KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka hiyo ujenzi wa namna hii walikuwa wakitumia Wafaransa ili kukwepa kulipa kodi kubwa.
Wakwepaji kodi kumbe wameanza kitambo 😀😀😀Miaka hiyo ujenzi wa namna hii walikuwa wakitumia Wafaransa ili kukwepa kulipa kodi kubwa.
Kodi ilikuwa ikilipwa kwa square meters ya size ya nyumba kwa hiyo wao wakawa wanajenga chini padogo juu wanaongeza upana. Wakadiriaji wakija wanapima chini. Ndiyo maana nyumba za wakati hup huko France zikawa namna hiyo
mkuu, hii ni chai?Miaka hiyo ujenzi wa namna hii walikuwa wakitumia Wafaransa ili kukwepa kulipa kodi kubwa.
Kodi ilikuwa ikilipwa kwa square meters ya size ya nyumba kwa hiyo wao wakawa wanajenga chini padogo juu wanaongeza upana. Wakadiriaji wakija wanapima chini. Ndiyo maana nyumba za wakati hup huko France zikawa namna hiyo
Kweli Jf ni makazi ya great thinkers!Miaka hiyo ujenzi wa namna hii walikuwa wakitumia Wafaransa ili kukwepa kulipa kodi kubwa.
Kodi ilikuwa ikilipwa kwa square meters ya size ya nyumba kwa hiyo wao wakawa wanajenga chini padogo juu wanaongeza upana. Wakadiriaji wakija wanapima chini. Ndiyo maana nyumba za wakati hup huko France zikawa namna hiyo
Kodi ikaleta uvumbuzi 🔥Miaka hiyo ujenzi wa namna hii walikuwa wakitumia Wafaransa ili kukwepa kulipa kodi kubwa.
Kodi ilikuwa ikilipwa kwa square meters ya size ya nyumba kwa hiyo wao wakawa wanajenga chini padogo juu wanaongeza upana. Wakadiriaji wakija wanapima chini. Ndiyo maana nyumba za wakati hup huko France zikawa namna hiyo
Kumbe chanzo Cha kukwepa Kodi Ni huko....Miaka hiyo ujenzi wa namna hii walikuwa wakitumia Wafaransa ili kukwepa kulipa kodi kubwa.
Kodi ilikuwa ikilipwa kwa square meters ya size ya nyumba kwa hiyo wao wakawa wanajenga chini padogo juu wanaongeza upana. Wakadiriaji wakija wanapima chini. Ndiyo maana nyumba za wakati hup huko France zikawa namna hiyo
kukwepa kodi ipo kisheria pia na inaruhusiwa .Wakwepaji kodi kumbe wameanza kitambo 😀😀😀
Hapana ni ukweli unaweza hata ku googlemkuu, hii ni chai?
themindcircle.com
Acha tukwepe kodi tu hamuna namnakukwepa kodi ipo kisheria pia na inaruhusiwa .
Kwa TZ ,wana calculate sqm zote kuanzia ground floor ,first floor na 2nd floor kisha wanajumlisha wanalamba kodi.Hapana ni ukweli unaweza hata ku google
View attachment 3144436
![]()
The Oldest House in Aveyron, France; Built Some Time in the 14th Century
Built around the 14th century, this old house in Aveyron, France is still standing and inhabited in today.themindcircle.com
Hata France itakuwa hivyo. Kumbuka hiyo ni mambo walifanya karibu miaka 1,000 iliyopitaKwa TZ ,wana calculate sqm zote kuanzia ground floor ,first floor na 2nd floor kisha wanajumlisha wanalamba kodi.
Tuonyeshe iliyojengwa na ccm mwaka 2000 tulinganishe