Jenga ngome yako, Usikubali kuishi kimazoea

Jenga ngome yako, Usikubali kuishi kimazoea

Jenga ngome YAKO ila usiishi kimazoea,
Eleza vizuri kijana,ngome hujengwa na wewe ila kuendelea/kukua kwa ngome sometimes kunahitaji nguvu ya watu wa karibu wenye malengo sawa na wewe(marafiki or watu wa karibu)

Unaweza kuwa na pesa ukahitaji ukaribu wa watu walio na pesa kama au zaidi ya wewe,ukifikiri utapata zaidi ya ulichonacho kutokana na maarifa ya pamoja lakini kumbuka awazalo yeye huenda likawa ni kufaidika zaidi yako na mtu mwenye maarifa asiye na pesa akakufaidisha zaidi ya mwenye pesa na malengo tofauti na yako ambayo huwezi kuyafahamu.
Kuna vitu 3, knowledge, exposure na pesa, uki vikamata au kuwa na kimoja katika hivyo.

Kisha uka pata walio na 2, Basi mna enda extra miles
 
Lemme tell you something rafiki,in my hustle with E commerce inv,I started prepping in that sct........kijana,nilikuwa na pesa tu ya kufanikisha but i didn't have the green light to do hiyo kitu in folks territory and laws had me locked down like a newbie.I had to bounce back from that disappointment and let it slide huku roho ikiuma.But lucky me in convo with my neighbors ambao hawakuwa na idea wala pesa na ni wenyeji...they showed me a way I never expected could shed light on the E-C.It's been years now and it's poppin' off real good and imepata umaarufu na mengineyo on folks' turf.Waliofanikisha extra miles hawakuwa kwenye idea wala pesa,ni watu walioonyesha njia pasi na tamaa na sio kama sikukutana na wenye idea sawa,no bali wasingeifikisha ilipo sasa.
Naam, wao walikuwa na exposure ya mambo na mazingira halisi.
Hope uta nipea ka dei waka, niweke hata idea zangu pia.

Kuna jamaa Humu tuko tuna discuss kufanya kitu, tuna similizia mambo fulani ya tick, so ngoja tuone.
 
Naam, wao walikuwa na exposure ya mambo na mazingira halisi.
Hope uta nipea ka dei waka, niweke hata idea zangu pia.

Kuna jamaa Humu tuko tuna discuss kufanya kitu, tuna similizia mambo fulani ya tick, so ngoja tuone.
Ka Dei waka 🤣🙌, unanipa wakati mgumu kukimbilia google hadi nimekutana na wimbo wa sugu -Deiwaka ndio dayworker ,ok.
Nitakupa wapi sasa? Panda farasi ufike hapa kijijini.

Hongereni sana,mtafanikisha
 
Ka Dei waka 🤣🙌, unanipa wakati mgumu kukimbilia google hadi nimekutana na wimbo wa sugu -Deiwaka ndio dayworker ,ok.
Nitakupa wapi sasa? Panda farasi ufike hapa kijijini.

Hongereni sana,mtafanikisha
Shida huni tajii Kijiji na info za maana😆🤣, maana inaweza kuwa turning point yangu kwa style Mpya 😊
 
Haina shida, ni vyema kufahamu.

Unataka kufahamu kwa ajli ya umaarufu?🤣mbaya sana hiyo kijana.
Nope, ila who doesn't wanna be recognized for being a major changer wa sekta au Jambo fulani zuri??.

Beside Nina mipango mikubwa na mizuri, ambayo am pretty sure Nita acha alama as a leader na influencer.
Bila kusahau ka jina pale forbes🤓😁
 
Nope, ila who doesn't wanna be recognized for being a major changer wa sekta au Jambo fulani zuri??.

Beside Nina mipango mikubwa na mizuri, ambayo an pretty sure Nita acha alama as a leader na influencer.
Bila kusahau ka jina pale forbses🤓😁
Hakuna ambaye hataki hivyo lakini sometimes inakubidi kusimama nyuma ya pazia kutokana na mambo mengi tu.

Mipango mizuri na hii kila mtu pia ana ndoto nayo kwa njia anayohitaji/anayoona itamfaa.
 
Hakuna ambaye hataki hivyo lakini sometimes inakubidi kusimama nyuma ya pazia kutokana na mambo mengi tu.

Mipango mizuri na hii kila mtu pia ana ndoto nayo kwa njia anayohitaji/anayoona itamfaa.
Naelewa kaka, hoPe tuta zidi ongea habari hizi nzuri za mapambano.
 
Back
Top Bottom