Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #441
I must, I will, I can. RIP (R.MENGI).
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poa mkuu 😊Mzee wa kupambania, ufike na Huku ili ujifunze.
Soma utupe mawazo yako, sisi Kaka ma Hustlers 💪Poa mkuu 😊
Sawa nikitoka ibadani mapema sana nakuja kutoa mawazoSoma utupe mawazo yako, sisi Kaka ma Hustlers 💪
Leo Ume likumbuka kanisa🤔🤣😂Sawa nikitoka ibadani mapema sana nakuja kutoa mawazo
Wanaume wamekuwa wachache sana. Ila wenye jinsia ya kiume wapo. Nikiwa napita mijini especially stand au kwenye masoko panatia huruma na maumivi sana. Vijana hawajui kwanini wanaishi, hawajui maana ya uwanaume, akili zimeishia kwa bangi, pombe na uzinzi.Vijana tuna shindwa kupambania Malengo yetu, kisa u bize na mademu.
👉Take care guys Kama huwezi jipambanie wewe, pambania hata familia yenu.
👉 Avoid distraction YoungPastor, keisangora, Grahams, EMMYGUY, mshamba_hachekwi, Uchira 1, raraa reree, Mzee wa kupambania, National Anthem, Poor Brain
View attachment 2702752
EMMYGUY, keisangora, Grahams, mshamba_hachekwi, Gily Gru someni ujumbe nilio quoteWanaume wamekuwa wachache sana. Ila wenye jinsia ya kiume wapo. Nikiwa napita mijini especially stand au kwenye masoko panatia huruma na maumivi sana. Vijana hawajui kwanini wanaishi, hawajui maana ya uwanaume, akili zimeishia kwa bangi, pombe na uzinzi.
Taifa la kesho limepoteza mwelekeo ambao hata hawaujui, sio afya. Sio muonekano. Sio akili. Sio usemi. UTU hakuna wanaishi ili waishe.
Vijana!!!!!!!!
kweli tutamudu ubaba?
Tutamudu majukumu kama waume?
Tutamudu majukumu kama Viongozi ktk jamii?
Tutakuza kweli watoto wakueleweka?
Ubaba na umama vyote vinatokomea kwa kasi.Vijana na vidada hawana tena maarifa ya kimaisha.Wanaishia kuchotwa na kila ingizo la kisasa.Utamaduni na desturi njema navyo vina mabawa siku hizi.Vinapaa.Wanaume wamekuwa wachache sana. Ila wenye jinsia ya kiume wapo. Nikiwa napita mijini especially stand au kwenye masoko panatia huruma na maumivi sana. Vijana hawajui kwanini wanaishi, hawajui maana ya uwanaume, akili zimeishia kwa bangi, pombe na uzinzi.
Taifa la kesho limepoteza mwelekeo ambao hata hawaujui, sio afya. Sio muonekano. Sio akili. Sio usemi. UTU hakuna wanaishi ili waishe.
Vijana!!!!!!!!
kweli tutamudu ubaba?
Tutamudu majukumu kama waume?
Tutamudu majukumu kama Viongozi ktk jamii?
Tutakuza kweli watoto wakueleweka?
Vijana Hawa taki kupitwa na muda, wako bize na ufahari.Ubaba na umama vyote vinatokomea kwa kasi.Vijana na vidada hawana tena maarifa ya kimaisha.Wanaishia kuchotwa na kila ingizo la kisasa.Utamaduni na desturi njema navyo vina mabawa siku hizi.Vinapaa.
Maisha ya filamu yameathiri maisha halisiaUbaba na umama vyote vinatokomea kwa kasi.Vijana na vidada hawana tena maarifa ya kimaisha.Wanaishia kuchotwa na kila ingizo la kisasa.Utamaduni na desturi njema navyo vina mabawa siku hizi.Vinapaa.
Dogo una utindio wa ubongoHebu jifunze kuandika vizuri kwanza, halafu aliye pinga umuhimu wa Watu ni Nani??
👉Elewa andiko, kabla ya kukimbilia kuandika🤔