Jenga ngome yako, Usikubali kuishi kimazoea

Kuna vitu 3, knowledge, exposure na pesa, uki vikamata au kuwa na kimoja katika hivyo.

Kisha uka pata walio na 2, Basi mna enda extra miles
 
Naam, wao walikuwa na exposure ya mambo na mazingira halisi.
Hope uta nipea ka dei waka, niweke hata idea zangu pia.

Kuna jamaa Humu tuko tuna discuss kufanya kitu, tuna similizia mambo fulani ya tick, so ngoja tuone.
 
Naam, wao walikuwa na exposure ya mambo na mazingira halisi.
Hope uta nipea ka dei waka, niweke hata idea zangu pia.

Kuna jamaa Humu tuko tuna discuss kufanya kitu, tuna similizia mambo fulani ya tick, so ngoja tuone.
Ka Dei waka 🤣🙌, unanipa wakati mgumu kukimbilia google hadi nimekutana na wimbo wa sugu -Deiwaka ndio dayworker ,ok.
Nitakupa wapi sasa? Panda farasi ufike hapa kijijini.

Hongereni sana,mtafanikisha
 
Ka Dei waka 🤣🙌, unanipa wakati mgumu kukimbilia google hadi nimekutana na wimbo wa sugu -Deiwaka ndio dayworker ,ok.
Nitakupa wapi sasa? Panda farasi ufike hapa kijijini.

Hongereni sana,mtafanikisha
Shida huni tajii Kijiji na info za maana😆🤣, maana inaweza kuwa turning point yangu kwa style Mpya 😊
 
Haina shida, ni vyema kufahamu.

Unataka kufahamu kwa ajli ya umaarufu?🤣mbaya sana hiyo kijana.
Nope, ila who doesn't wanna be recognized for being a major changer wa sekta au Jambo fulani zuri??.

Beside Nina mipango mikubwa na mizuri, ambayo am pretty sure Nita acha alama as a leader na influencer.
Bila kusahau ka jina pale forbes🤓😁
 
Hakuna ambaye hataki hivyo lakini sometimes inakubidi kusimama nyuma ya pazia kutokana na mambo mengi tu.

Mipango mizuri na hii kila mtu pia ana ndoto nayo kwa njia anayohitaji/anayoona itamfaa.
 
Hakuna ambaye hataki hivyo lakini sometimes inakubidi kusimama nyuma ya pazia kutokana na mambo mengi tu.

Mipango mizuri na hii kila mtu pia ana ndoto nayo kwa njia anayohitaji/anayoona itamfaa.
Naelewa kaka, hoPe tuta zidi ongea habari hizi nzuri za mapambano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…