abour
JF-Expert Member
- Apr 8, 2014
- 735
- 309
namimi naomba mchanganuo email.abourmagomba97@gmail.com
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchanganuo uko hapa hapa kwenye hii thread, post namba 164, naomba urejee. Nina ufinyu wa muda kidogo, siwezi kujibu emails kwa sasa.namimi naomba mchanganuo email.abourmagomba97@gmail.com
Mkuu MamaNa , Binafsi nimefuatilia sana thread hii na familia yangu ilifuatilia kwa umakini kipindi kile;Nakupongeza sana kwa kushare na jamii mambo muhimu, hili ni jambo ambalo taifa letu limekuwa likikosa. Ila kuna jambo moja kuu lilikosekana --Je unaweza kutupa overview ya benefits and challenges ulizopitia (si unajua all roses have thorns) ; Ili mtu ajiandae , tafadhali share nasi ulivoanza--uliwekeza kiasi gani, ukakwama wapi, na wapi ulibreak through nk (just briefly) maana bado tuko gizani
Angalia page no 14, Post No 279 kwenye uzi huu.Kazi yako ni nzuri,japo uliniambia ume update video ya ile program ya TBC uliyohojiwa, ipo post no ipi tafadhali
nASHUKURU KWA USHAURI MKUU,KAMA IYO SITE IKIWA TAYARI USISITE KUTUJULISHA WADAU ILA NITAKUPIGIA ,KUNA MAMBO YA ARDHI NAYAWEKA SAWA.UNACHOSEMA NI CHA KWELI WATANZANIA LONGOLONGO SANAAAA.Najenga demo site sasa hv hapadar, ikikamilika ntaupdate uzi huu.
Ntafatilia kuhusu oxfam pia, asante kwa taarifa. Tanzania imeoza sasa hv, ni muhimu sana kuwa makini na kuchagua repolutable people to work with...mbegu feki, mbolea feki na madawa feki yamejaa sana nchini hapa, imekuwa ni vilio na.mayowe ya kila siku kwa wakulima.
Strawberry hailimwi kwa kupanda mbegu bali inapandwa Splits (nadhani kwa kiswahili itakuwa vikonyo), Ukitaka seedlings za strawberry tutakupatia tu. Carrots na Matikiti yes unaweza kulima lakini hutokuwa umetumia vema space yako kwani hazirefuki futi 12.Mamana Naomba kujua hapa Dar naweza lima strawberry ?mbegu mnazo? Na nikitaka matikiti maji na carrots?
Site ilishakamilika zamani sana, na wiki Tatu zijazo Mungu akipenda Naanza kuvuna kutoka hapo.nASHUKURU KWA USHAURI MKUU,KAMA IYO SITE IKIWA TAYARI USISITE KUTUJULISHA WADAU ILA NITAKUPIGIA ,KUNA MAMBO YA ARDHI NAYAWEKA SAWA.UNACHOSEMA NI CHA KWELI WATANZANIA LONGOLONGO SANAAAA.
Maelezo zaidi na mawasiliano tafadhali, napatikana kwa dwapps@yahoo.com
Strawberry hailimwi kwa kupanda mbegu bali inapandwa Splits (nadhani kwa kiswahili itakuwa vikonyo), Ukitaka seedlings za strawberry tutakupatia tu. Carrots na Matikiti yes unaweza kulima lakini hutokuwa umetumia vema space yako kwani hazirefuki futi 12.
OOh yes, Strawberry dar zinalimika bila shaka, Samahani kwa kupitiwa kujibu swali lake.Nahisi kuna kipengele kwenye swali lake hujakijibu mkuu unaweza lima strawberry Dar?
Huu ukulima wa kutumia green houses nimeona kipindi cha AMKA NA BADILIKA kinachoendeshwa na Bw. Sanctus Mutsimbe TBC1, nikajua kuwa kumbe kuwa billionea kwa kutumia kilimo ni kama swala la masaa tu! Ahsante sana kwa taarifa.
Kabisa mkuu, na Mimi ndiye niliyekuwa nahojiwa naye.
Karibu sana.
kabisa mkuu, na mimi ndiye niliyekuwa nahojiwa naye.
Karibu sana.
Smahani kiongozi, website ni MASKANI | Horti Organics Nimetingwa na kazi ndio maana hata kujibu haraka nashindwa.Mkuu uliahidi utaweka hewani website yenye dondoo kadha wa kadha na Je una detailed manuals za baadhi ya mazao - tunaweza kuchangia mkuu kama zipo tuelekeze
Tafadhali tembelea MASKANI | Horti Organics kwa taarifa zaidi.hapa unazunguzia gharama kama 2.8m hapo ni kila kitu au? Maana mm nataka kujua gharama yote kwa ujumla, mbolea, mbegu nk