Jengo jipya la Maabara

Lai Otieno

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2013
Posts
311
Reaction score
90
Hili ndilo jengo jipya la Maabara ya shule ya sekondari ya Bweri iliojengwa chini ya usimamizi wa Chadema jimbo la Musoma Mijini kupitia Mhe Bunge Vincent pamoja na madiwani wake ni moja wapo ya ahadi alizo ahidi Mhe kipindi cha kuomba kura kwa wanainchi wa Musoma kwenye uchaguzi wa 2010 ali ahdi kufanya hivyo katika shule zote za sekondari ambao zinaendelea katika shule kama Kamnyonge pamoja na Nyamtwebili zote zikiwa haapa hapa jimboni.
 

Attachments

  • bweri 1.jpg
    48.3 KB · Views: 278
  • bweri 2.jpg
    10.3 KB · Views: 259

FaizaFoxy Dada Fai , kweli skuli ya kata iwe na maabara nzuri kama hiyo? wewe mwenyewe unajua hadhi ya kata ilivyo! Amejitahidi ila akaze buti zaidi kushughulikia kero za jimbo lake!

Hiyo maabara au jengo la maabara? unajuwa maana ya maabara wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…