Prof pale hawana tofauti na Steve NyerereNi kweli hakuna critical thinker siku hizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Prof pale hawana tofauti na Steve NyerereNi kweli hakuna critical thinker siku hizi
Professor sembojaProfessor Anangisye!
noma sana aisee, watoto wa mama salma haoUmesahau kutaja zile chupa za masalia ya ARV
hatari huko, tena watoto wazuri kama wanakojoa asali vileHall lenye tetesi kubwa za HIV udsm+mabibo hostel kwa wahuni
Kabudi na MkumboKiufupi anasema UDSM ni kama Sekondari ya Kata, hakina hadhi ya Chuo Kikuu tena maana kimehama kutoka kwenye tafiti na mijadala na kuwa extended school 😂😂
Naunga mkono hoja ya ulimwengu.
MwafaAnd it is rumoured that, UDSM is the best Tanzania has to offer. How about that.
Alikuwepo eti prof. Bunsen Burner(sic) kila siku domo dhidi ya Chadema likafumbwa kwa kupewa uteuzi, na yule Mkumbo njaa kali naye Chadema, Chadema akapewa uteuzi, kimya.Professor Anangisye!
haisaidii. vijana someni kwa bidii sana na msonge mbele. wakati wa akina generali umepita na kama kuna jambo walisahau kulifanya ndio wana kumbuka sasa, basi wajue tu mambo yanabadilika, waew waungwana tu. Haiwezekani kufanana na waoKiufupi anasema UDSM ni kama Sekondari ya Kata, hakina hadhi ya Chuo Kikuu tena maana kimehama kutoka kwenye tafiti na mijadala na kuwa extended school 😂😂
Naunga mkono hoja ya ulimwengu.
DuhUmesahau kutaja zile chupa za masalia ya ARV
Walishindwa kujijitetea kipindi kile Kabudi anapaita jalalani, ndio wajitutumue leo. Kama sujakosea, JK ndio alikuwa ChancellorTunasubiri majibu kutoka UDSM
Shule za kata, amekishusha sana.wanapigana miti sana Hall2 kule
mabox ya ARV nje nje
Anakuwaje sahihi kutaka ya kale yaote yalivyofanyika kale yafanyike hivyo leo. Angesema ya kale yafanyike si kwa style ya kale ila ya kisasa angalau angekaribu na sahihi. Leo kuna electronics, computer science including artificial intelligence(AI) kwenye maeneo mbalimbali ikiwemo accounting, finance, economics etc...anataka hao watalaam wawe wanajaa nkrumah kila mara kuendesha mijadala ya kudai uhuru, haki za binadamu, kubishana kisiasa/kiuana harakati?. No hakuna wanafunzi wala wanataaluma wa aina hii leo. Mijadala inayoendeshwa sasa iko kiutalaam zaidi, economics wanamijadala yao, accounting, finance, electronics/IT na wanalika watalaam wa maeneo hayo nje ndani si kila mtu na sometimes inafnyika virtual. Mijadala general mpaka Uronu na Jenerali anaalikwa haina nafasi kubwa tena. Nyau mijadala inafanyika across disciplines kila mara na publications ni nyingi na bora zaidi leo kuliko zamani ambapo hata plagiarism test haikuwepo. Ukiona kitu kimetoka leo ni original siyo kumbakumba tena. Ktk hilo wneo hajielewi huyu mzee yeye na supporters wake. Yaani yuko sawa na mwanaume anayeclaim kuelewa mp zaidi ya mwanamke mwenyewe kisa tu ameoa au aliwahi kuoa😀😀Tunasubiri majibu kutoka UDSM