Jenga ngome yako, Usikubali kuishi kimazoea

Samahani mkuu, hivi hata wewe ume elewa ulicho andika??
👉Naona Ume zingatia mademu Sana, Kama vipi Chukua wewe.
👉Mara useme matajiri sio risk taker, Mara ni risk taker (hueleweki)
👉Siwezi kuweka unavyo taka wewe, ikiwa Ume shindwa kuainisha hata mawazo yako
 
WWw
Well said.
 
Ukitulia unaweza tengeneza ndege inatumia maji badala ya oil

Ukitulia unaweza kuisaidia serikali kwenye legal framing ya mikataba ya kiuwekezaji hapa nchini sema ndo hvo tena mwenetu kuna mda kama plagi hazichomi Kuna mda network inasoma 5G
 
Ukitulia unaweza tengeneza ndege inatumia maji badala ya oil

Ukitulia unaweza kuisaidia serikali kwenye legal framing ya mikataba ya kiuwekezaji hapa nchini sema ndo hvo tena mwenetu kuna mda kama plagi hazichomi Kuna mda network inasoma 5G
Pamoja Kaka, ila hapo kwenye plug hazisomi au zinasoma 5g😂🤣🤒
👉 Pamoja Kaka Mpaji Mungu 💪
 
Ndio kwasababu umebadilisha nembo kutoka the "Bird" kwenda X. Utaifilisi iyo kampuni kwa kiherehere na ujuaji ujuaji wako.
Sasa Kaka elon musk wa tweeter na Mimi intelli wa jf.
👉Tuna husiana kipi🤣😂😃, na ntaifilisi kivipi🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…