Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #381
Au kuto kuishi kwa mazoea nalo ni muhimu.Hilo ni kweli, kuna baadhi ya marafiki huwa ni wabaya.
Hao unatakiwa uishi nao kwa akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au kuto kuishi kwa mazoea nalo ni muhimu.Hilo ni kweli, kuna baadhi ya marafiki huwa ni wabaya.
Hao unatakiwa uishi nao kwa akili
Kwa chap naona ukitaka kuwa tajiri huitaji vitu vya kujionyesha... Unahitaji vitu vya kukusaidia.
YapKwa chap naona ukitaka kuwa tajiri huitaji vitu vya kujionyesha... Unahitaji vitu vya kukusaidia.
Ni kweliAu kuto kuishi kwa mazoea nalo ni muhimu.
Uzi Ume tembea aisee, tume fikisha 12k views.
👉 Trending no 1 daily, and in new post. Let's keep going Hustlers 💪
Yeah ni kweli mkuu, au mtu ana kuwa ana chota maarifa yako tu.Ni kweli
Upande wa marafiki, binafsi sinaga kwakweli
Nikishachat hapa JF ndiyo imeisha hiyo, marafiki wengi huwa ni vichomi tu.
Unakaa na rafiki mwaka 1 hajawahi kukushauri wazo la maendeleo hata mara mmoja, Ushauri wake ni kuhusu Bata na Wanawake tu.
Hapo utasema una rafiki? Si bora uwe mwenyewe tu bila marafiki
Sahihi kabisaYeah ni kweli mkuu, au mtu ana kuwa ana chota maarifa yako tu.
👉Hapo we ndo Utakuwa Mtaji, mwisho Aki advance ana kupiga teke.
Shida watu wengi tuna penda grass to glory movement 😁Sahihi kabisa
Hahaha..........hatariShida watu wengi tuna penda grass to glory movement 😁
Wiki 1 au 2 mtu ana taka aone profit.Hahaha..........hatari
Sahihi kabisa, na wengine tunakuja kujenga nyumba zetu baada ya kustaafu alafu wao wanataka kujenga na kununua magari kwa miaka 3 au 5 🙌Wiki 1 au 2 mtu ana taka aone profit.
👉Ana sahu watu Wana fanya kazi kwa zaidi ya miaka 4 na hawatoboi
Halafu Kuna formula, tengeza msingi wa pesa kwanza.Sahihi kabisa, na wengine tunakuja kujenga nyumba zetu baada ya kustaafu alafu wao wanataka kujenga na kununua magari kwa miaka 3 au 5 🙌
Hivi nyumba na viwanja sio Asset?Halafu Kuna formula, tengeza msingi wa pesa kwanza.
👉Asset ziwe za kutosha, punguza liability Kama gari, nyumba.
Upo sahihi, za kupangisha zinaleta hela kila mwisho wa mwezi.Kiwanja na nyumba, ni asset endapo uta tune in Akili yako vizuri.
👉nyumba ya Makazi na nyumba ya kupangisha. Ziko sawa?? Grahams
Na shida Sio kuwa na nyumba ya kupangisha tu.Upo sahihi, za kupangisha zinaleta hela kila mwisho wa mwezi.
Mfano jana sikuwa na hili wala lile nakuta Muamala wa Mpangaji wangu mmoja kulipa Kodi.
Chukulia hapo una nyumba Dsm, Moro, Dodoma, Kahama ni mwendo wa miamala tu 😁