Jengo la Mafuta House labadilishwa jina kuwa B W Mkapa

Jengo la Mafuta House labadilishwa jina kuwa B W Mkapa

Jamani hii heading inatuchanganya. Tunaomba heading ifikishe ujumbe kabla ya msomaji kuingia kwa undani kusoma thread.
 
Mheshimiwa kikwete embu jaribu kuwa na busara katika uongozi wako!!! Ina maana hiyo issue ya nyumba anayojengewa mkapa huko masaki kama anavoyodai philemon huna taarifa nayo??? Usifanye watanzania wakaanza kutumia jina lako vibaya. Ukiendelea hivyo, usishangae kusikia watu tumeanza kusema: Seleman siku hizi ni kikwete kweli. Embu tazama alivyotelekeza familia yake!!! Mwalimu jamuhuri siku hizi ni kikwete kweli embu tazama wanafunzi wake wote wamepata divisheni zero!!! Dr.Ali siku hizi ni kikwete kweli!!!, embu tazama amempasua mgonjwa mguu badala ya kichwa!!! Nanihii siku hizi ni kikwete kweli, embu tazama alivyolewa chakari mpaka anatembea uchi!!!

Chonde chonde, kikwete!!! Rekebisha mambo usije kusema sikujua kama itakuwa hivi
.


LOL!...that was a good one...🙂
 
nkapabldgpf5.jpg

Credit: Michuzi blog

BMW kama kweli angekuwa na msimamo, kama kweli angekuwa msafi angekataa jina lake kutumika katika majengo au jengo lolote. Kwa sababu karidhika jina lake litumike basi lazima ufahamu anataka kujificha maovu yake.
 
..uwanja ungeitwa kwa jina lake ndio ingekuwa poa zaidi!bidii zake zile!

AMEFANYA MENGI KTK HILO JENGO MUULIZENI YONAH KILAGHANE,HATA ULE UWANJA NI MATOKEO YA AHADI YAKE KWA WANA MICHEZO KUWA " NAKIRI SIJAFANYA JITIHADA YA KUINUA MICHEZO,HII IMETOKANA NA MFUMO USIELEWEKA KTK NYANJA NZIMA YA MICHEZO NA WANAMICHEZO WENYEWE,WATANZANIA WANAPENDA MICHEZO NA KUTAMBUA HILO NAAHIDI KUWAJENGEA UWANJA WA KISASA WA MICHEZO"

NI VEMA TUKAUPATIA UWANJA HUO JINA LAKE KWA SABABU NYINGI SANA AU LA BASI NI JULIUS K.NYERERE KWANI NDIYE ALIYEMPA NCHI NA NI MUASISI WA TAIFA.

MAJENGO YA MAFUTA NA UBUNGO PLAZA YALISHAKUWA VIMEO KWA WAASISI WA MIRADI HIYO, NADHANI KAMA SI MKAPA BASI WANGEMPA FREDERICK TLUWAY SUMAYE AMBAYE NAYE LICHA YA KUKOPA HUMO AMEKUWA MHIMILI WA MAGEUZI YA MAJENGO HAYO MPAKA HAPO YALIPOFIKIA.

NATOA HOJA
 
Mimi napendekeza ile rada iitwe Mkapa Security Rada. Na Kiwira iitwe Mkapa kiwira power Supply.
 
NuruJamii nakupa tano..Hii ingetosha kukumbukwa kwani nayo hii ni Miradi.
Wapenzi wa Mkapa kumbe mmo humu ndani(Nyie ndio mliopata fursa ya kuingia madarakani thru Mkewe), Hivi kila RAIS akiingia Madarakani akijenga kitu kiitwe Jina lake? is it? Hizi ni politics za Makamba. Nakumbuka wakati ule Shule ya CITY inafunguliwa wakati wapo Mnazi mmoja, Makamba aliomba asiondolewe ktk kiti cha Ukuu wa Mkoa DSM. Walipofika Shule Uhuru makamba akatangaza shule hio itaitwa BWM. Wananchi wafanye kitu, then wao ndo waone hapa anastahili FULANI. Ikiwa Nyenzo za Serikali zinafanywa Hivi si vibaya RAIS atakaeingia Madarakani kufuta majina yote.
 
Kingine ni kuwa Haisense...kama Vile watu kuuita uwanja wa Ndege Nyerere Airport...wakati ukienda kukata tickect system za electronic za tickect zote zinakuuliza Dar Airport.. Watu watawakumbuka viongozi wao kwa mema waliyoyafanya wakiwa Madarakani. si kwa majengo yaliyojngwa na wengine wanasiasa wakataka nao wakumbukwe.
 
............. Sasa madamu huyu bwana alishakuwa kiongozi wetu, pamoja na matatizo yake aliyokuwa nayo, mambo kama haya hayakwepeki, majengo, barabara,mashule, n.k. yatajwa tu jina lake, na binafsi sidhani kwamba hii inapaswa kuwa ishu!

