Jengo la Ofisi ya Mkuu wa Polisi wa Wilaya Tandahimba linaungua moto!

Jengo la Ofisi ya Mkuu wa Polisi wa Wilaya Tandahimba linaungua moto!

kuna kitu cha ziada hapo mliopo huko tafadhali mtupe taarifa za kueleweka zaidi.
 
Nasikia mkuu wa mkoa aliyestaafu ndugu Anatory Tarimo alikuwa anawajali sana wakulima wa korosho huko. Vipi huyu Luteni Simbakalia anawajali wakulima au vipi? Msimamo wake ukoje ktk hili?

sidhani kama ni kuwajali ila mfumo wa miaka takribani miwili ya misimu ya korosho, serikali imeimpose mfumo wa "stakabadhi ghalani"..

Ambapo serikali inatangaza bei mfano kg 1 sh 1,200.. Kisha serikali inakopa benki na kutanguliza sh 800.. Kisha inaenda kuzinadi korosho..ikipata hela inalipa mabenki na kuwalipa wakulima..

Msimu uliopita serikali ilipata fedha nyingi kiasi cha kuwalipa wakulima,advance,balance,na "bonus"!

Msimu huu,malipo ya balance yamechelewa kwa takribani miezi saba! Na muda wa kuandaa mashamba kwa pembejeo umewadia na wakulima hawajui la kufanya!

Kabla ya mfumo huu,wanunuzi walikuwa wanazifuata korosho kwa wakulima.. Na wao wenyewe kupanga bei...
 
sidhani kama ni kuwajali ila mfumo wa miaka takribani miwili ya misimu ya korosho, serikali imeimpose mfumo wa "stakabadhi ghalani"..

Ambapo serikali inatangaza bei mfano kg 1 sh 1,200.. Kisha serikali inakopa benki na kutanguliza sh 800.. Kisha inaenda kuzinadi korosho..ikipata hela inalipa mabenki na kuwalipa wakulima..

Msimu uliopita serikali ilipata fedha nyingi kiasi cha kuwalipa wakulima,advance,balance,na "bonus"!

Msimu huu,malipo ya balance yamechelewa kwa takribani miezi saba! Na muda wa kuandaa mashamba kwa pembejeo umewadia na wakulima hawajui la kufanya!

Kabla ya mfumo huu,wanunuzi walikuwa wanazifuata korosho kwa wakulima.. Na wao wenyewe kupanga bei...
Kwani wakulima wana maoni gani kuhusiana na uuzaji wa zao lao korosho. Je wanataka free market?
 
Afu moto na ghasia mbona ni vitu viwili tofauti?

Shine juma lililopita baadhi ya vijana wakorofi walikuwa wakichoma nyumba zilizojengwa na kupangishwa na askari.. Walikuwa wakiiba pia,na hata za baadhi ya wafanyakazi wengine wa serikali ziliibiwa na mali zao kuharibiwa..

Jana baada ya ofisi kuungua mnamo saa 2,askari walikataza makundi ya raia kwenda kuangalia moto,na hivyo kuathiri hata wenye maduka,kwani ambapo wangeokoa mali zao,leo asubuhi wamekuta zimeteketea..

Sasa jinsi walivyokuwa wanakataza watu,walikataza kwa kutumia mabomu mengine mazito ya kutisha..
Tunaziita ghasia kwani askari wenyewe wakianza kuingia nyumba hadi nyumba,mpaka uje utoe kitambulisho,ushapigwa sana,na baadhi ya vitu ulivyonavyo kuharibiwa,kama vyakula,na vitu vya umeme..

Ndiyo maana wengi wamehama mji... Barabara ziko kimya,shule zimefungwa.. Mabasi ya Dar yamejaa abiria..
 
Kilomita chache kutoka Tandahimba kama unaelekea Mtwara kuna Kijiji kinaitwa MADABA, ni miongoni mwa vijiji vilivyokaziba barabara kwa magogo kwa wingi ktk vurugu za juzi! Mchana huu askari walifika kijijini hapo, wamepiga raia na kuvunja maduka na kupora kila kitu, naona askari wanaendesha OPERESHENI FILISI RAIA! Du waungwana serikali kali!
 
