Jengo jipya la ubalozi DC - Dola milioni 10?

Jengo jipya la ubalozi DC - Dola milioni 10?

Jamani wasiojifunza kutokana na matukio ya kihistoria, wanajitayarisha kurudia makosa. Serikali ya Tanzania imeshindwa katika shughuli zote za biashara. Hivyo kusema kuwa jengo jipya litapangishwa na kuleta mapato ni kuipa serikali majukumu ambayo consistently imeyashindwa kufanya toka tupate uhuru.

Kwa ujumla sipingi misingi ya ununuzi wa jengo. Lakini sioni ufanisi wa mabalozi wa Tanzania nje ya nchi ni mdogo. Ofisi za balozi zimeshindwa kuwatumika watanzania au kuitangaza nchi.
 
Jamani wasiojifunza kutokana na matukio ya kihistoria, wanajitayarisha kurudia makosa. Serikali ya Tanzania imeshindwa katika shughuli zote za biashara. Hivyo kusema kuwa jengo jipya litapangishwa na kuleta mapato ni kuipa serikali majukumu ambayo consistently imeyashindwa kufanya toka tupate uhuru.

Kwa ujumla sipingi misingi ya ununuzi wa jengo. Lakini sioni ufanisi wa mabalozi wa Tanzania nje ya nchi ni mdogo. Ofisi za balozi zimeshindwa kuwatumika watanzania au kuitangaza nchi.

Je misingi ya ununuzi ama dhamira halisi ya ununuzi wa jengo hilo ni investment ama kupata pahala pa kufanyia kazi? Binafsi naamini nia na madhumuni ni investment,kutokana na hilo sina imani kwani historia haionyeshi usimamizi mzuri wa serikali kwenye investment given it foreign or domestic.
 
Jamani wasiojifunza kutokana na matukio ya kihistoria, wanajitayarisha kurudia makosa. Serikali ya Tanzania imeshindwa katika shughuli zote za biashara. Hivyo kusema kuwa jengo jipya litapangishwa na kuleta mapato ni kuipa serikali majukumu ambayo consistently imeyashindwa kufanya toka tupate uhuru.

Kwa ujumla sipingi misingi ya ununuzi wa jengo. Lakini sioni ufanisi wa mabalozi wa Tanzania nje ya nchi ni mdogo. Ofisi za balozi zimeshindwa kuwatumika watanzania au kuitangaza nchi.
Muzee umebadili position ya in favour or against? au nilikuwa niki-kusoma vibaya?
Haya tuyaache ningependa kuonga mkono point zako hapo juu.
 
Muzee umebadili position ya in favour or against? au nilikuwa niki-kusoma vibaya?
Haya tuyaache ningependa kuonga mkono point zako hapo juu.

Umenisoma sahihi kabisa. Tupo kwenye kuelimishana na kutafakari. Nadhani wachangiaji wengi wako kwenye kambi mbili za ku-justify gharama za ununuzi.

Sipingi gharama wala ukubwa wa jengo kwa sababu sijapata namba za kuonyesha gharama za matumizi na uendeshaji wa jengo kwa muda mrefu. Lakini pamoja na kutopinga kwangu sikubaliani kuwa kutumia jengo kama investment ni kitu muhimu.

Vilevile maofisa wengi wa Tanzania sio wabunifu. Mbunge anaomba gari kubwa kwa sababu ya kutembelea vijijini lakini kijijini haendi, the bigger the better mentality. Sipingi ukubwa wa jengo au ununuzi wake. Lakini ningependa ufanisi basi uwe mkubwa. Kuna siku nilikwenda ubalozi, nikaambiwa nisubiri kwa sababu wako lunch-time. Lakini hawana kibao cha saa za kazi cha kuonyesha kuwa ofisi uwa zinafungwa wakati wa lunch time.

Vilevile images ni kitu muhimu sana. Nimeangalia picha alizoweka BAK na nimekuwa emotionally moved na kuona kuwa national priorities aren't right.
 
Suti nzuri tena za gharama kubwa wanazovaa Viongozi wetu, majengo makubwa ya gharama ya balozi zetu nje, magari mazuri ya kifahari wanayotembelea viongozi wetu, ndege ya Rais ya bei kubwa......
Vijijini madarasa hakuna, vyoo hakuna, madawati hakuna, zahanati wala madawa hakuna, barabara vijijini hazipitiki, visima vya maji hakuna, mabwawa ya kunywesha mifugo yetu hakuna, Loliondo saa hizi mizoga ya ng'ombe imetapakaa kila mahali, hakuna fedha ya kumfidia mfugaji huyu; kilomita chache tu kutoka hapo Loliondo akina Mzee Sitta na CPA yake wanatumbua mabilioni!!
 
