Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya Madini niliyasoma kimya kimya mkuuAmbivert88 ushawai kusoma haya madini??
Hebu kalike ukurasa wa mwanzoniHaya Madini niliyasoma kimya kimya mkuu
Sasa hivi kaka, nafanya hivyo😁Wapi? 😂
MkuuSasa hivi kaka, nafanya hivyo😁
Mod wamezidi ufallaGlenn na mshamba_hachekwi I'm kuwaje Tena🤒😁
Labda tusubirie ata tusikiliza angalauMod wamezidi ufalla
Nipo sema kuna muda hapa huu uzi kama ulipotea hv😁Bro Mpaji Mungu naona tume sambaratika, Kama vijiko vya msibani😁🤒
Sasa future mod, SI wange tusikiliza angalau🤔wanachokifanya ni sawa, wakiruhusu hayo mambo matapeli watakua wengi sana... inaonekana mwenye jukwaa hana malengo ya jukwaa kutumika kama sehemu ya kusaidia.... na ni sawa kabisa
Nilikuwa naandaa gazeti, Nika shangaa vumbi lime jaa😁Nipo sema kuna muda hapa huu uzi kama ulipotea hv😁
Mi kwangu hadi zle notification zote zilipotea kwanza nkasema ngoja nilale lkn wapi usingz hamnaNilikuwa naandaa gazeti, Nika shangaa vumbi lime jaa😁
Kuna watu wame jaa ujinga aisee, hawataki kusikia hoja za maana.