Jenerali wa pili pia katoweka, huyu ana hadi funguo za nyuklia za Urusi

Jenerali wa pili pia katoweka, huyu ana hadi funguo za nyuklia za Urusi

Achana na ulaghai wako nani anaweza kumtetemesha Putin - yaani hata utambuzi wa kuguduwa kwamba Progi, Putin ,Waziri wa Ulinzi wanawachezea akili media na intelligency agencies the western media wakiwemo na troll kama nyingi - chunguza sources zako ambazo mara zote credibility zao ni highly questionable lakini mwenzetu ndio una kawaida ya kwenda kuokoteza ukoteza hahari hizo na kuongezea za kwako za kutunga tu.

Huyo mtume wenu aliharishwa ikulu juzi hapa hadi wavaa makobaz nyote mkatoweka JF, baadaye mlianza kurudi mmoja mmoja hehehe
 
Hizi chai hazina maana yoyote!Mleta mada alishaleta nyuzi nyingi sana ambazo hazina miguu wala kichwa!Mpaka leo ziko wapi?Mengine ni kupoteza muda tu kuandika!
 
Propaganda...
Huyo mtume wenu aliharishwa ikulu juzi hapa hadi wavaa makobaz nyote mkatoweka JF, baadaye mlianza kurudi mmoja mmoja hehehe
Mambo ya mapinduzi ya kijeshi tuliwahi kuyasikia nchini mwenu Kenya wakati wa utawala wa Moi - kama Generali wa Kisomali angekubali kushirikiana na wanajeshi wa other ranks - saa hizi mgelikuwa chini ya utawala wa Kijeshi, kwa akili zako mnafikiri MOI alikuwa katika hali gani kisaikolojia ndani ya masaa 24, hayo yote hamuyakumbuki - nimekwisha kwambia una zungumza maneno mengi yasiyo kuwa na kichwa wala miguu hulka yako huna tofauti na ndege ambaye ujulikana kama Chiriku!!
 
Uasi uliomtetemesha Putin ulipoisha kumekua na matukio ya watu kutoweka huku uchunguzi ukiendelea, mpaka sasa majenerali wawili hawafahamiki waliko, japo mmoja (Sergei Surovikin) inasmekana kakamatwa, ila huyu mwingine (Valery Gerasimov) kutoweka kwake ni hatari maana ni mojawapo wa wachache wenye funguo za kufanya mashambulizi ya nyuklia.
Kawaida ushambuliaji wa kutumia nyuklia lazima ufunguliwe na wakuu zaidi ya mmoja, na huyu jamaa ni mojawapo wa hao wenye kibali hicho....

Two of Russia’s most senior generals have dropped out of public view following a failed mutiny by the Wagner mercenary group at the weekend.

The two generals whose whereabouts is unknown are Valery Gerasimov and Sergei Surovikin,

