Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #341
Toa maoni na mwazi, ili tujifunze mkuu.Mzigua ninakukubali mno wewe dada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toa maoni na mwazi, ili tujifunze mkuu.Mzigua ninakukubali mno wewe dada
Ni sawasawa na mwanafunzi mwenye akili, asipo jituma ata potea.Kuna kakitu hapo. "Hata maskini anaweza kukupa wazo la utajiri" ila wazo bila bidii na kuwekeza n zero done work
Tupe ushauri Sasa, ma jobless tuji funze Mr sin🤒Hio imeenda
Mkuu Jenga ngome yako, usiishi kimazoea#Hivi ccm ni rafiki au mshikaji kwa watanzania?
Na hili nalo kama wapenda maendeleo tunatakiwa tuli discuss
Ishu ni exposure, networking kua extra ordinary.Tupe ushauri Sasa, ma jobless tuji funze Mr sin🤒
Yeah Mzee yuko vizuri sana, Vijana mnatakiwa muige uwekezaji wake.Sema Grahams Azam Yuko vizuri aisee, it's time ngozi nyeusi tuinuke pia🤒
Yeah mkuu, kumaintain positive attitude ni muhimu SanaYeah Mzee yuko vizuri sana, Vijana mnatakiwa muige uwekezaji wake.
Unaweza kuwa na milioni zako 6 badala ya kwenda kulia Bata town ukaenda kufungua mradi hata wa kufuga Nguruwe huko Kijijini.
Baada ya miezi 8 unakuta tayari una nguruwe 120 plus
Nguruwe mwenye kilo 100 kwasasa anauzwa si chini ya 750,000 imagine hapo una ngapi?
Super advice, keisangora, EMMYGUY, YoungPastor kuleni ushauri huo.Ishu ni exposure, networking kua extra ordinary.
BILLIONAIRE MUST BE INSANE
I--INNOVATION
N--NETWORKING
S--SCHOLAR
A--ATTRACTIVE
N--NOURISHING
E-- EXTRAORDINARY
Kusini nguruwe sio deal sana labda huko daslam, ama dodomaYeah Mzee yuko vizuri sana, Vijana mnatakiwa muige uwekezaji wake.
Unaweza kuwa na milioni zako 6 badala ya kwenda kulia Bata town ukaenda kufungua mradi hata wa kufuga Nguruwe huko Kijijini.
Baada ya miezi 8 unakuta tayari una nguruwe 120 plus
Nguruwe mwenye kilo 100 kwasasa anauzwa si chini ya 750,000 imagine hapo una ngapi?
Cut your excuses Ni hoja Kali, maana tuna fanyaga ma ujinga kwa visingizio vya kipuuzi
Of course soko la nguruwe ni DSM, Arusha na Dodoma.Kusini nguruwe sio deal sana labda huko daslam, ama dodoma
Na SI lazima nguruwe, Kuna ufugaji wa layers wa mayai au kuku wa kienyeji was mayai na nyama.Of course soko la nguruwe ni DSM, Arusha na Dodoma.
Ukisema u-concentrate na ufugaji wa nguruwe, unaweza usitamani kuajiriwa tena.
Unaweza kuwa unauza wazima Dsm au ukawa unakibanda chako umeajiri vijana wana kaanga alafu pembeni unauza vibeer vyako mdogo mdogo.