LuisMkinga
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 3,255
- 6,252
Mama yupo analeta uhuru wa kiuchumi. Na hao ni wajenzi huru.Sijaelewa mkuu, mama anaingiaje hapo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama yupo analeta uhuru wa kiuchumi. Na hao ni wajenzi huru.Sijaelewa mkuu, mama anaingiaje hapo?
mkuu wacha kutufuatilia tafadhaliJengo la Freemason hall lililopo posta mpya linafanyiwa marekebisho, kumekuwa na uvumi mwingi kuhusu hao jamaa (masons), natamani kujua nani analipia gharama za ujenzi?
Je nani aliyewakabidhi kulirekebisha ni wanachama wenyewe au? Je kwa Tanzania taratibu zao zimekaaje?
Aione Mshana Jr na GENTAMYCIME kalemera.
Hata Maxence Melo anaweza kutoa ufafanuzi
Msije mkamusubscribe fasta bila kujuamkuu wacha kutufuatilia tafadhali
Hilo nakupinga kabisaKwa kawaida tu mkuu wa kaya huwa mwanachama
Lazima upinge si haujuiHilo nakupinga kabisa
Ukifika pale ndio freemason halisi, achana na hawa wa kwenye nguzo za umeme.Liko posta sehemu gani? nikitaka kwenda kujiunga nitafanikiwa?
Kosa lako kufungulia watu uzi kisa wanakarabati nyumba yao ya ibada na kuanza kuhoji anayegharamia ukarabati, kwani hawana waumini au wadhamini basi, mbona mkikarabati misikiti na makanisa yenu wenyewe hawahoji? mbona mnataka kujiona nyie ni exeptional sana, kwani mna lipi la kushangaza kuwazidi?Mkuu kosa langu lipi?
CCM wanataka kututoa kafara Mbwa hawaJengo la Freemason hall lililopo posta mpya linafanyiwa marekebisho, kumekuwa na uvumi mwingi kuhusu hao jamaa (masons), natamani kujua nani analipia gharama za ujenzi?
Je nani aliyewakabidhi kulirekebisha ni wanachama wenyewe au? Je kwa Tanzania taratibu zao zimekaaje?
Aione Mshana Jr na GENTAMYCIME kalemera.
Hata Maxence Melo anaweza kutoa ufafanuzi
Wa tz wambea Sana, umepiga picha Kwa kujificha. kuwa huru , ukweli utakuweka huru.Jengo la Freemason hall lililopo posta mpya linafanyiwa marekebisho, kumekuwa na uvumi mwingi kuhusu hao jamaa (masons), natamani kujua nani analipia gharama za ujenzi?
Je nani aliyewakabidhi kulirekebisha ni wanachama wenyewe au? Je kwa Tanzania taratibu zao zimekaaje?
Aione Mshana Jr na GENTAMYCIME kalemera.
Hata Maxence Melo anaweza kutoa ufafanuzi
CCM na freemasons wapi wapi mkuuCCM wanataka kututoa kafara Mbwa hawa
Wengine tunataka tujiunge huko unaweza pata fursa za maisha hukoUnatamani kujua nani anagharamia ujenzi kwani hilo hall linaendeshwa na nani??
Mkirekebisha misikiti na makanisa yenu nani anawachunguza na kutaka kujua gharama?
Na hizo taratibu wataka kuzijua ni za nini?
Imekuuma mkuu au huu ni msimamo rasmi wa masons?Kosa lako kufungulia watu uzi kisa wanakarabati nyumba yao ya ibada na kuanza kuhoji anayegharamia ukarabati, kwani hawana waumini au wadhamini basi, mbona mkikarabati misikiti na makanisa yenu wenyewe hawahoji? mbona mnataka kujiona nyie ni exeptional sana, kwani mna lipi la kushangaza kuwazidi?