Jengo la Bunge Kaunti ya Nyamira laporomoka

Jengo la Bunge Kaunti ya Nyamira laporomoka

Kapicha kako wapi
Picha za before and after the incident.

79cd44e67aa40f59.jpg
images.jpg
 
Hapo ndo utawapenda wakenya, ukipewa pesa iliyotolewa na iliyotumika unaweza kutoa machozi...
 
No No no no, big NO guys this is too much.

Yaani mpaka majengo ya serikali yanabomoka katika hatua za ujenzi?

Mimi nilifikiri ni majengo yaliyojengwa kitambo.
😛 😛 😛
 
Ingekuwa Bongo wangesema mwendazake sijui imefika wapi.
Ila kwa vile imetokea kwa MK254 ngoja tutulie
 
Taarifa mbaya kutokea Kenya

Jengo la Bunge la Kaunti ya Nyamira lilojengwa kwa thamani ya Milioni 379 za Kenya limeporomoka mapema leo

Kazi ya uokozi inaendelea na hadi sasa watu 8 wamepata majeraha makubwa

Thamani ya fedha ya ujenzi ni Billion 7,959,000,000 za Tanzania


=======



At least eight people were injured after a multimillion-shilling building under construction that was set to host the Nyamira County Assembly collapsed on Thursday evening.

According to County Commissioner Amos Mariba, the 8 were among 51 people who were on site when the building said to have cost around Ksh.379 million collapsed; the other 43 escaped unhurt.

Health CEC Dr Silas Ayunga said five out of the 8 suffered minor injuries and have since been treated and discharged.

The remaining three suffered severe injures that required imaging for decision making and are presently admitted at the Nyamira County Referral Hospital for observation.

All of them are in stable condition but the one with the most serious injury is getting a chest CT scan and x-ray of the neck done.

County Commissioner Mariba, while saying no casualties were reported, added that a probe has since been launched to establish the cause of the incident.

Nyamira County Assembly Speaker Moffat Teya also tasked the Department of Public Works, particularly the Project Manager and the entire team of Engineers together with the Contractor to expeditiously investigate and give a comprehensive report on the matter.

“The incident is very unfortunate coming at a time when the County Assembly is constrained for office space for both Members of the County Assembly and Staff,” said Mr. Teya.

“I urge our good residents to be calm and that once the Report from the Contractor, the Project Manager and the entire team of Engineers is ready we shall publicise it to the public to know what exactly transpired.”

He further added: “There are no reported fatalities. We wish quick recovery to the injured. We thank H. E Governor, the County Commissioner, the County Emergency Rescue Team and members of the public for moving with speed to rescue and save lives. We shall keep you posted.”

Source: Citizen TV
Hizo ndizo hasara za upigaji usiyo na huruma. Jengo la billion 7 liko wapi, hasa ukichukulia vifaa vya ujenzi ni bei poa kuliko TZ. Hawa jamaa wanachapa bila huruma!
 
Back
Top Bottom