Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
-
- #641
Kasome mwanzo wa Uzi huu, πͺYeah,Mkuu mie msomaji tu na kufurahi michango ya wadau
Sawa,mkuuKasome mwanzo wa Uzi huu, πͺ
Don't forget to likeππ€£π€£, and subrisaboπ€Sawa,mkuu
HahahaaLenie haya usome madini haya, sio kila siku umbea wa bichwa Unique Flower
Don't forget to call Maua saa sitaπ€£π€Hahahaa
Sijawahi fungua huu uzi, wacha niusome best
Yuko busy na DPW kasema, nasubiri anipe connection na mieDon't forget to call Maua saa sitaπ€£π€
Huyo Unique Flower labda apate dpw hii- dumbest person world wideπ€£π€
Ukorofi huoπ€£π€£π€£Huyo Unique Flower labda apate dpw hii- dumbest person world wideπ€£π€
Ebu kua na adabu kijana wangu, mniache nife na changu.... maana nishaanza kuwaona mnapigia hesabu mafao yangu...πDah mzee Ushimen utarogwaaa hela ya mafao iisheπ€£ππ€£
Nigee 200, lasivyo namwambia ulivyo kuwa una mpigisha mswaki dada wa kaziππEbu kua na adabu kijana wangu, mniache nife na changu.... maana nishaanza kuwaona mnapigia hesabu mafao yangu...π
Alafu mbona nimekaa na mama yako hapa naona amenuna...π maana wehuchelewagi kuharibu mipango yangu kwa mamako..π
Kwanza nilisha mwambia mama yako kwamba amfukuze maana anadalili za kua ananitaka, ndio maana akauiba huo mswaki wangu (wa mti) akautumia...πΆπ€¨Nigee 200, lasivyo namwambia ulivyo kuwa una mpigisha mswaki dada wa kaziππ
Ko siku izi anaweza Iba mswaki wako wa asiliπππ€Kwanza nilisha mwambia mama yako kwamba amfukuze maana anadalili za kua ananitaka, ndio maana akauiba huo mswaki wangu (wa mti) akautumia...πΆπ€¨
Wivu acha sio nzuri kwa afya ya mgonjwaHuyo Unique Flower labda apate dpw hii- dumbest person world wideπ€£π€
Wivu upoππ€£πWivu acha sio nzuri kwa afya ya mgonjwa