Wasi wasi wangu mimi ni kuwa awamu ya JK ikimaliza muda, tutaanza kusikia mambo ya ununuzi wa jengo hili hayakufuata taratibu, au wameongeza fedha kuliko thamani halisi ya jengo kwa sababu tunayoyaona hivi sasa ya EPA na ujenzi wa makao makuu ya BoT, Ubalozi wa Italy n.k yote yalifanyika katika awamu iliyopita.
 
Wasi wasi wangu mimi ni kuwa awamu ya JK ikimaliza muda, tutaanza kusikia mambo ya ununuzi wa jengo hili hayakufuata taratibu, au wameongeza fedha kuliko thamani halisi ya jengo kwa sababu tunayoyaona hivi sasa ya EPA na ujenzi wa makao makuu ya BoT, Ubalozi wa Italy n.k yote yalifanyika katika awamu iliyopita.

Speculations
 
Wasi wasi wangu mimi ni kuwa awamu ya JK ikimaliza muda, tutaanza kusikia mambo ya ununuzi wa jengo hili hayakufuata taratibu, au wameongeza fedha kuliko thamani halisi ya jengo kwa sababu tunayoyaona hivi sasa ya EPA na ujenzi wa makao makuu ya BoT, Ubalozi wa Italy n.k yote yalifanyika katika awamu iliyopita.

Kwenye ununuzi wa jengo hili kuna harufu kali ya ufisadi. Natumai katika kikao kijacho cha Bunge mwishoni mwa mwezi huu Wabunge watalihiji ili na kujua ni nani aliyeidhinisha ununuzi wa jengo hili. Hili la kununua majengo ya ofisi za ubalizi na hata nyumba za wafanyakazi limegubikwa na ufisadi wa hali ya juu kwa sababu wanaweza kabisa kununua jengo lenye thamani ndogo na kuonyesha limenunuliwa kwa bei ambayo ni mara mbili kwa bei yake halali kama ilivyotokea Italy. Je, jengo la ubaloz DC likifanyiwa tathmini lina value kweli ya $10.5 million au ndiyo mafisadi wameshachukua chao mapema!?
 
Suti nzuri tena za gharama kubwa wanazovaa Viongozi wetu, majengo makubwa ya gharama ya balozi zetu nje, magari mazuri ya kifahari wanayotembelea viongozi wetu, ndege ya Rais ya bei kubwa......
Vijijini madarasa hakuna, vyoo hakuna, madawati hakuna, zahanati wala madawa hakuna, barabara vijijini hazipitiki, visima vya maji hakuna, mabwawa ya kunywesha mifugo yetu hakuna, Loliondo saa hizi mizoga ya ng'ombe imetapakaa kila mahali, hakuna fedha ya kumfidia mfugaji huyu; kilomita chache tu kutoka hapo Loliondo akina Mzee Sitta na CPA yake wanatumbua mabilioni!!

Thank you Wild Card!...Viongozi tuliokuwa nao ni mabomu hawajui hata vipaumbele ndani ya nchi yetu ambavyo vinagusa maisha ya kila siku ya Watanzania walio wengi. Kazi yao ni kuropoka ropoka tu kauli amazo hazina vichwa wala miguu karibu kila siku iendayo kwa Mungu. Sijui huwa hata kama wanafikiri kabla ya kutoa mabomu yao.
 
You can argue the way you like.... But this new Ubalozi BS is total non sense. Tanzania doesn't need a big embassy like that anywhere in the world. I dont care iwe Kenya au DC. I need a cost-benefit analysis of this thing, then tunaweza kuendelea kubishana.
Otherwise, Maisha bora kwa kila Mtanzania is still a nightmare.
,.,..jpg

|
v


0003.jpg

|
v


0002.jpg


|
v


001.jpg


THEN....

0008

ofisi zetu za ubalozi Washngton DC

|
v

0005.jpg


|
v

0006


Kuna cha kuongeza?
 
jengo la bilion 10 kwa nchi kama tz ambayo majority ya wapiga kura wanaishi chini ya dola moja kwa siku.ama kweli priorities

kwa hiyo hiyo amount wagawiwe wananchi?
Mradi utalipa kama hakutakuwa na ufisadi jamani au....
 
Back
Top Bottom