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mzee Jenerali Ulimwengu anasema tukiamini Rais ndiye anateua Wakuu wa Mikoa wote, Wakuu wa wilaya wote, Wakurugenzi wote tutakuwa tunajidanganya tu kwa Sababu hakunaga Rais mwenye Uwezo huo.
Rais hupelekewa orodha na yeye huenda akawa anawafahamu baadhi tu hivyo wanaotengeneza orodha ndio wanajua huyu ni wa nani na yule ni wa nani.
=======
Source: The Chanzo
===
Pia soma:
- Nani hufanya vetting pindi Rais akihitaji kupata kiongozi?
- Swali muhimu: Anayefanya Uteuzi ni Rais Samia au Idara ya Usalama wa Taifa?
Rais hupelekewa orodha na yeye huenda akawa anawafahamu baadhi tu hivyo wanaotengeneza orodha ndio wanajua huyu ni wa nani na yule ni wa nani.
=======
Source: The Chanzo
===
Pia soma:
- Nani hufanya vetting pindi Rais akihitaji kupata kiongozi?
- Swali muhimu: Anayefanya Uteuzi ni Rais Samia au Idara ya Usalama wa Taifa?