Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #641
Kasome mwanzo wa Uzi huu, 💪Yeah,Mkuu mie msomaji tu na kufurahi michango ya wadau
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasome mwanzo wa Uzi huu, 💪Yeah,Mkuu mie msomaji tu na kufurahi michango ya wadau
Sawa,mkuuKasome mwanzo wa Uzi huu, 💪
Don't forget to like😂🤣🤣, and subrisabo🤒Sawa,mkuu
HahahaaLenie haya usome madini haya, sio kila siku umbea wa bichwa Unique Flower
Don't forget to call Maua saa sita🤣🤒Hahahaa
Sijawahi fungua huu uzi, wacha niusome best
Yuko busy na DPW kasema, nasubiri anipe connection na mieDon't forget to call Maua saa sita🤣🤒
Huyo Unique Flower labda apate dpw hii- dumbest person world wide🤣🤒
Ukorofi huo🤣🤣🤣Huyo Unique Flower labda apate dpw hii- dumbest person world wide🤣🤒
Ebu kua na adabu kijana wangu, mniache nife na changu.... maana nishaanza kuwaona mnapigia hesabu mafao yangu...😕Dah mzee Ushimen utarogwaaa hela ya mafao iishe🤣😂🤣
Nigee 200, lasivyo namwambia ulivyo kuwa una mpigisha mswaki dada wa kazi😁😁Ebu kua na adabu kijana wangu, mniache nife na changu.... maana nishaanza kuwaona mnapigia hesabu mafao yangu...😕
Alafu mbona nimekaa na mama yako hapa naona amenuna...🙃 maana wehuchelewagi kuharibu mipango yangu kwa mamako..😎
Kwanza nilisha mwambia mama yako kwamba amfukuze maana anadalili za kua ananitaka, ndio maana akauiba huo mswaki wangu (wa mti) akautumia...😶🤨Nigee 200, lasivyo namwambia ulivyo kuwa una mpigisha mswaki dada wa kazi😁😁
Ko siku izi anaweza Iba mswaki wako wa asili😂🙄🤒Kwanza nilisha mwambia mama yako kwamba amfukuze maana anadalili za kua ananitaka, ndio maana akauiba huo mswaki wangu (wa mti) akautumia...😶🤨
Wivu acha sio nzuri kwa afya ya mgonjwaHuyo Unique Flower labda apate dpw hii- dumbest person world wide🤣🤒
Wivu upo😁🤣😂Wivu acha sio nzuri kwa afya ya mgonjwa