Gerasimov has not appeared in public or on state TV since the aborted mutiny on Saturday when mercenary chief Yevgeny Prigozhin demanded Gerasimov be handed over.
He has not been mentioned in a defence ministry press release since June 9 either.
Gerasimov, 67, is the commander of Russia’s war in Ukraine, and the holder of one of Russia’s three “nuclear briefcases,” according to some Western military analysts.
Also missing is Surovikin, nicknamed “General Armageddon” by the Russian press for his aggressive tactics in the Syrian conflict, who is deputy commander of Russian forces in Ukraine.
Gerasimov was conspicuous by his absence when Putin on Tuesday thanked the army for averting a civil war, unlike Shoigu who has made several public appearances since.
Surovikin, Gerasimov’s deputy, was last seen on Saturday when he appeared in a video appealing to Prigozhin to halt his mutiny. He looked exhausted and it was unclear if he was speaking under duress.
There were unconfirmed Russian media and blogger reports on Wednesday evening that Surovikin was being held in Moscow’s Lefortovo detention facility after being arrested.
Alexei Venediktov, a well-connected journalist, said – without citing his sources – that Surovikin had not been in touch with his family since Saturday and that his bodyguards had gone silent too.
A New York Times report, based on a U.S. intelligence briefing, said on Tuesday Surovikin had advance knowledge of the mutiny and that Russian authorities were checking if he was complicit.
The Kremlin on Wednesday played down the report, saying that there was and would be a lot of speculation and gossip.
The Russian-language version of the Moscow Times and a military blogger reported Surovikin’s arrest, while some other military correspondents who command large followings in Russia said he and other senior officers were being questioned about their possible role in the mutiny.
Rybar, an influential channel on the Telegram messaging application run by a former Russian defence ministry press officer, said a purge was underway.
He said the authorities were trying to weed out military personnel deemed to have shown “a lack of decisiveness” in putting down the mutiny amid some reports that parts of the armed forces appear to have done little to stop Wagner fighters in the initial stage of the rebellion.
“The armed insurgency by the Wagner private military company has become a pretext for a massive purge in the ranks of the Russian Armed Forces,” said Rybar.
Such a move, if confirmed, could alter the way Russia wages its war in Ukraine — which it calls a “special military operation” — and cause turmoil in the ranks at a time when Moscow is trying to stymie a Ukrainian counteroffensive.
In contrast, Some Russian and Western military and political analysts believe Defence Minister Sergei Shoigu, a veteran Putin ally who Prigozhin wanted to bring down with Gerasimov because of his alleged incompetence, may actually now be safer in his job.
Viktor Zolotov, head of the National Guard who used to be Putin’s bodyguard, appears to be another beneficiary after appearing in public to say his men were ready to “stand to the death” to defend Moscow from Wagner.
He has spoken of the possibility of getting heavy weaponry and tanks for his forces in the wake of the mutiny.
Prigozhin, who had spent months vilifying Shoigu and Gerasimov for their alleged incompetence in the Ukraine war, had frequently praised Surovikin who is widely respected in the army for his experience in Chechnya and Syria.
Surovikin, who did a stint as overall commander of the Ukraine war before Gerasimov was appointed to take over, is regarded by Western military analysts and by parts of the Ukrainian military as an effective operator.
He had been spoken of by Russian war correspondents as a potential future defence minister.
Provided by SyndiGate Media Inc. (Syndigate.info).


Udaku

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mambo ya mapinduzi ya kijeshi tuliwahi kuyasikia nchini mwenu Kenya wakati wa utawala wa Moi - kama Generali wa Kisomali angekubali kushirikiana na wanajeshi wa other ranks - saa hizi mgelikuwa chini ya utawala wa Kijeshi, kwa akili zako mnafikiri MOI alikuwa katika hali gani kisaikolojia ndani ya masaa 24, hayo yote hamuyakumbuki - nimekwisha kwambia una zungumza maneno mengi yasiyo kuwa na kichwa wala miguu hulka yako huna tofauti na ndege ambaye ujulikana kama Chiriku!!

Hehehe ndio maana huwa nasema huna akili mvaa kobaz, yaani dunia ya Leo rais wa supapawa anatetemeshwa na kakikundi kake, mwenyewe kajiingiza kwenye huu mkenge tena kijinga Sana, na eti ndio maarabu yenu humtegemea.
 
Kushabikia Marekani na washirika wake ni utombwambwa wa hali ya juu sana,lazima uwe taahira

Acha Russia iiponye dunia
Afu huyu dogo yeye anamini kila anachosema US na Muingereza hata wakimwambia Tanzania itajikata yenyewe na itahamia upande wa Senegal atakubali tu
 
Uasi uliomtetemesha Putin ulipoisha kumekua na matukio ya watu kutoweka huku uchunguzi ukiendelea, mpaka sasa majenerali wawili hawafahamiki waliko, japo mmoja (Sergei Surovikin) inasmekana kakamatwa, ila huyu mwingine (Valery Gerasimov) kutoweka kwake ni hatari maana ni mojawapo wa wachache wenye funguo za kufanya mashambulizi ya nyuklia.
Kawaida ushambuliaji wa kutumia nyuklia lazima ufunguliwe na wakuu zaidi ya mmoja, na huyu jamaa ni mojawapo wa hao wenye kibali hicho....

