Jengo la Mafuta House labadilishwa jina kuwa B W Mkapa

Wazee acheni bifu!!!

Mi nashauri majengo ya msajiri yote yaitwe Mkapa!!! Ikiwezekana hata madaladala!!!!!!

hehheee, hata mie naunga mkono hapa ! (najua wengi watasema) lakini ikiwezekana hata rangi ya hayo majengo yote wapake kijani kibichi na kisungura tope kwa chini yake !
 

HOJA IMEKUBALIWA MHESHIMIWA ! MAWAZO MAZURI HAYO !
 

umeambiwa wanaoingia ndani ya lile jengo ni wanaccm au wananchi ?? mzee acha kukurupuka tu !

pale hata vitukuu vyako vitakuwa na uwezo wa kuingia wakitaka na haina haja ya kuonyesha kama wewe ni mwanachama wa chama cha siasa, so toa ccm katika hoja yako !
 

karibu mzee ! ndio JF hiyo, nashauri hata hii forum iitwe MkapaForum !
 

ndio hapo, kama mkapa alifanya lile jengo lijengwe, kwa nini wasingempinga since then ? ila wanakuja kupinga jengo kupewa jina, what little babies they are !
 
sasa mnataka uwanja au lile jengo liitweje ? Dr. LivingStone stadium/building au ??
 
Kwani miji nayo haiwezi pewa majina ya watu??? Haki ya nani tena Dar ingekuwa NKAPA CITY, ningehama makunduchi mieeee!!!
 
In other words you kind of admit that you really cannot defend or prove your contention (other than the flimsy and rather incoherent attempt you've already provided which any teen doing middle school economics could answer in their sleep.)

...this isnt even worth commenting on. You obviously are a moron!
 
Kada, unajua huu ni upuuzi mtupu!!!

Hawa watu wana majumba mengi tu wanaandikisha majina ya watoto wa mjomba!!!!! Si wakabadilishe hati za majumba yao kwanza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…