Jenerali wa pili pia katoweka, huyu ana hadi funguo za nyuklia za Urusi


Huyo mtume wenu aliharishwa ikulu juzi hapa hadi wavaa makobaz nyote mkatoweka JF, baadaye mlianza kurudi mmoja mmoja hehehe
 
Hizi chai hazina maana yoyote!Mleta mada alishaleta nyuzi nyingi sana ambazo hazina miguu wala kichwa!Mpaka leo ziko wapi?Mengine ni kupoteza muda tu kuandika!
 
Propaganda...
Huyo mtume wenu aliharishwa ikulu juzi hapa hadi wavaa makobaz nyote mkatoweka JF, baadaye mlianza kurudi mmoja mmoja hehehe
Mambo ya mapinduzi ya kijeshi tuliwahi kuyasikia nchini mwenu Kenya wakati wa utawala wa Moi - kama Generali wa Kisomali angekubali kushirikiana na wanajeshi wa other ranks - saa hizi mgelikuwa chini ya utawala wa Kijeshi, kwa akili zako mnafikiri MOI alikuwa katika hali gani kisaikolojia ndani ya masaa 24, hayo yote hamuyakumbuki - nimekwisha kwambia una zungumza maneno mengi yasiyo kuwa na kichwa wala miguu hulka yako huna tofauti na ndege ambaye ujulikana kama Chiriku!!
 
Udaku

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 

Hehehe ndio maana huwa nasema huna akili mvaa kobaz, yaani dunia ya Leo rais wa supapawa anatetemeshwa na kakikundi kake, mwenyewe kajiingiza kwenye huu mkenge tena kijinga Sana, na eti ndio maarabu yenu humtegemea.
 
Kushabikia Marekani na washirika wake ni utombwambwa wa hali ya juu sana,lazima uwe taahira

Acha Russia iiponye dunia
Afu huyu dogo yeye anamini kila anachosema US na Muingereza hata wakimwambia Tanzania itajikata yenyewe na itahamia upande wa Senegal atakubali tu
 
Here we go again - source? MK254 akawambia source ya hahari zake mfu zinatoka MSN!!! - hana source nyingine ya kuaminika zaidi ya hizi za kuchongwa, CIA, MSN na matroll wachache kama MK-254.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…