Two of Russia’s most senior generals have dropped out of public view following a failed mutiny by the Wagner mercenary group at the weekend.

The two generals whose whereabouts is unknown are Valery Gerasimov and Sergei Surovikin,

Gerasimov has not appeared in public or on state TV since the aborted mutiny on Saturday when mercenary chief Yevgeny Prigozhin demanded Gerasimov be handed over.
He has not been mentioned in a defence ministry press release since June 9 either.
Gerasimov, 67, is the commander of Russia’s war in Ukraine, and the holder of one of Russia’s three “nuclear briefcases,” according to some Western military analysts.
Also missing is Surovikin, nicknamed “General Armageddon” by the Russian press for his aggressive tactics in the Syrian conflict, who is deputy commander of Russian forces in Ukraine.
Gerasimov was conspicuous by his absence when Putin on Tuesday thanked the army for averting a civil war, unlike Shoigu who has made several public appearances since.
Surovikin, Gerasimov’s deputy, was last seen on Saturday when he appeared in a video appealing to Prigozhin to halt his mutiny. He looked exhausted and it was unclear if he was speaking under duress.
There were unconfirmed Russian media and blogger reports on Wednesday evening that Surovikin was being held in Moscow’s Lefortovo detention facility after being arrested.
Alexei Venediktov, a well-connected journalist, said – without citing his sources – that Surovikin had not been in touch with his family since Saturday and that his bodyguards had gone silent too.
A New York Times report, based on a U.S. intelligence briefing, said on Tuesday Surovikin had advance knowledge of the mutiny and that Russian authorities were checking if he was complicit.
The Kremlin on Wednesday played down the report, saying that there was and would be a lot of speculation and gossip.
The Russian-language version of the Moscow Times and a military blogger reported Surovikin’s arrest, while some other military correspondents who command large followings in Russia said he and other senior officers were being questioned about their possible role in the mutiny.
Rybar, an influential channel on the Telegram messaging application run by a former Russian defence ministry press officer, said a purge was underway.
He said the authorities were trying to weed out military personnel deemed to have shown “a lack of decisiveness” in putting down the mutiny amid some reports that parts of the armed forces appear to have done little to stop Wagner fighters in the initial stage of the rebellion.
“The armed insurgency by the Wagner private military company has become a pretext for a massive purge in the ranks of the Russian Armed Forces,” said Rybar.
Such a move, if confirmed, could alter the way Russia wages its war in Ukraine — which it calls a “special military operation” — and cause turmoil in the ranks at a time when Moscow is trying to stymie a Ukrainian counteroffensive.
In contrast, Some Russian and Western military and political analysts believe Defence Minister Sergei Shoigu, a veteran Putin ally who Prigozhin wanted to bring down with Gerasimov because of his alleged incompetence, may actually now be safer in his job.
Viktor Zolotov, head of the National Guard who used to be Putin’s bodyguard, appears to be another beneficiary after appearing in public to say his men were ready to “stand to the death” to defend Moscow from Wagner.
He has spoken of the possibility of getting heavy weaponry and tanks for his forces in the wake of the mutiny.
Prigozhin, who had spent months vilifying Shoigu and Gerasimov for their alleged incompetence in the Ukraine war, had frequently praised Surovikin who is widely respected in the army for his experience in Chechnya and Syria.
Surovikin, who did a stint as overall commander of the Ukraine war before Gerasimov was appointed to take over, is regarded by Western military analysts and by parts of the Ukrainian military as an effective operator.
He had been spoken of by Russian war correspondents as a potential future defence minister.
Provided by SyndiGate Media Inc. (Syndigate.info).


Here we go again - source? MK254 akawambia source ya hahari zake mfu zinatoka MSN!!! - hana source nyingine ya kuaminika zaidi ya hizi za kuchongwa, CIA, MSN na matroll wachache kama MK-254.
 
Back
Top Bottom