Ms eyes
JF-Expert Member
- Feb 4, 2023
- 4,757
- 11,922
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una taka kuni letea😂🤒Right now?
Nataka uniwekeeUna taka kuni letea😂🤒
Future decade tense😃😂🤒Nataka uniwekee
Nipe 50k basi😂hamna mtu aliyepata furaha kwa pesa tu
mshamba_hachekwi fanya hivyo kijana😂😂🤒Nipe 50k basi😂
Haya, nasubiri nipo nimekaa pale😊sitoi cash nataka nikutoe out siku moja😅
Kazinguamshamba_hachekwi fanya hivyo kijana😂😂🤒
mshamba_hachekwi acha janja janja😂😂🤒Kazingua
😂 Hiyo Dar unakuja mwaka gani?one day nikiwepo dar ntafanya hivyo😅
Haya, inshaallahnikimaliza chuo lazima nisukumiziwe kwa wajomba huko🤣
USI nisahau katika ufalme wako😂😂😂nikimaliza chuo lazima nisukumiziwe kwa wajomba huko🤣
😂😂😂. Naona umepata mshtukoUSI nisahau katika ufalme wako😂😂😂
Mshituko upi🤔😂😂😂😂😂. Naona umepata mshtuko
Rubbish🤒😂😂ufalme gani naenda kuosha vyombo tu wananiambia 'tunakufundisha maisha'
Pamoja sanaElimu ya mtaani...haya madini upati darasani. Tunashukuru sana
Hahaha aiseeTena ukiwa maskini unashangaa tu mara miguu inanuka, mara jogoo akudonoe miguuni, mara ukutane na mbuzi asiamame akuangalie kwa dharau ilimradi tu tafrani, ukiwa maskini hata konda kwenye daladala anapokea nauli kwa mkono wa kushoto
ngoja niwaite wakupife ban. 🤣🤣🤣Nasikia mods wamekula kichwa 😅