Los Angeles
Member
- Apr 29, 2013
- 57
- 2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili bunge la Dodoma limejengwa na serikali ya muungano. wizara na mali nyingi huku bara ni za muungano. znz wana haki pia. nyerere alifanya kosa kufanya serikali ya Tanganyika ijulikane kama serikali ya muungano. muungano ukivunjika, watangayika watakua na gharama kubwa kuwafidia wazanzibari ktk mali za muungano. kazi ipo.............