Tangu siku ya kwanza taarifa imetolewa ya wananchi kuvamia nyumba za watu na kukata nguzo za Tanesco, nilisema wazi kwamba hawa wananchi ni hamnazo. Yaani hawana kiongozi mwenye akili kabisa. Maana wanaharibu mali zao wenyewe na kuwaibia masikini wenzao badala ya kupambana na serikali ambayo ndiyo imewadhulumu. Wao wadeal na mkuu wa wilaya au mkurugenzi. Sasa wanachoma kituo cha polisi wakati sisi mtaani kwetu tunachangishwa kujenga kituo cha polisi baada ya kupeleka maombi ya kituo hicho miaka karibu kumi iliyopita, wao wanachoma. Hawa wananchi ni waajabu kupata kutokea katika historia ya nchi. Bora wangekiteka na kuwatoa waandamanaji waliokamatwa sasa wanachoma? Je wanatandahimba waliokuwa mahabusu humo?

polisi,mkurugenzi na mkuu wa wilaya ni serikali na wapo wilayani au ulitaka wakavamie magogoni? Hakuna kitu kibaya kama kudhulumiwa
 
The corrupt people chini ya hili jua la MAANANI ni polisi!
 
Kilomita chache kutoka Tandahimba kama unaelekea Mtwara kuna Kijiji kinaitwa MADABA, ni miongoni mwa vijiji vilivyokaziba barabara kwa magogo kwa wingi ktk vurugu za juzi! Mchana huu askari walifika kijijini hapo, wamepiga raia na kuvunja maduka na kupora kila kitu, naona askari wanaendesha OPERESHENI FILISI RAIA! Du waungwana serikali kali!
 
Shine juma lililopita baadhi ya vijana wakorofi walikuwa wakichoma nyumba zilizojengwa na kupangishwa na askari.. Walikuwa wakiiba pia,na hata za baadhi ya wafanyakazi wengine wa serikali ziliibiwa na mali zao kuharibiwa..

Jana baada ya ofisi kuungua mnamo saa 2,askari walikataza makundi ya raia kwenda kuangalia moto,na hivyo kuathiri hata wenye maduka,kwani ambapo wangeokoa mali zao,leo asubuhi wamekuta zimeteketea..

Sasa jinsi walivyokuwa wanakataza watu,walikataza kwa kutumia mabomu mengine mazito ya kutisha..
Tunaziita ghasia kwani askari wenyewe wakianza kuingia nyumba hadi nyumba,mpaka uje utoe kitambulisho,ushapigwa sana,na baadhi ya vitu ulivyonavyo kuharibiwa,kama vyakula,na vitu vya umeme..

Ndiyo maana wengi wamehama mji... Barabara ziko kimya,shule zimefungwa.. Mabasi ya Dar yamejaa abiria..
Very sad.
 
Kwani wakulima wana maoni gani kuhusiana na uuzaji wa zao lao korosho. Je wanataka free market?

Watu wa eneo hili wana maoni tofauti.. Wao wanataka hela tu,hawataki porojo..

Ukiwakikishia mfumo hauna shida wanakukabidhi korosho zao uwauzie..

Pale mwanzo walikuwa wanafaidika na wakati mwingine wanalazimika kuuza kwa bei ndogo sana,na saa nyingine kuna madalali wanaoshusha bei ili wao wafaidike...

Sasa mkulima anataka auze tu na apewe tu hela zake.. Auze kwa bei ndogo,kwa bei kubwa... Ajue kauza..
 
Mkuu GambaChovu tupe updates hapo niko mbali na Tandahimba nasikia IGP Saidi Mwema amewasili!
 
tunangoja taarifa kamili,hainiingii akilini polisi waaze tu kupiga raia nyumba adi nyumba?mabomu?helicopta?

:yell:
 
Mkuu GambaChovu tupe updates hapo niko mbali na Tandahimba nasikia IGP Saidi Mwema amewasili!

Helikopta imeingia,ila aliyemo sijui ni nani kwa kweli..

Angekuwa Waziri Mkuu sawa,lakini IGP,hatakuwa na jipya nadhani..
 
Back
Top Bottom