Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulikuwa una piga dili mwenyewe🤒Nimerudi mkuu 👊👊
Dili wapi mkuu, tunakimbiza upepoUlikuwa una piga dili mwenyewe🤒
Safi💪, lazima meza ipinduke💪🤒Dili wapi mkuu, tunakimbiza upepo
Kuchapiwa ni siri ya ndani😬Msingi wa familia ndo nguzo ya mafanikio Bora.
👉Ila kwa style hii Ni ngumu. Gily Gru, mshamba_hachekwi, YoungPastor, EMMYGUY, keisangora
View attachment 2703591
We mchaga, ushawai kuchapiwa😂🤣Kuchapiwa ni siri ya ndani😬
Nikopeshe ukwaju Sasa😜Asante sana mpendwa🙏🏽
Sikuwahi kudhani kama una akili kubwa na zenye hekima kiasi hiki ubarikiwe sana kwa kuniita kwenye uzi huu😁Nikopeshe ukwaju Sasa😜
Nime shindwa niweke emoji gani 😁, coz nime cheka sana 😂😂😂Sikuwahi kudhani kama una akili kubwa na zenye hekima kiasi hiki ubarikiwe sana kwa kuniita kwenye uzi huu😁
tulia wewe kanywe hata sodaGreat minds, discuss ideas
Average minds, discuss events
Small minds discuss people
👉 Gily Gru, keisangora, mshamba_hachekwi, YoungPastor, Ms eyes, EMMYGUY
Soda jau mzee, nipo nakunywa maji ya bomba🤒tulia wewe kanywe hata soda
sio kila saa motivation, au chapisha kitabu kama mwakasege, ana mihela ya vitabu😂Soda jau mzee, nipo nakunywa maji ya bomba🤒
Mwakasege ile Jamaa Ina jus mzee, mi naanzia Huku🤒sio kila saa motivation, au chapisha kitabu kama mwakasege, ana mihela ya vitabu😂
unaweza mwanangu kua motivation speaker inalipaMwakasege ile Jamaa Ina jus mzee, mi naanzia Huku🤒