Jenerali Ulimwengu: Spika Ndugai alikuwa mnafiki

Jenerali Ulimwengu: Spika Ndugai alikuwa mnafiki

Lisu na Ulimwengu lao moja la kutukana wengine lakini hawana legacy yoyote watakayowaachia watanzania
Lisu kamtukana nani wewe Kibwetele hapo Lumumba? Kuna kesi yeyote ambayo Lissu amehukumiwa kwa kutukana mtu zaidi ya hizo kesi za michongo kufutwa baada ya kuona kuwa Lissu ni Akili kubwa?

Acha uzuzu dogo ukiandika kitu uwe unashirikisha ubongo wako na sio kuwatumia akana Kingai na Mahita decision zero. Mkiambiwa ukweli kuwa ni wajinga na huku mnafanya Mambo ya kijinga ndio mnakasirika?
 
... kwamba Ndugai ndiye Spika wa hovyo kabisa kuwahi kutokea katika historia ya taifa hili hilo halina ubishi ila ndio hao wanaofaidi "keki ya taifa", atatunzwa na serikali hadi atakapokufa hata mazishi yake yatagharimiwa na serkali. He is completely useless kama anavyosema Jenerali. Bila Katiba ya Wananchi tutaendelea kubaki hivi hivi.
... kwamba Ndugai ndiye Spika wa hovyo kabisa kuwahi kutokea katika historia ya taifa hili hilo halina ubishi ila ndio hao wanaofaidi "keki ya taifa", atatunzwa na serikali hadi atakapokufa hata mazishi yake yatagharimiwa na serkali. He is completely useless kama anavyosema Jenerali. Bila Katiba ya Wananchi tutaendelea kubaki hivi hivi.
Ili asiendelee Kula Bure pesa za uma kwa kuendelea kutunzwa inabidi tuanze maombi tena
 
Jenerali Ulimwengu amemaliza kutia yake ya moyoni kuhusu uspika wa Ndugai.

Amenena kuwa kumkosoa Mama Samia sasa hivi, wakati hakuwahi hata siku moja kumkosoa Magufuli, ni unafiki wa hali ya juu.

Haya siyasemi mimi Jidduzz, ya Jenerali Ulimwengu haya.
Na yuko spot on.
Wengine na wasikie, wamwache mama afanye kazi.

Nani kampa tena huyo mnyarwanda mic? Yeye ndio mnafiki kupita wote. Kutoka mwanamapinduzi feki wa kijamaa hadi mtetezi wa mabeberu wa kimataifa na ushoga kwa madai ya uhuru binafsi.😂
 
Back
Top Bottom