... Hata mimi kuna kikombe cha chai home kwangu nimekipa jina la Mkapa kwa heshima yake mkuu.

kwa kuenzi majina ya viongozi, watanzania nawapigia saluti ingawa kuna mwingie akasema kuwa jina la kambarage "wenzetu" wanashindwa kulitamka (je walimwonea aibu ktk uhai wake kumwambia?), nadhani pia tutoe heshima hizi hata kubuni aina ya vyakula na kuviita majina ya waheshimiwa hasa wale wanaokula sana kwa UMMA wetu....
 
jengo limelaaniwa hata kabla ya kutumika,unapoweka jina la fisadi ujue kuwa hata matendo ktk jengo lenyewe ni kama jina lilivyo.hebu jaribu lea kumuita mwanao kwa jina hilo uone cha mtemakuni
 
Jina la Uwanja Mpya naomba liitwe "Mzizima Stadium " umejengwa Dar es Salaam, na Kwa kweli mimi napenda jina la Mzizima lisipotee, mimi naliona kama jina la asili ya Dar es Salaam!!!

Kuhusu Heshima Kwa Mh. Ben,,, nakubali pia!!! Ila ameshindwa tu pale alipokosa tuzo ya Rais bora,,, hapa ndio tungewaita hata watoto wetu mkapa, na ukizaa mvulana tena Mkapa Senior, Ukizaa Mvulana tena Mkapa Junior, Mkapa Original, ukimaliza unaanza tena, Ben, Ben Senior, Ben Junior etc etc. etc. etc.
 
wauze haki ya jina wapate pesa waendeshe jengo lao kwa faida waachane na hao mafisadi,lakini Mkapa mkiangalia vizuri Macro Economic policy zake kidogo zilikuwa zimetulia.
 
...anyway mr VICIOUS,macroeconomics ni pale unapodeal na uchumi wa nchi as a whole from its structure & perfomance ukiangalia vitu kama unemployment,GDP,investment,inflation,national income,balance of trade etc,sasa ukiangalia vizuri Mkapa alijitahidi sana kupigana na inflation na alifanikiwa sana,investment wakati wa mkapa zilikuwa nyingi sana ingawaje nyingine zilikuwa phony,unemployment at least aliweza kurudisha heshima ya mfanyakazi wa serikali na wengi wakaajiriwa na private sector na ndipo tulipoanza kusikia watu wanalipwa mishahara ya milioni,angalia national income mana atleast mkapa alituachia pesa nyingi sana hazina na kama unakumbuka kipindi chake GDP iliongezeka.
 
...sina muda wa kuanza kulecture hapa,hiyo ni semister nzima...go read your books!

What books? Are you trying to fool folks Mr. Know-all? Do you really expect JF members to take a crash course on micro-economics just so to appreciate your "economically informed" assertion? If you are able to advance a proposition about some issue that pertains to any field of knowledge, then you should also by all means be able to expound promptly on request what makes you hold that particular position or point of view. If for any reasons you cannot (or perhaps feel yourself not confident enough to) provide further information or details about an issue, then you might as well not bring it up at all, ok?
 
...anyway mr VICIOUS,macroeconomics ni pale unapodeal na uchumi wa nchi as a whole from its structure & perfomance ukiangalia vitu kama unemployment,GDP,investment,inflation,national income,balance of trade etc,sasa ukiangalia vizuri Mkapa alijitahidi sana kupigana na inflation na alifanikiwa sana,investment wakati wa mkapa zilikuwa nyingi sana ingawaje nyingine zilikuwa phony,unemployment at least aliweza kurudisha heshima ya mfanyakazi wa serikali na wengi wakaajiriwa na private sector na ndipo tulipoanza kusikia watu wanalipwa mishahara ya milioni,angalia national income mana atleast mkapa alituachia pesa nyingi sana hazina na kama unakumbuka kipindi chake GDP iliongezeka.

I'm afraid I'm neither impressed nor convinced at all by the reply you provided above. If you are talking in relative terms, then you'll need to provide relevant evidence (statistical etc) to support your point. At any rate, I posed my question in the English language and hence expect you to respond using the same language.
 
I'm afraid I'm neither impressed nor convinced at all by the reply you provided above. If you are talking in relative terms, then you'll need to provide relevant evidence (statistical etc) to support your point. At any rate, I posed my question in the English language and hence expect you to respond using the same language.

....really? and your writings is such a masterpiece isnt it?
 
What books? Are you trying to fool folks Mr. Know-all? Do you really expect JF members to take a crash course on micro-economics just so to appreciate your "economically informed" assertion? If you are able to advance a proposition about some issue that pertains to any field of knowledge, then you should also by all means be able to expound promptly on request what makes you hold that particular position or point of view. If for any reasons you cannot (or perhaps feel yourself not confident enough to) provide further information or details about an issue, then you might as well not bring it up at all, ok?

Sir,i really dont care,its your opinions and you're entitled to it!
 
Sir,i really dont care,its your opinions and you're entitled to it!

In other words you kind of admit that you really cannot defend or prove your contention (other than the flimsy and rather incoherent attempt you've already provided which any teen doing middle school economics could answer in their sleep.)
 
Wazee acheni bifu!!!

Mi nashauri majengo ya msajiri yote yaitwe Mkapa!!! Ikiwezekana hata madaladala!!!!!!
 
Back
Top Bottom