The Worst
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 6,108
- 21,140
Inafikirisha sana!Na kulikuwa hakuna cement usisahau
Na leo kuna zinajengwa na cement lakini zinadondoka watu hawajahamia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inafikirisha sana!Na kulikuwa hakuna cement usisahau
Hhahhaha ata kama umetunga umetisha aisee me Nilijua wanakwepa wezi na wageni wasioalikwa.Miaka hiyo ujenzi wa namna hii walikuwa wakitumia Wafaransa ili kukwepa kulipa kodi kubwa.
Kodi ilikuwa ikilipwa kwa square meters ya size ya nyumba kwa hiyo wao wakawa wanajenga chini padogo juu wanaongeza upana. Wakadiriaji wakija wanapima chini. Ndiyo maana nyumba za wakati huo huko France zikawa namna hiyo
Kodi si kitu cha kufurahishaWakwepaji kodi kumbe wameanza kitambo 😀😀😀
InasikitishaInafikirisha sana!
Na leo kuna zinajengwa na cement lakini zinadondoka watu hawajahamia.
Hongera wagunduzi na wabunifu.....Na kulikuwa hakuna cement usisahau